Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sterling umenifurahisha sana kwa ulichomfanyia huyo Webb..
"Nlikuwepo":bolt:
Hawa tumeewakamata sana,lakini sijui hata tunakosea wapi Mungu wangu...
"Nlikuwepo":bolt:
Dogo kaondoka bila Njano, aibu kwa ligi ya England. Angekuwa mhamiaji angelimwa njano kama sio nyekundu.Huku kupendeleana wazawa ndo kunaiharibia England national team nje ya mipaka.Sterling umenifurahisha sana kwa ulichomfanyia huyo Webb..
"Nlikuwepo":bolt:
Dogo kaondoka bila Njano, aibu kwa ligi ya England. Angekuwa mhamiaji angelimwa njano kama sio nyekundu.Huku kupendeleana wazawa ndo kunaiharibia England national team nje ya mipaka.
. Ss mbona Striker zako Mkuu haziwezi kuonea hizo timu ndogo? Na ndio nyingi kuliko kubwa?.Ndugu zangu huyo Zombie wenu Suarez huwa anaonea timu ndogo tu. Leo nimesahau zile 5 zenu na Sherehe tu.
Arsenal anapigwa 4-1
"Nlikuwepo":bolt:
Leo umelala kwetu Arsenal wameshinda kwa haki tatizo lilikuwa Howard Webb tu kama angefanya haki ya Penalt ingekuwa 2-2 reply kaogopa kutoa Penalt mbili, ss tujikaze kumaliza nafasi ya 4 kwa nguvu zote.
Na Sababu ya Suarez Penalt ya pili kunyimwa sababu ni Suarez kaona akitoa watuwataanza ni Dive wakati ni Penalt kabisa na nyengine Fabianski hakupata mpira kamgonga Agger na gloves za kichwa ni Penalt pia kameza baada kuona kaharibu kwa Raheem na SG marefa kama hao sijui Why wanaweka wapo ku Protect english Players na kuzifanikisha Baazi ya timu tu. Ila tukija football Arsenal kashinda Full stop.