Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Uwa nakaa kimya tu mkuu mos kaa kimya tu chelshit fans hawajui wanaloliongea nisawa na shabiki wa azam kumtambia shabki wa yanga..


Mkuu Jaslaws post yako hii imenifanya nifurahi tu! Nihaki Yule jamaa atoe lugha mbaya!

Lkn tunachangamsha thread yenu Jamani!
Ebu angalia tangu thread yenu imeanzishwa Mwaka 2009 Lkn inajikokota kweli!

Teh Teh Teh Teh.
 
Last edited by a moderator:

Mkuu ntuzu umenifurahisha sana ulivosema "upendi kushindwa"kumbe ukweli unaujua kua lazima tarehe 27 nikufanye kitoweo,ila kwa sababu ya tabia zako za ubishi na kutopenda kushindwa unakataa kua mkweli..kwa ili nashukuru na nafurahi nimegundua wewe mi mtu wa aina gani..
 
Last edited by a moderator:
Na kuhusu ugeni wa jukwaa sio kwamba mie mi mgeni saana na uzi huu nadhani kipindi najiregister na jf huu uzi haukuwepo so siwez kua mgeni kama unavodhani,tulichokua tunafanya ni kunung'unika tu.timu yetu ilikua inafanya vibaya sana and we had nothing to talk about kama walivo watani wetu man u,jukwaa lao halina mvuto tena inabidi nadhani hata jina thread yao libadilishwe liwe "man u special mourning thread"sikuhizi kila weeked wanashikika tafauti na zamani,..
 

#ManUnited siyo levo yako.

Njoo tuzungumze siku ukiwa hivi: #ManUnited 20
 

Tutaimiss energy ya Hendo, lakin naamin Lucas na Allen, watacover vizur sana..Nawaamini sana hawa watu Aisee!!!!
 


Itikadi yetu Mkuu hatushindwi! Kwahiyo Tarehe 27 huwezi kushinda!
 

Punguza Jazba! Anyway,wapi The Magnificent limekosewa? Mimi sijakukataza kuandika kwa lugha hiyo unayoipenda! Tatizo huijui! Unalazimisha tu....! ukiamua kuandika kitu kwa lugha fulani,hakikisha umeandika kwa usahihi...!
Karibu,

nionyeshe nilipokosea....na usahihishe.
 
nionyeshe nilipokosea....na usahihishe.


Wakuu ebu Acheni kuzozana kwa Kabila ambayo si yako! Sote tumejifunza tu Hiyo Kabila na si Wa kuzaliwa kwa asili! Kwahiyo kukosea ni lazima. Wenye Kabila Hiyo ni waingereza, Wamarekani, waaustralia, wanewzaland, part of Canada, na nchi zinazoongea English kwa asili! Lkn wote tuliobaki twajifunza! Acheni wakuu hayo mambo!
 
kama nawaona vile mashabik wa shelsick wanavo tetemeka iyo gemu na sunderland...
 

kukosoana na kusahihishana si ndio kujifunza??
 
kukosoana na kusahihishana si ndio kujifunza??



Sawa Lkn si kwa matumizi Km haya "F....Off" unakumbuka hapo nyuma uliandika hivi?

Anyway! Km mnajifunza endeleeni Lkn Mimi nimetoa ushauri tu kwa wadau wenzangu Wa soccer
 
Sawa Lkn si kwa matumizi Km haya "F....Off" unakumbuka hapo nyuma uliandika hivi?

Anyway! Km mnajifunza endeleeni Lkn Mimi nimetoa ushauri tu kwa wadau wenzangu Wa soccer

some ------ deserve that kind of language....back to football now.....hivi mbona unatumia muda mwingi huku huna kwenu???
 
Ni kweli Man U siyo level ya Liverpool...uje tuzungumze cku ukiwa na ndoo tano za CL na Super Cups za kutosha.

LFC ni giant wa ulaya alongside RM, Bayern,Ajax AC Milan na SIYO Manure!!!

YNWA...!


Mlikuwa daraja la pili wakati BILL SHANKLY alopoanza kuwa kocha wa LIVERPOOL FC.

William "Bill" Shankly alitwaa:
3 league cups.
2 FA cups.
4 Community Shields
1 UEFA Cup.

Bob Paisley:
6 League Cups
6 Community Shields
3 Europian Cups
1 UEFA cup.(sasa ilibadilika na kuitwa CHAMPIONS LEAGUE msimu wa 92/93)
1 UEFA super cup.

Mashabiki wa LFC hongereni kwa kujivunia mafanikio ambayo hamkuyashuhudia; zaidi ya kutazama mikanda na Youtube.
Sasa ni zamu yetu kutawala kuweni wapole..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…