ommysoftnet
Senior Member
- Feb 7, 2014
- 154
- 32
Hapa umewavulia uvivu na kuwachana live mzee...hawa madogo wa 90's wanaboa sana. Hapa nakumbuka mechi nyingi za nyuma mi ndo nikiweka update hamna hata fan mmoja wa Liverfool akionekana, siku timu ikishinda ndo utawaona tena wachache sana wakijinadi. Kama vp vp wakaushie kwanza akili iwakae sawa mpaka wakibebe ndoo ndio ufanye update.
Hata #mods tutawaalert kwa hilo.
Watu wengine bana kwa hiyo ww hapa jamiiforum ndio panakufanya shabiki mkubwa wa liverpool..mahali ambapo hata sura yako hainokenai..zipo sehemu nyingi mashabiki wa liverpool wanaonyesha mapenzi na timu yao hata katika vipindi vigumu vilivyopita acha hizo ww..kwanza nazni huwajui vizuri mashabiki wa liverpool.. Hawa na mashabiki wenye mapenzi akubwa na team yao na huwa hawakati tamaa siku zote wapo nyuma ta team yao...mashabiki wa liverpool hamna mamluki labda wale watakaoanza kushabikia baada ya mafanikio ya msimu huu. Unewakosea sana mashabiki wa liverpool na inabidi uwaombe msamaha..hawa ni mashabiki tofauti na tean nyingine zote