AL SHARPTON
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 2,797
- 953
Fulham Hatutaki Kuwadidimiza Sana Tutawafunga Magol Mawili Yanawatosha Kabisa
Mzee wa nilikuwepo sijamuona leo? Alafu thred zengine zinachuki hawaji kutupa pongezi wao wanakuja tukifungwa tu teh! teh! Ila poa hatuhitaji kupiga Cross 81 kumfunga Fulham 2-3 Away!Toure aanze kukaa bench tu OG gani zile mtu mzito mpaka refa anataka kumvunja FA watam ban hehehe! LFC YNWA!
Ila Kolo akae bench at all costs
Mzee wa nilikuwepo sijamuona leo? Alafu thred zengine zinachuki hawaji kutupa pongezi wao wanakuja tukifungwa tu teh! teh! Ila poa hatuhitaji kupiga Cross 81 kumfunga Fulham 2-3 Away!Toure aanze kukaa bench tu OG gani zile mtu mzito mpaka refa anataka kumvunja FA watam ban hehehe! LFC YNWA!
Sinime skia agger karudi..
Mzee wa nilikuwepo sijamuona leo? Alafu thred zengine zinachuki hawaji kutupa pongezi wao wanakuja tukifungwa tu teh! teh! Ila poa hatuhitaji kupiga Cross 81 kumfunga Fulham 2-3 Away!Toure aanze kukaa bench tu OG gani zile mtu mzito mpaka refa anataka kumvunja FA watam ban hehehe! LFC YNWA!
Arsenal wanamuanzisha sanogo leo,nawasikitikia sana maana kipigo still kipo upande wao leo.
"Nlikuwepo":bolt:
Mechi ikiisha Uzunguke majukwaa yote ukitoa Pole kama unavyofanya Sasa....
Sawa mzee wa Nilikuwepo.