Liverpool FC (The Reds) | Special Thread


mlishiriki yote kwa wakati mmoja??? naomba nifafanulie msimu gani mmeshinda haya makombe mawili....nijuavyo mimi chelsea walishinda champions league 2011/12 season na walishinda europa league 2012/13 season na sio msimu mmoja ni CONSECUTIVE SEASONS......
 

Hahahah..makombe yote yanayoandaliwa na UEFA????

Intercontnental Cup na UEFA intertoto Cup (international football cup) yote yanaandaliwa na UEFA!!!!

Lini ushawahi kuyachukua hayo??
 


sawa RRONDO;
lakini si umekubali kwamba sasa ni wazee wa 'record' angalau hapa umetulia tuliii.
 
Hahahah..makombe yote yanayoandaliwa na UEFA????

Intercontnental Cup na UEFA intertoto Cup (international football cup) yote yanaandaliwa na UEFA!!!!

Lini ushawahi kuyachukua hayo??

hapo kwenye red washiriki wa mashindano hayo wanatoka nchi au mabara yapi?
 
kweli si kazi yako ila usipotoshe. 27 jiandae
 
INTERCONTINENTAL = MORE THAN ONE CONTINENT.

The Intercontinental Cup, known earlier as European-South American Cup and Toyota Cup from 1980 to 2004 for commercial reasons by agreement with the automaker, was a football official competition endorsed by UEFA and CONMEBOL, contested between representative clubs from these confederations, usually the winners of the European Cup and the South American Copa Libertadores.
 
Hahahah..makombe yote yanayoandaliwa na UEFA????

Intercontnental Cup na UEFA intertoto Cup (international football cup) yote yanaandaliwa na UEFA!!!!

Lini ushawahi kuyachukua hayo??


LIVERPOOL fc haijawahi kuchukua kombe la CUP WINNERS CUP hata siku moja!



The UEFA Cup Winners' Cup was a seasonal association football competition contested between member associations of European football's governing body, the Union of European Football Associations (UEFA). It was open to winners of domestic cup winners, such as the English FA Cup champions. Throughout its 39-year history, the UEFA Cup Winners' Cup was always a knock-out tournament with two-legged home and away ties up until the single match final staged at a neutral venue, the only exception to this being the two-legged final in the competition's first year. The first competition was won by Fiorentina, from Italy, who defeated Scotland's Rangers 4–1 over two legs to win the 1961 final. The competition was abolished in 1999; Italian team Lazio were the last team to win the competition when they beat Real Mallorca 2–1.[SUP][1][/SUP]
Barcelona are the most successful club in the competition's history, having won it on four occasions,[SUP][1][/SUP] followed by Anderlecht (Belgium), Milan (Italy), Chelsea and Dynamo Kyiv (U.S.S.R. / Ukraine) with two victories each. Barcelona, Atlético Madrid, Real Madrid (all from Spain), Anderlecht, Fiorentina (Italy), Rangers (Scotland), Arsenal (England) and Rapid Wien (Austria) hold the record for being runners-up the most times, with each team losing the final twice. Teams from England have won the competition the most, with teams from the country winning the competition eight times.[SUP][2][/SUP]


 
hapo kwenye red washiriki wa mashindano hayo wanatoka nchi au mabara yapi?

ni European nations na South-america nations...

Clubs kama, Real madrid, Porto, Bayern munich, Manchester utd, juventus, santos, Bova juniors, Ac milan, Ajax na nyingne kibao zshachukua..

iko endorsed na UEFA pamoja na CONMOBEL..
 

Duh!!! jamaa wewe!!!

Asa hyo intercontnental cup ipo Endorsed na nan???

We si umesema umeshachukua makombe yote yanayoandaliwa na UEFA au????
 

Dah!!!!

asa kuna sehem ambayo nmekwambia Liverpool kshachukua UEFA cup winners????

Afu kuna post nlijarbu kukuorodheshea baadhi ya team ambazo zshachukua Hyo UEFA Cup winners, na Liverpool sikuhitaja kabsa..

Kama ingekuwepo LAZIMA ningeitaja , tena ningeiweka ya KWANZA
 
Hahahah..makombe yote yanayoandaliwa na UEFA????

Intercontnental Cup na UEFA intertoto Cup (international football cup) yote yanaandaliwa na UEFA!!!!

Lini ushawahi kuyachukua hayo??

Muulize na aUEFA Super cup walipochapwa goli NNE kwaoja
 


sawa RRONDO;
lakini si umekubali kwamba sasa ni wazee wa 'record' angalau hapa umetulia tuliii.

sidhani kama ni nyinyi pekee mmeshinda makombe yote yanayoandaliwa na UEFA....liverpool washashinda uefa cup ambayo ndio europa ligi sasa utasema vipi ni chelsea pekee??

vipi mshawahi kushinda CLUB WORLD CUP???
 
Muulize na aUEFA Super cup walipochapwa goli NNE kwaoja


UEFA Super Cup tulichukua 1998.

CHELSEA FC 1 - 0 REAL MADRID.
Goli alifunga Gustavo Poyet #8 ambaye sasa ni kocha wa Sunderland.

Pole Gwamahala.. ..
 
RRONDO naongea vitu ambavyo ninazo source; wenyewe wanajua kwamba UEFA CUP WINNERS CUP hawajawahi kuchukua mbona unawatetea? Wewe tulia waje waseme wenyewe..kuhusu hilo kombe kwenye rangi nyekundu; linaandaliwana FIFA.
sidhani kama ni nyinyi pekee mmeshinda makombe yote yanayoandaliwa na UEFA....liverpool washashinda uefa cup ambayo ndio europa ligi sasa utasema vipi ni chelsea pekee??

vipi mshawahi kushinda CLUB WORLD CUP???
 
sidhani kama ni nyinyi pekee mmeshinda makombe yote yanayoandaliwa na UEFA....liverpool washashinda uefa cup ambayo ndio europa ligi sasa utasema vipi ni chelsea pekee??

vipi mshawahi kushinda CLUB WORLD CUP???

Hajabeba Intercontnental cup wala UEFA intertoto Cup, ambayo yote yapo endorsed na UEFA..

so kauli yake ya kwamba ashabeba makombe yote yanayoandaliwa na UEFA ni Null..
 
wewe wasema:



Chelsea Football Club /ˈtʃɛlsiː/ is an English football club based in Fulham, London. Founded in 1905, they play in the Premier League and have spent most of their history in the top tier of English football. Their home ground is the 41,837-seat[SUP][2][/SUP] Stamford Bridge stadium, where they have played since their establishment.
Chelsea had their first major success in 1955, when they won the league championship, and won various cup competitions during the 1960s, 1970s, 1990s and 2000s. The club has enjoyed its greatest period of success in the past two decades, winning 15 major trophies since 1997.[SUP][3][/SUP] Domestically, Chelsea have won four league titles, seven FA Cups, four League Cups and four FA Community Shields, while in continental competitions they have won two UEFA Cup Winners' Cups, one UEFA Super Cup, one UEFA Europa League and one UEFA Champions League. Chelsea are the only London club to win the UEFA Champions League,[SUP][4][/SUP] and one of four clubs, and the only British club, to have won all three main UEFA club competitions.[SUP][5][/SUP][SUP][6][/SUP]

Hajabeba Intercontnental cup wala UEFA intertoto Cup, ambayo yote yapo endorsed na UEFA..

so kauli yake ya kwamba ashabeba makombe yote yanayoandaliwa na UEFA ni Null..
 
RRONDO naongea vitu ambavyo ninazo source; wenyewe wanajua kwamba UEFA CUP WINNERS CUP hawajawahi kuchukua mbona unawatetea? Wewe tulia waje waseme wenyewe..kuhusu hilo kombe kwenye rangi nyekundu; linaandaliwana FIFA.

mimi nimesema UEFA CUP.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…