Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Ungwe ya pili ndiyo imeanza.

Kadri kutakavyokuwako na mabadiliko ntawajuza wadau!
Naona hakuna sub yeyote mpk sasa.

Mechi ni nzuri na ni tafu kweli kweli!


Dk yapata ya 60 na ushehe sub ilifanyika.
Toka Handerson Ingia D. Kuyt na ndiyo sub pekee!
 
Dk ilikuwa ya 50 Steven Gerrard anawanyanyua washabiki tena.

Dk 89 L'pool Fc 2 Everton 0.
 
Full Time!

Liverpool Fc 3 Everton 0
Dk 34 Gerrard
Dk 50 Gerrard
Dk 90 Gerrard.

Habari ndiyo hiyo na mwenye kujinyonga ajinyonge tu.
 
You'll never walk alone! Thanx Steve Gerard, you real make my nite!!!!
 
Haahaaahaaaa, mkuu, waambie kuwa Suarez ameng'ara mno! Maana kuna timu fulani ya mashoga wakisikia jamaa ametajwa matumbo yanawaunguruma kwa kiwewe!
 
Kwa record ni kuwa leo Gerrard alikuwa anacheza mechi ya 400. kwa club. Na ndo hivo kaisherehekea kwa kupiga hat-trick. YNWA.
 
Haahaaahaaaa, mkuu, waambie kuwa Suarez ameng'ara mno! Maana kuna timu fulani ya mashoga wakisikia jamaa ametajwa matumbo yanawaunguruma kwa kiwewe!

hongerani nahisi ta muggy leo atashindia lubisi na senene kwa ushindi huu..
 
salama sana mkuu, nasikitika tulipoteza machi mbili kilaini sana mkuu, i almost quit supporting Liverpool this season; jamaa walikua wanacheza kama wako bichi
Haahaaahaaaa! Usi-quit mkuu japo kwa kweli inachosha sana... Mi nadhani KD na wamiliki labda walifanya makosa sana kutosajili mfungaji mahiri wakati wa dirisha dogo. Na yule Carroll angekuwa anapewa dk 25 tu za kutafuta makali...
 
Haahaaahaaaa! Usi-quit mkuu japo kwa kweli inachosha sana... Mi nadhani KD na wamiliki labda walifanya makosa sana kutosajili mfungaji mahiri wakati wa dirisha dogo. Na yule Carroll angekuwa anapewa dk 25 tu za kutafuta makali...

very true... but he played better against everton kwasbabu waliweka 4-3-3 jamaa akawa more free kuzunguka, that made Gerrard very free, it was a good formation, he looked more comfortable katikati kuliko mbele
 
very true... but he played better against everton kwasbabu waliweka 4-3-3 jamaa akawa more free kuzunguka, that made Gerrard very free, it was a good formation, he looked more comfortable katikati kuliko mbele
Unajua tatizo lingine la Liver inaweza kuwa ni jinsi timu inavyopangwa... Ni ajabu sana kuwa timu inafanya mengine yote vizuri kasoro tu kufunga magoli! Tunamiliki vizuri, tunaingia mara kibao ktk box za adui, maajabu tunaambulia kona nyingi na kugonga miamba ya goli!! Mtu kama Maxi pamoja na rekodi yake yote kila anapocheza, anasugua bench!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…