Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

HUyu juu yangu hapo anakitu gani? Homoni za Kike nini anazo humu yeye kunamuhusu nini? turudi kwenye listi ya leo huyu Kenny afukuzwe kama hajui watu wa kusign na kwa bei rahisi ikiwezekana arudishwe Benitez.
 
Mmekubali chacha maneno kwishnei ..... faini plus eight match ban tulibaeleza mkapinga ..... ... .... Aibu.

Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

tumejifanya Bushoke Fergie na Evra wameshinda
 
HUyu juu yangu hapo anakitu gani? Homoni za Kike nini anazo humu yeye kunamuhusu nini? turudi kwenye listi ya leo huyu Kenny afukuzwe kama hajui watu wa kusign na kwa bei rahisi ikiwezekana arudishwe Benitez.


Mkuu wewe ulitaka nani hasa aanze ambae yuko nje?
Suarez: Ameanza kutumikia adhabu
Gerrard: Ndi kwanza katoka kupona, hawezi kuchezeshwa full match kwa haraka haraka, anaweza kurudi chumba cha majeruhi muda wowote.
Bellamy: Anajulikana medical history yake, hawezi kuanza mechi mbili mfululizo ndani ya wiki moja, sembuse hizo siku 4?!
 
HUyu juu yangu hapo anakitu gani? Homoni za Kike nini anazo humu yeye kunamuhusu nini? turudi kwenye listi ya leo huyu Kenny afukuzwe kama hajui watu wa kusign na kwa bei rahisi ikiwezekana arudishwe Benitez.

kenny yuko pale kama mhamasishaji, Stive Clarke ndo kocha pale Liverpool. Usiwe na wasiwasi tumuamini Kenny
 
Mnaona michezaji yenyewe kama kina Downing , Maxi pale bao mwanangu mpira akili tu sio maguvu ya kiengereza.
 
Ujinga tu tu huu Reina uwa anatuokoa sana ila hufanya ujinga kama huu sana pia. mapema ila Bellamy muhimu kuanza mwanzo hata akiumia ataingia mwengine mie nashangaa tuna dogo Jesus Suso mkali anatakiwa Bench wanaweka Bench Spering dah.
 
Finito game Michezaji kama Downing na Caroll huyu Caroll Hatizami watu kama kina Dzeko na Crouch wanavyocheza mpira na urefu wao? tukiendelea na Kenny tutaendelea kuleta utumbo. dogo Handerson ni mzuri sema hakuna wachezaji wazuri wa pasi na akili ya mpira.
 
Nyie leo hovyo kabisa. Tulitegemea mpunguze gap la Man City lakini naona mmekuja kufungwa tu mrudi nyumbani.
 
Hahahahaha!! LoserPOO are hopeless, mnafungwaje na watu 10 vs 11?!!
 
Hahahahaha!! LoserPOO are hopeless, mnafungwaje na watu 10 vs 11?!!

shit happens bro... its like scums and aston villa

haya mambo huwezi sema chochote, its the players who decied, although i would say the penalty was a bit harsh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…