Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilivyosoma hiki kitu, nimecheka sana, Kaka inaelekea huwa unawadanganya sana mashabik wa teams za England ambao hawafatilii mpira kiundan hapo mtaani kwenu...
Kuanzia mwaka 1991 liverpool imekuwa managed na makocha 7 tofaut, wa 7 ni BR huyu wa sasa..
1. GRAEME SOUSNESS- 1991-1994
•alichukua FA CUP tu
2. ROY EVANS- 1994-1998
•Alchukua League Cup tu..
3. GERLAD HOULLIER- 1998-2004
•FA CUP
•League Cup
•UEFA cup
•UEFA super Cup
4. RAFAEL BENITEZ- 2004-2010
•FA CUP
•UEFA CHAMPIONS LEAGUE
•UEFA super cup
•community shield.
5. ROY HODGSON- 2010-2011
•huyu babu alitoka kapa.
6. KING KENNY- 2011-2012
•League Cup
7. BRENDAN RODGERS- 2012- present.
Hapo shekhe ungeniambia mashabiki wa LIVERPOOL hawajafurahia UBINGWA wa PREMIERE LEAGUE tangu 1991 ningekuelewa, Lakini Vikombe vingne tumebeba saaaana..
Changamoto zako huwa unazuweka kishabiki sana ndo maana watu huwa wanakushangaa sana...
Afu anasema eti tuwaache watalawe, watawale kwa kipi sasa???
Anajua maana ya kutawala huyo???
Nilivyosoma hiki kitu, nimecheka sana, Kaka inaelekea huwa unawadanganya sana mashabik wa teams za England ambao hawafatilii mpira kiundan hapo mtaani kwenu...
Kuanzia mwaka 1991 liverpool imekuwa managed na makocha 7 tofaut, wa 7 ni BR huyu wa sasa..
1. GRAEME SOUSNESS- 1991-1994
•alichukua FA CUP tu
2. ROY EVANS- 1994-1998
•Alchukua League Cup tu..
3. GERLAD HOULLIER- 1998-2004
•FA CUP
•League Cup
•UEFA cup
•UEFA super Cup
4. RAFAEL BENITEZ- 2004-2010
•FA CUP
•UEFA CHAMPIONS LEAGUE
•UEFA super cup
•community shield.
5. ROY HODGSON- 2010-2011
•huyu babu alitoka kapa.
6. KING KENNY- 2011-2012
•League Cup
7. BRENDAN RODGERS- 2012- present.
Hapo shekhe ungeniambia mashabiki wa LIVERPOOL hawajafurahia UBINGWA wa PREMIERE LEAGUE tangu 1991 ningekuelewa, Lakini Vikombe vingne tumebeba saaaana..
Changamoto zako huwa unazuweka kishabiki sana ndo maana watu huwa wanakushangaa sana...
If you stand for the truth you stand alone brother.
Mie nafurahia ninachopenda; wewe unataka nikufurahishe wewe?
Kina nani wanaoudhika na kushangaa labda wewe na utoto wako hapa JF.
behave please! Mimi kama jirani nachangamsha jukwaa lako..si kazi yangu kusema yote uliyofanya..mimi naanzisha na kuchangamsha mjadala..
WEWE kama hutaki sisi watu wa timu zingine tulete changamoto sema..? Ndo unavyotaka?
😕
at home you just stay ...no need to walk.
we are coming..THE BLUE LION ...🙂
tatizo unapotosha watu humu ndani, kama unataka kuchangamsha hili jukwaa, leta hoja za maana na za kweli watu wachangie..
Toa hoja kama mshabiki wa soccer, na hapo umesema unaongea ukweli, ukwel upi unaongea hapo???..kama ungekuwa mkwel kwann usingeongele pia na mafanikio ya Liverpool kuanzia 1991 mpk sasa???
mimi kama nikiambiwa niichambue chelsea, ntaweka mazuri na mabaya yake pia..na siwez kupotosha hata kidogo..na wala stopindisha ukweli hata kidogo..ungekuwa kwel mshabik wa soccer, ungejitahid hata kidogo kufafanua na mafanikio mengne ya #LFC ..
Unasema mashabik wa liverpool wanafurahia mafanikio ya liver kuptia Youtube, na wakat unajua kabisa liverpool imeachive nn kuanzia 1990's to 2000's..
Toa hoja za maana ueleweka hapa..Mbona ndugu NTUZU tunaelewana nae vizuri tu hapa..
Ongea ukweli wa Team yako, Nami nitaongea Ukweli kuhusu team yangu,
Ukifuatilia mjadala mimi nilikuwa najibu hoja ya wenzako waliosema kwamba Chelsea imefufuka juzi. Nimemwaga hizo rekodi za makocha wawili wanaoheshimiwa sana na watu wa LIVERPOOL.
Nimekuonyesha kwamba hata wewe kuna wakati ulikuwa chini, chini kabisa. Ulipaswa kusoma na kuelewa kusudi langu la kupost kuliko kukimbilia na kumwaga dharau hapa jamvini.
safari yetu bado..
Mpira ni burudani jamani! Katika niliyoandika je ni ya uwongo? Mataji 4 ya UEFA LIVERPOOL imechukua miaka ya 70 na 80. Nilikuwa naeleza tu historia yenu... your own history brother Mosdef;
tatizo unapotosha watu humu ndani, kama unataka kuchangamsha hili jukwaa, leta hoja za maana na za kweli watu wachangie..
Toa hoja kama mshabiki wa soccer, na hapo umesema unaongea ukweli, ukwel upi unaongea hapo???..kama ungekuwa mkwel kwann usingeongele pia na mafanikio ya Liverpool kuanzia 1991 mpk sasa???
mimi kama nikiambiwa niichambue chelsea, ntaweka mazuri na mabaya yake pia..na siwez kupotosha hata kidogo..na wala stopindisha ukweli hata kidogo..ungekuwa kwel mshabik wa soccer, ungejitahid hata kidogo kufafanua na mafanikio mengne ya #LFC ..
Unasema mashabik wa liverpool wanafurahia mafanikio ya liver kuptia Youtube, na wakat unajua kabisa liverpool imeachive nn kuanzia 1990's to 2000's..
Toa hoja za maana ueleweka hapa..Mbona ndugu NTUZU tunaelewana nae vizuri tu hapa..
Ongea ukweli wa Team yako, Nami nitaongea Ukweli kuhusu team yangu,
Hahahahahah, Agost8 bhana!!!!
Hebu ipitie na uisome tena hiyo post yako ambayo unasema ulikuwa ukijibu mijadala ya hao waliokuwa wanaisimanga Chelsea..
Afu fikiria kama wewe ungekuwa shabik wa liverpool, ungeijibuje hyo post???..asa kulingana na MANENO uliyomalzia kwa hapo chini, yanayohusu mikanda ya video na Youtube!!!!!!
Na je unaamini kuwa ulichokijibu, ndo kile haswa amabacho ulitakiwa kukijibu kulingana na huo mjadala!!!??
Ndiyo, Liverpool kama team nyngne imekuwa ikipotea na kurud kwenye form kila baada ya muda...sasa kama lengo lako lilikuwa hilo ulitakiwa uHit direct kwenye point...
What goes around .. comes around!
Tar27 Uso wa Maureen lazima niuchakaze manundu ya kutosha!!
HAITAKUJA kutotea CHELSEA ikayapiku mafanikio ya LIVERPOOL..
Hata siku Moja.
hakuna ukweli mtamu..nimehit ndo maana mmerespond aggresively.. huwa hamsemi kwmba mmewahi kuwa chini..ni kana kwamba mmekuwa juu siku zote. Nimeweka hali halisi BILL SHANKLY aliikuta LIVERPOOL FC second division:
Ukifuatilia mjadala mimi nilikuwa najibu hoja ya wenzako waliosema kwamba Chelsea imefufuka juzi. Nimemwaga hizo rekodi za makocha wawili wanaoheshimiwa sana na watu wa LIVERPOOL.
Nimekuonyesha kwamba hata wewe kuna wakati ulikuwa chini, chini kabisa. Ulipaswa kusoma na kuelewa kusudi langu la kupost kuliko kukimbilia na kumwaga dharau hapa jamvini.
safari yetu bado..
Mpira ni burudani jamani! Katika niliyoandika je ni ya uwongo? Mataji 4 ya UEFA LIVERPOOL imechukua miaka ya 70 na 80. Nilikuwa naeleza tu historia yenu... your own history brother Mosdef;
Hilo si lengo langu.."what goes around ... comes around" nakuambia tu kwamba ipo siku utajutia unachosema..i will surely "hit" strongly...
What goes around .. comes around!
Ni sawa?
cc: Mosdef
Kwan history ya Liverpool inaanzia wapi???..kabla ya kupanda league kuu ilivyojitoa Everton wakat ule, ilianzia wapi????
Na wakat huo liverpool ipo second division, Club iliyokuwa inadominate ENGLAND ni Man Utd kaka..
Kwan kuna team dunian ambayo ishaanzia kucheza league kuu moja kwa moja tangu ianzishwe?????
Hahahahaha! Agosti 8 bana unajua manager wenu anaongea sana kama mwanamke ndo mana tunambatiza!