Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

  • 38013290-4f90-4695-a784-7e14ea994b9b.jpg

 
Leo zamu yetu hakika. Tunapigwa mbele ya wake zetu. SG kachoka kisawasawa.
 
Tushapowa ila kuna mijitu Humu tulivyowapiga bao na mnajijuwa hatukuwaona na tuliwaambia leteni picha mlijifungia Kama mwali wa kizaramo heheheh Leo mbio Kama demu Wenye mimba inayomsumbua kwa udongo na maembe Mabichi Mie namkubali Belo,Nzi na Viper Hawana unazi tena bora hata mchizi wacha , ndio football ila Rogers kachemsha kupanga timu sitaki kumuona tena Hendo bora Luis Alberto kati. Sio game ya kufungwa Kabisa. Nyuma napakubali tatizo katikati ya uwanja.
 
Tushapowa ila kuna mijitu Humu tulivyowapiga bao na mnajijuwa hatukuwaona na tuliwaambia leteni picha mlijifungia Kama mwali wa kizaramo heheheh Leo mbio Kama demu Wenye mimba inayomsumbua kwa udongo na maembe Mabichi Mie namkubali Belo,Nzi na Viper Hawana unazi tena bora hata mchizi wacha , ndio football ila Rogers kachemsha kupanga timu sitaki kumuona tena Hendo bora Luis Alberto kati. Sio game ya kufungwa Kabisa. Nyuma napakubali tatizo katikati ya uwanja.
Pole sana mkuu wangu....
 
Oops, Liverpool. You just walk alone today.

This was not Manu of 2013. Stand up and dust yourself off and try again on 29th Sept at the Stadium of Light.
 
Back
Top Bottom