Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Tumekuja kuwaamsha na lazima watazima tu! Hasa Tarehe 27 mwezi ujao watazima vibaya!
hawa hawaniumizi kichwa hata kidogo
hivi wakifungwa na man city inakwaje,si bado tutakuwa na challenge tena maana man city atakuwa mbele
 
Mkuu mi nipo na nyimbo zng zilezile!


Teh Teh Teh Teh


Yani siku nikitua infield lazima niwapige hao ynwa! Then nakaa juu mwenyewe kwasababu uwezo ninao Na nia ninayo!
Nia unayo ila uwezo huna...!
 
Kwa kweli sijui wanatakaje! Tangu nijue timu za majuu sijawahi shabikia tofauti na Liverpool Football Club.
Nenda Liverpool Fc chanja mbuga!

Natamani hii mechi ya tar 13 march iwe ndiyo ya kuwaadabisha hawa wajinga.
Lazima tufurahie ushindi!

Kweli.

Nilichokuwa naomba kimetimia, tuwe juu, na tusitoke ng'oo hadi msimu unaisha..now its the perfect time to lead the table.

West Ham wagumu sana..Im more afraid na hizi team zinazocheza kutafuta draw kuliko kukutana na Chelsea..but its all good.

We are winning it. Hapa sasa we are the most feared team right now, they are more afraid of us than we are afraid of them. Tutawaonesha attacking football hawajai ona maishani.

YNWA.
 
But I have some reservations..I love Agger, however I think he should be benched for Sakho..alafu Lucas should return to the team too but I dont know at whose expense.

I think for the remaining 6 games, our starting line up should be:

Mingolet.

Johnson Sktrel Sakho Flanagan

Lucas, Henderson Gerrad

Sturridge, Suarez, Sterling/Coutinho.


Brendan anampenda sana Allen..sidhani kama anaweza muweka bench hata kwa mechi mbili mfululizo.

Mnaonaje?

we need to be more defensive minded...especially against Chelsea and Man City..against West Ham and the like, we can afford a very strong attacking line up like today.
 
Umeona eeeeeeeh? Huu ndio mpira Mkuu na hii ndo jf! Yani always ni burudani!

Terry kanikumbusha final game ya UCL kule Moscow alipokosa penalty!
Hata CR7 Alikosa penalty mkuu...hahaaa
 
I dont know much about others, but as for me, I have always been a Liverpool supporter, been posting here since I joined but left this forum since I dont like so much negativity in it..now although, I just come back and post here in this thread only because its a special season and a very special feeling..Its right I share the joy with my fellow Liverpool fans. 🙂
 
Brendan Rogers akibeba kombe mtasikia jinsi media za UK zitakavyoanza kuchonga umuhimu wa kuwa na makocha wa kibritish na zitawasakama makocha wa kigeni kama wanavyowasakama wachezaji wa kigeni
 
But I have some reservations..I love Agger, however I think he should be benched for Sakho..alafu Lucas should return to the team too but I dont know at whose expense.i

I think for the remaining 6 games, our starting line up should be:

Mingolet.

Johnson Sktrel Sakho Flanagan

Lucas, Henderson Gerrad

Sturridge, Suarez, Sterling/Coutinho.


Brendan anampenda sana Allen..sidhani kama anaweza muweka bench hata kwa mechi mbili mfululizo.

Mnaonaje?

we need to be more defensive minded...especially against Chelsea and Man City..against West Ham and the like, we can afford a very strong attacking line up like today.
Mkuu cha muhimu aendelee kuwa unpredictable tu in terms of tactics.
 
But I have some reservations..I love Agger, however I think he should be benched for Sakho..alafu Lucas should return to the team too but I dont know at whose expense.

I think for the remaining 6 games, our starting line up should be:

Mingolet.

Johnson Sktrel Sakho Flanagan

Lucas, Henderson Gerrad

Sturridge, Suarez, Sterling/Coutinho.


Brendan anampenda sana Allen..sidhani kama anaweza muweka bench hata kwa mechi mbili mfululizo.

Mnaonaje?

we need to be more defensive minded...especially against Chelsea and Man City..against West Ham and the like, we can afford a very strong attacking line up like today.


Full Moon chelsea ni kitu kingine Mkuu!

Hicho kikosi unachpanga na Mimi nikipanga changu utakimbia!

Lkn kaa ukifahamu Kua siku the blues wakitua hapo jogoo lazima achinjwe!
 
Last edited by a moderator:
Kiongozi MosDef, Naomba nianze kwa kutoa pongezi kwetu sote wana Liverpool kwa ushindi wa jana. Kwa kweli mimi ni mmoja kati wa wanaliverpool ambao walichukizwa sana na kuwakosa wachezaji ambao umewataja. Well, nilimuona Ayre ni mtu mzembe lakini nikajaribu kutuliza hasira na kutambua kwamba ingawa Brendan, scouts na technical team ndiyo wanaotoa mapendekezo ya wachezaji wanaowataka lakini ni wazi kwamba kwenye ushu ya usajili hamhusu Ayre peke yake bali cabinet ya watu kadhaa. Mimi na wewe tumekuwa tukisoma kwenye vyombo vya habari kuhusu kinachotokea ila undani wake unajulikana kwa watu wachache sana. Apart from ishu nzima ya cabinet lakini vilevile mchezo mchafu unahusika sana kwenye soka. Spesho mouth(Domo kaya) sidahani kama alikuwa namuhitaji Salah, ila alipandisha dau la kumchukua ili Liverpool wamkose. Spesho mouth did the same thing kumuuza mata kwa manure sababu chelsick walikuwa wamemaliza michezo yao manure. Kama jinsi wewe mwenye ulivyoonesha, ishu ya Willian na yenyewe umejawa na upuuzi wa hela chafu za mafuta! Kuna watu wamewahi kusema kwamba kila tukio lina sababu zake. Brendan alipompeleka Reina mkopo watu hawakumwelewa, ila sasa hakuna anayeongea…angalia jinsi Coutinho alivyocheza jana. Nimemuona Mikhi mara kadhaa na siyo kama anamzidi couti. Kama tungemchukua Kono then Sterling asekuwa na kiwango alichoonyesha jana. To me he was MOM.
Mkuu Osokonoi, Me kwa mtazamo wangu sidhani kama Willian na MK walikuwa wanahitaj UCL, ni uzembe tu wa Director wetu Ayre katika kuchangamkia deals fasta fasta, coz nnvyojua mimi sisi ndo tulianza kuwa na mazungumzo na Mchezaji, baada ya yeye mwenyewe kuonyesha interest ya Kuja Anfield, lakin Liver walikataa kutoa kiwango ambacho Anzh walikitata ambacho ni £30mill nadhan, ambapo Liverpool wakaamua kuvunja mazungumzo, then ndo hapa spurs wakaingia wakaOffer zaid, lakin kabla kusign pale spurs ikiwa na medical alikuwa ashafanya, nadhan tajiri wa Chelshit akatumia urafik wake na tajiri wa Anzh (wote warusi), na kuiblock ile move, chelshit wakaoffer zaid na mshahara mzur wakamchukua, Lakin dogo alikuwa anaitaka. Liverpool, the same kwa MK mpk kuna kipind alilipotiwa kuwepo UK wakt club yake ilikuwa ishaanza kwa league, lakin Ayre screwed it Up again, kama alvyofanya kwa Salah, Boss wa Dnipro asingeweza kusign agreement papers bila kuoneshwa hela, na ikitetegemea walikuwa hawatak kumtoa ile january, japokuwa dogo alikuwa more than desperate kuja liverpool, na alikuwa ashakubaliana personal terms na Liverpool, kilichomfanya Ayre ashindwe kuconclude ile deal ni kipi?????..This time itabid wawe active sana kwenye Usajili, Coz tuna NJAA ya Mafanikio saaaaaana.
 
1922283_994620463911503_1029445410_n.jpg
 

Na sasa ndio yupo liverpool kukamilisha yale yote yaliyotokea kipindi yeye alikuwa mtoto.
Najua mashabiki wa chelsea mko na hamu sana kutuona hatuchukui ubingwa,ila hapo hapo mnataka mtushangilie mechi dhidi ya Man City ili nyie mkae sawa.
Mourinho kashapoteza hesabu sasa,nadhani yale maneno aliyokuwa anasema kuwa atachukua ubingwa next season,John Terry ndio anayafanyia kazi!

"Nlikuwepo":bolt:
 
LIVERPOOL 4 VS TOTTENHAM 0 (30Mar2014)
Alama zangu za viwango kwa wachezaji wa Liverpool

1. Simon Mignolet – 7
Kipa hakupata misukosuko sana ingawa tuliona umahiri wake alipookoa shuti la Bentaleb. Alikuwa ametulia na distribution zake zilikuwa zina macho

2. Glen Johnson – 8
Anastahili kupata lama 8. Krosi yake ndiyo iliyozaa goli la kwanza na kutoa nuksi. Ushirikiano wake na Sterling ulionekana kuwapa shida walinzi wa Spurs. Rose had a hard time!

3. Daniel Agger – 8
Kempteni msaidizi amekuwa akisakamwa sana kwamba kiwango chake hakiridhishi. Jana hali ilikuwa tofauti kabisa. Utulivi na pasi zake ziliweza kujenga mashambulizi kuanzia nyuma.

4. Martin Skrtel – 7
Kila mmoja atakubali kwamba blocking aliyoifanya against Eriksen was a goal opportunity. Alifanikiwa kumweka mfukoni Soldado kama alivyofanya kwa van persie…

5. Jon Flanagan – 7
Bwana mdogo kiwango kinazidi kupanda. Aliweza kumzibiti Eriksens wakati akiwa na nafasi nzuri. Ila wengi tutamsifu alipouwahi mpira ambao ulikuwa na madhara sana endapo Soldado angeufikia…was it penalty?...hivi aaron lennon alikuwepo uwanjani? …ahahahahahaaa

6. Stephen Gerard – 8
“Captain Fantastic” kama kawaida with a cool head ameonyesha ni kitu gani kinastahili kufanywa na mtu mzoefu in crucial moments. Wakati wote amekuwepo kusaidi defenders and things looks very secured when he was around. Well done Stevie G!

7. Philippe Coutinho – 8
A little Brazilian wizard, wote tulishuhudia distribution zake zilivyokuwa zikizaa matunda. Hivi unajua kwamba goli alilolifunga alitoka na mpira toka katikati ya kiwanja? Amazing!

8. Jordan Henderson – 8
Engine room ilifanya kazi yake kuhakikisha hakuna midfielder wa spurs anayepumua. Bilashaka eriksen atajilaumu sana kusajiliwa na spurs kwa kuikataa Liverpool. Baada ya kuwa cleared kwamba goli ni la kwake na siyo Suarez then I bealive ataongeza juhudi kwenye mazoezi ya free kicks

9. Raheem Sterling – 9
Ukimweka pembeni Elpistorelo, Raheem Sterking nimempa marks za juu kwasababu naamini anastahili. Alivyochangia kwenye goli la kwanza. Alivyowatoka mabeki na kupiga kross iliyotua kichwani kwa Surez na kuokolewa na Loris. Speed & pass accuracy. Hata pale kocha alipombadilisha na kumrudisha kati baada ya kumtoa couti, dogo aliendelea kuleta balaa. But I still think he should have score when he was face to face with Lloris

10. Luis Suarez – 9
Yamesemwa mengi na yanaendelea kusemwa mengi. Hakuna asiyejua heshima aliyonayo Robbie fowler kwenye ulimwengu wa soka. Definately, inahitaji mashine, jembe la ukweli kuweza kumzidi gwiji Fowler. Kama unabisha kwamba surez siyo mashine then, rudia kuangalia tena mechi ya jana...baada ya filimbi ya mwisho waangalie danny rose, kaboul, dawson walivyokuwa wamechakaa kwa shughuli waliyo kutana nayo toka kwa the Gladiato!!!

11. Daniel Sturridge – 8
Liverpool so far ni timu ambayo haichezi tu mpira bali inatoa burudani at the same time. Burudani hii, haitoki kwa couti, elpistolero au sterling peke yao, ila pia kwa mshambuliaji tegemeo kwa taifa la England. Kocha anamtumia kama central striker lakini he always interchange his position with Suarez. Nina hakika mabeki wa spurs wana kitu cha kuhadithia
 
Back
Top Bottom