ntuzu unanichekesha sana, unavyowaza kuifunga liverpool anfield pale,
huna mpira wa kuifunga liverpool pale anfield mkuu, huna mpira kabisa ndugu yangu..
Yaan me huwa naiogopa stoke city na southampton kuliko chelshit, sijawah kabisa kuihofia hiyo team yako tangu nimeanza kushabikia mpira..
hahaha...mashabiki wa chelshit mna akili mgando sana aisee
mbona umekimbilia kwa kolo toure???..wakat kuna sakho, skrtel, agger, gj, flanagan, na sidhan kama toure atacheza kwenye game ya chelshit, wakt centrebacks wa first team wote wapo fiti...
Afu sidhan kama kumkaba "the overrated hazard itakuwa kaz ya skrtel mkuu..
Hahah, kwann umekimbilia kwa jh na kumwacha sg, coz jh ana kaz tofaut uwanjan sahv..afu unamzungumzia matic yupi??, yule aliyopotezwa na viungo wa championship wa crystal palace???
Hao kina hazard na mwenzake oscar walikuja msim uliopta anfield pale nikiwa nipo kwenye form mbovu sana, walifanya kipi cha maana?????
Afu game yangu na wewe darajan, kama unakumbuka majeruh yalipelekea mpaka agger achezeshwe namba 3, sg, ds, gj wote hawakuwepo, afu second half, allen aliumia pia, nilikuwa na majeruh kibao kwny ile game...lakin ukamalza mpira kwa magol yaleyale mawil ya first half..na uliweka mzik wako full..
Agost8, we kazi yako ni kunifikia me nilipo kwa kila kitu, coz kwenye ulimwengu wa soccer nimekuzid kila kitu mkuu, kila kitu...
1. Trophies
2. Head to head matches
3. Legends
4.youth academy
5. Talented players ambao washawah kuchezea lfc
6. Umaarufu wa team
7. Hadhi ya team internationally.
8. Players loyality.
9. Mpira wa kuvutia.
10. Die hard fans all over the world.
Nb: Sisi tumeanza kuishabikia liverpool since day one, chelshit fans wengi nje ya england, mlijikusanya kutoka liverpool, arsenal, manureutd kuanzia mwaka 2004...
Wewe na ntuzu kabla ya ile chelsea ya kuanzia 2004, mlikuwa mnashabikia team gan????...na usitudanganye kwamba umeanza kitaaaambo, huo utakuwa ni uwongo.
Plastic fans.
ushajiuliza na hicho kikosi chenu mko nafasi ya ngapi na liver wapo nafasi ya ngapi? aston villa wanakikosi gani cha kuwafunga nyie? cardif city je?
day one ipi hiyo?
liverpool = historia
Yani Mkuu hapa kwa mkata Umeme Huyu Matic, yani Liverpool watakatiwa Umeme kwenye Grid ya Taifa!
Teh Teh Teh
Watu hawana timu Lkn kutwa wanapiga kelele ndio Maana Mimi nikawaomba wanipe kikosi chao tena mpk Sub Yao na mimi niwape chetu waone!
Tena kuna kijana Salah anakuja vibaya sn! Usije Shangaa Hiyo game ya 27 akaanza ndani!
hahaha...Mashabiki wa Chelshit mna akili mgando sana aisee
mbona umekimbilia kwa Kolo Toure???..wakat kuna Sakho, Skrtel, Agger, GJ, Flanagan, na sidhan kama Toure atacheza kwenye Game ya Chelshit, jwakt centrebacks wa first team wote wapo fiti...
Afu sidhan kama kumkaba "the overRated Hazard itakuwa kaz ya Skrtel mkuu..
hahah, kwann umekimbilia kwa JH na kumwacha SG, coz JH ana kaz tofaut uwanjan sahv..Afu unamzungumzia Matic yupi??, yule aliyopotezwa na viungo wa championship wa Crystal palace???
Hao kina Hazard na mwenzake oscar walikuja msim uliopta Anfield pale nikiwa nipo kwenye form mbovu sana, Walifanya kipi cha maana?????
Afu game yangu na wewe darajan, kama unakumbuka majeruh yalipelekea mpaka Agger achezeshwe namba 3, SG, DS, GJ wote hawakuwepo, afu second half, Allen aliumia pia, nilikuwa na majeruh kibao kwny ile game...lakin ukamalza mpira kwa magol yaleyale mawil ya first half..na uliweka mzik wako FULL..
Agost8, we kazi yako ni kunifikia me nilipo kwa kila kitu, coz kwenye ulimwengu wa soccer nimekuzid kila kitu mkuu, KILA KITU...
1. Trophies
2. Head to head matches
3. Legends
4.Youth Academy
5. Talented players ambao washawah kuchezea LFC
6. Umaarufu wa Team
7. Hadhi ya Team internationally.
8. Players loyality.
9. Mpira wa kuvutia.
10. Die hard Fans all over the world.
NB: sisi tumeanza kuishabikia LIVERPOOL since day one, Chelshit fans wengi nje ya ENGLAND, mlijikusanya kutoka liverpool, Arsenal, ManureUtd kuanzia mwaka 2004...
wewe na Ntuzu kabla ya ile chelsea ya kuanzia 2004, mlikuwa mnashabikia team gan????...na usitudanganye kwamba umeanza kitaaaambo, Huo utakuwa ni uwongo.
PLASTIC FANS.
Kwa mchezaji mmoja mmoja mnatuzidi...hatukatai depth ya kikosi chenu ni kubwa kulinganisha na sisi.
But uelewe cha muhimu ni teamwork plus utaalamu wa mbinu za mwalimu neo vimetufikisha hapa...na hilo lipo wazi kabisa kwa mpenda mpira yeyote duniani anayefuatilia EPL.
Pale Anfield kitakachowafunga ni determination ya wachezaji wetu coz wananjaa ya mafanikio kuliko maelezo...as compared na wachezaji wenu!
Let 27 come...let Chelsea come.
We gonna teach you guys a lesson you will never forget... we are mentally very prepared than EVER!
YNWA...!
mtakapokutana na kiungo mwenye magoli mengi kuliko wote katika historia ya PREMIER LEAGUE; the super frank #8.
labda ang'ate mtu tena...mfungeni mdomo huyo suarez:tape:
Kusanya misese yako yoooote ile ya pale MBELE...Afu me ntakupa Sturrdge tu uifananishe nayo kwa idad ya magoli.
sisi magoli anafunga yeyote:
terry anafunga;
lampard anafunga;
ivanovic anafunga;
cesar azp "dave"; anafunga;
cahill anafunga;
....Guys, YOU WILL NEVER WALK ALONE... hebu iendelezeni thread yenu, duh, mmeuchuna as if hamuongozi league? au hamjiamini amini?
haya.... nitarudi tena humu mpaka mzoee!!!
Teh Teh Teh Teh
Yaan hata kwenye hyo HISTORIA unayoiongelea bado HUJANIFIKIA..
Chelshit bhana..
Hahahahahahahah, Liverpool pale...
Skrtel anafunga
Flanno anafunga
JH anafunga
SG anafunga
Coutnho anafunga
Streling anafunga
Allen anafunga
GJ anafunga
suarez na sturrdge wanafungaaaaa
Afu Liverpool baada ya ile Game ya WestHam tulifikish 90 league goals, magoal tisini msim huu...
Suarez na Danny kwa pamoja wana magoal, 49
Hayo 41 mengine wamefunga kina nani??????
we umefkisha magoal mangap msim huu??????
tutajua MEI 11.
ligi bado haijaisha..utalia sana wewe wenzako ARSENAL walianza hivyo kama wewe.