punainen-red
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 1,731
- 451
Next game Arsenal,uzembe mdogo Leo umetugharimu
Kocha kaprove kwamba Charlie Adam, Stewart Downing na Jordan Henderson ni magalasa kwani hawana nafasi tena ila dogo Raheem ni kiboko
Hakuna mbaya! Hili chama lita-improve sana, na wapinzani watakuwa wanajiuliza mara mbilimbili watukabili vipi. YNWA.
Hivi kwanini Kile kibabu cha manu na wafuasi wake wanamhaha sana KD?! Wewe aliyekuambia kuwa hapa kuna shughuli ya kuwa-blame watu ni nani?!Liverpool do you blame your legend and hero kenny daglish for spending 35million pounds on a flop andy carrol last january and he's now on loan at west ham and he would probably sign for 18m pounds next summer? he's the most expensive flop in the history of liverpool and who's to blame...your hero and legend MR DAGLISH poleni