Dah maumivu thank najaribu kupoa Leo sitizami highlight lol tumekaa nyuma Kama stoke hata stoke wanashambulia.Pole sana mkuu wangu....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah maumivu thank najaribu kupoa Leo sitizami highlight lol tumekaa nyuma Kama stoke hata stoke wanashambulia.Pole sana mkuu wangu....
Punainen
News hii imenisikitisha sana Kamanda wangu. Yani utafikiri Mi ndiyo mwenye club!
Philippe Coutinho blow for Liverpool Fc GONGA HAPA
Liverpool Fc midfielder Philippe Coutinho will be out until late october with a shoulder injury that needs surgery,the club have confirmed.
Imenitouch sana mkuu!
Copy kwa Kaizer Pazi
Wakuu mko wapi?! Hebu leteni habari nini kinaendelea..Japo sina uhakika na chama letu kwa sasa kutokana na perfomance yetu tangu Coutinho aumie...
Good performance by Liverpool despite the loss. No hard feelings
Good performance by Liverpool despite the loss. No hard feelings
Kaka tumepiga mpira wa maana! Man U walikuwa wanautafuta mpira kwa tochi, tumekosa magoli mengi sana ya wazi! Rooney alifichwa kisawasawa.
Kwenye ligi kinachoangalia ni matokeo na sio kucheza pasi nyingi,wakati mwingine unatakiwa ucheze vibaya lakini ushinde.Liverpool defensive wako vizuri kuanzia golikipa, Toure,Agger,Lucas,Skirtel na Gerrard tatizo liko kwa mawinga na viungo washambuliajiSoka la hali ya juu Liverpool na tukicheza hivi kwenye mechi za ligi tutakuwa tunawania ubingwa!
You will never walk alone Steve Gerald;You will never walk alone The KOPS!
Kaka tumepiga mpira wa maana! Man U walikuwa wanautafuta mpira kwa tochi, tumekosa magoli mengi sana ya wazi! Rooney alifichwa kisawasawa.
Soka la hali ya juu Liverpool na tukicheza hivi kwenye mechi za ligi tutakuwa tunawania ubingwa!
You will never walk alone Steve Gerald;You will never walk alone The KOPS!
Tutumieni na za Westbrom The Chosen One! Sie tushapoa labda tuwape pole huko.Umatemate..naona pamepooza humu..wacha nipachangamshe kidogo..