Jana Chelshit, pamoja na swansea kupata RedCard ya Mapema, walipata taaaaaaabu sana kushinda..
Afu still wanapga Mahesabu ya kuja kushinda ANFIELD.
Mawazo ya Plastic fans, yanakuwaga Mgando sana...
Let us focus first on Norwich City... one game at a time!
Wenzangu wameongea karibia maneno yote.Mimi sina cha kusema.
Ila kwa wale mashabiki wa chelsea,napenda kuwaambia kuwa mechi yetu inayofuata ni against Norwich City.
Baada ya mechi dhidi ya Norwich,nadhani hapo mashabiki wa Chelsea ndio mtapasawa kuongea yote mnayoyataka kuhusu mechi yetu dhidi yenu.
Point tatu ndio ushindi,We will never walk alone.
Liverpool till I die.
"​Nlikuwepo":bolt:
Jana Chelshit, pamoja na swansea kupata RedCard ya Mapema, walipata taaaaaaabu sana kushinda..
Afu still wanapga Mahesabu ya kuja kushinda ANFIELD.
Mawazo ya Plastic fans, yanakuwaga Mgando sana...
Goli atakua Cech
Beki kulia ni Ivanovic na Kati ni Terry na Cahill Na Beki kushoto ni C. Azp
Wakata Umeme ni Matic na Luiz
Attackers Willian, Ramires na Hazard
Striker ni babu Eto'o
Subs:
Kipa km kawa.
Beki ni Cole
Wakata Umeme, Lampard na Obi.
Attackers, Schullre, M.Salah na Oscar
Striker, Ba na Torres.
Kazi unayo! Hutoki hapo!
hicho kikosi si ndo kile kile kilichocheza na Crystal palace!!!!???
Gwamahala, alinambia itabid tufocus kwenye game yetu Dhidi ya Norwich City weekEnd hii...then baada ya Hapo ndo tuanze kufocus kuhusu game ya Chelshit...
Asante kwa kutembelea uzi wetu lakin!!!!!!!!!
Una bidii saaaana!!!!!!!!!
Teh Teh Teh Teh
Mmeanza kukwepa hoja?
Km hamtaki tutembelee Uzi wenu basi msiitaje timu yetu Ktk hoja zenu! Maana mkiitaja tu Chelsea Ktk mipango yenu mibovu lazima tujibu hoja!
Nani kidume Wa top five msimu huu km sio Chelsea tu?
KIDUME ni yule anaeziongoza team zote 19 kwenye league..
Goli atakua Cech
Beki kulia ni Ivanovic na Kati ni Terry na Cahill Na Beki kushoto ni C. Azp
Wakata Umeme ni Matic na Luiz
Attackers Willian, Ramires na Hazard
Striker ni babu Eto'o
Subs:
Kipa km kawa.
Beki ni Cole
Wakata Umeme, Lampard na Obi.
Attackers, Schullre, M.Salah na Oscar
Striker, Ba na Torres.
Kazi unayo! Hutoki hapo!
Game inayofuata ni Norwich muhimu 3points nimetizama kwa ukaribu Kama tunawatengenezea Chelsea? Game ambazo naziogopa ni Chelsea na C Palace Kama tukimpiga Chelsea Nguvu ya kwa C Palace lazima tukaze Handerson Red Card pengo kubwa tofauti ya Hendo Anazunguka sana Lucas yeye anakaa sana nyuma na kugawa Freekick nje ya Box game na. Chelsea ndio itajulisha Ubingwa wapi sasa hivi LFC turizike CL tunacheza , Presha ni kubwa LFC hatuna Bench SG akipata yellow hachezi game mbili kazi ipo ila timu naiamini.
Game inayofuata ni Norwich muhimu 3points nimetizama kwa ukaribu Kama tunawatengenezea Chelsea? Game ambazo naziogopa ni Chelsea na C Palace Kama tukimpiga Chelsea Nguvu ya kwa C Palace lazima tukaze Handerson Red Card pengo kubwa tofauti ya Hendo Anazunguka sana Lucas yeye anakaa sana nyuma na kugawa Freekick nje ya Box game na. Chelsea ndio itajulisha Ubingwa wapi sasa hivi LFC turizike CL tunacheza , Presha ni kubwa LFC hatuna Bench SG akipata yellow hachezi game mbili kazi ipo ila timu naiamini.
Me nadhani ungeihofia zaidi Man city kuliko Chelshit, coz man city wana 2 games in hand...
Na tunachoombea ni Man city kudrop 3pts tu katka game zake zte zilizobak, si tukishinda against Norwich na Chelshit, tutabeba kombe kwenye game yetu na Crystal palace...so kwa vyovyote vile lazma Chelshit afe pale ANFIELD..
Afu, tukija kwenye UKWELI ni kwamba LIVERPOOL FC wanagombea UBINGWA now na Siyo TOP4, ingawa malengo yalikuwa ni Top4..lakin kwa sasa tumeshapita huko...tupo mbali saaana.
Gerrard Amefanikiwa kuzifuta kadi zake zote zile 9 za njano, coz kadi yake ya 9 aliipata kwenye ile game dhidi ya Fulham nadhani, so kwa sheria zao za FA hakutakiwa kupata kadi yoyote ya Njano ya 10 mpaka kwenye second week of April, ambapo ilikuwa kwenye game Man city, ili zile kadi nyingne zifutwe, Na hakupata yellow yoyote kwenye ile game, so kazifuta zote.. manake kama angepata ya 10 angekosa game mbili..lakin alifanikiwa kuepuka kadi yoyote ile mpk kwenye game ya Jana..
Big Loss ni Henderson, japo naamini, lucas, Allen watacover vizuri..
Na watu kama kina Joao texeira, Aspas, moses na Luis Alberto wanaweza wakapata Shout..
Na pia huyu dogo Luis Alberto ni FUTURE ya Liverpool Aisee..dogo anajua sana..
Hiyo Game ya Norwich City sina wasiwasi nayo kabisa aisee..Suarez atafanya kile ambacho huwa anafanya kila tukicheza na Norwich...
Trust Me!!!..