Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Come on majogoo! Mpo wapi?! Haya chama letu liko hivi; Reina, Johnson, Skrtel, Agger, Jose Enrique, Kuyt, Henderson, Spearing, Max, Suarez, Carroll.
Subs; Doni, Coates, Downing, Carragher, Shelvey, Kelly, Bellamy....

Refa wa leo sijawahi kumuona! Anaitwa Neil Swarbrick.
 
Well, wapi majogoo??? Tumepigwa 1-0. Tulimiliki mpira vizuri, tukatengeneza nafasi nyingi, tumepiga mashuti 28,tumepata kona 15, Henderson kagonga mwamba kama haitoshi Kuyt naye akagonga mwamba!! Wakaokoa kwenye msitari wa goli.... Huu ni msimu wa ajabu mno kwa Liverpool.
Ningependa ktk mechi zilizobaki tupoteze moja au mbili...!!! Ili Daglish na wamiliki wa timu wapate akili ya kusajili wachezaji wenye hadhi ya kuichezea Liverpool...
 
Liverfools hahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahaha
 
Liverfools hahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahaha
Wewe wa wapi??? Unakafahamu kale kamnyama kanakoitwa Komba?! Kakilewa pombe-mnazi ya wizi huwa kanafanya hivyohivyo ulivyofanya hapo juu!!!
 
Asante mkuu... Japo ktk stage hii usinipe pole! Kwanza hatuna cha kupoteza, hatuwezi kufikia nafasi ya CL, mi natamani tufungwe zaidi ili msimu ujao tuje vizuri zaidi...!!

punainen-red ombi lako limekubaliwa you'll never win again mwisho wa msimu utakuwa na mshikaji wako ndetichia mkifarijiana kwasababu hata yeye hana uhakika na kikombe sio kikombe tu hata medali ya kutu pia hatopata!
 
Last edited by a moderator:
punainen-red ombi lako limekubaliwa you'll never win again mwisho wa msimu utakuwa na mshikaji wako ndetichia mkifarijiana kwasababu hata yeye hana uhakika na kikombe sio kikombe tu hata medali ya kutu pia hatopata!
Wewe kombe unalo???
Nasikia Fellaini amewa-lainisha huko hadi mmelainika, ni kweli???
 
Last edited by a moderator:
punainen-red ombi lako limekubaliwa you'll never win again mwisho wa msimu utakuwa na mshikaji wako ndetichia mkifarijiana kwasababu hata yeye hana uhakika na kikombe sio kikombe tu hata medali ya kutu pia hatopata!

sio ongei sana betting score city 3 - 1 manure na hapo ndipo tutakapo chukulia ndoo..
 
Last edited by a moderator:
Premier ligi anachukua city
FA anachukua LIverpool
Carling Liverpool
UEFA Madrid

waliobaki... United, Chesi, Ass-n-hole, toto ni hamu... wanakula patupu
 
  • Thanks
Reactions: SG8
Premier ligi anachukua city
FA anachukua LIverpool
Carling Liverpool
UEFA Madrid

waliobaki... United, Chesi, Ass-n-hole, toto ni hamu... wanakula patupu
Kweli kabisa. Ndivyo itakavyokuwa
 
Grant aliifikiash chelsea fainal mbili fa na championsleaague na dimateo nae kafaanyaa hvyo hvyo.grant hakuondoka na kombe hata moja na inaawezekana dimateo yakamtoke hayo hayo
 
Mkuu thinka karibu! Hiyo post yako ingependeza kama ungeiweka kule kwa Chel5 ili muijadili kwa uzuri zaidi na mashabiki wao.
 
Back
Top Bottom