Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo zamu yenu maana game 3 kushinda mkaona kama mmeshachukua ubingwa vile
Hawa Southampton wanacheza kama WaPo kwao vile,leo jogoo kawa jike
Kinyozi hunyolewa,noma kunyolewa sebleni kwako tu,poleni vijogoo
Matokeo rasmi ngapi ngapi?
Mfarisayo...! Kwa jina hili, hakuna haja. wewe endelea na makorokoro yako!
Pole sana mkuu wangu....Tushapowa ila kuna mijitu Humu tulivyowapiga bao na mnajijuwa hatukuwaona na tuliwaambia leteni picha mlijifungia Kama mwali wa kizaramo heheheh Leo mbio Kama demu Wenye mimba inayomsumbua kwa udongo na maembe Mabichi Mie namkubali Belo,Nzi na Viper Hawana unazi tena bora hata mchizi wacha , ndio football ila Rogers kachemsha kupanga timu sitaki kumuona tena Hendo bora Luis Alberto kati. Sio game ya kufungwa Kabisa. Nyuma napakubali tatizo katikati ya uwanja.