AL SHARPTON
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 2,797
- 953
Hi, wana jf na THE KOP. Im new comer.
Hii ndo nafasi pekee wana Anfield, km kesho tutamla Norwich it means tuko juu kwa 4 points thidi ya wapinzani wetu. So, hata tukipoteza game 1 na kushinda zilizobaki tunanyanyua kwapa.
"The Long Wait"
Hi, wana jf na THE KOP. Im new comer.
Hii ndo nafasi pekee wana Anfield, km kesho tutamla Norwich it means tuko juu kwa 4 points thidi ya wapinzani wetu. So, hata tukipoteza game 1 na kushinda zilizobaki tunanyanyua kwapa.
"The Long Wait"
Hi, wana jf na THE KOP. Im new comer.
Hii ndo nafasi pekee wana Anfield, km kesho tutamla Norwich it means tuko juu kwa 4 points thidi ya wapinzani wetu. So, hata tukipoteza game 1 na kushinda zilizobaki tunanyanyua kwapa.
"The Long Wait"
Tukishinda kesho, nerves za vijana zita-settle kwa mechi zote zinazofuata. Tukiboronga kesho, matumaini yote yata-crumble na ndiyo ndoto itakuwa imeishia hapo.
Tactical nous ya Brendan Rodgers ninaiminia sana kwa timu ambazo ziko predictable kiuchezaji kama Crystal Palace.....so Pulis hanipi pressure kabisa! Wasiwasi ni kwa hivi vitimu visivyotabirika kama Norwich, Sunderland, etc.
Ntunzu na Agosti 8 wako wapi? Lool hahahahaha
Sitaki kuongea sana...tusubiri kesho.
Hodi Hodi humu ndani!
Wakuu Hizi hujuma haziwafikishi popote! Ndoo mtaikosa tu msimu huu!
Pole sana mkuu...yule anaitwa Fabio Borini na alipewa kazi maalum!
Mkuu aksante Mkuu! Ndio mambo kaka! Ila nahisi km kuna hujuma vile?
Hodi Hodi humu ndani!
Wakuu Hizi hujuma haziwafikishi popote! Ndoo mtaikosa tu msimu huu!
Mbona sijaona comment hata moja ya Man united humu🙂