MKUU nenda kwenye thread yao kule utaziona comment kibao.
huku nikwa majogoo
pekee
Hi, wana jf na THE KOP. Im new comer.
Hii ndo nafasi pekee wana Anfield, km kesho tutamla Norwich it means tuko juu kwa 4 points thidi ya wapinzani wetu. So, hata tukipoteza game 1 na kushinda zilizobaki tunanyanyua kwapa.
"The Long Wait"
Norwich 0 - 4 Liverpool
Hi, wana jf na THE KOP. Im new comer.
Hii ndo nafasi pekee wana Anfield, km kesho tutamla Norwich it means tuko juu kwa 4 points thidi ya wapinzani wetu. So, hata tukipoteza game 1 na kushinda zilizobaki tunanyanyua kwapa.
"The Long Wait"
Kumbukeni kua pamoja na kua Norwich mnabahati ya kuifunga lakini ipo katika hali ngumu ya kujinasua kuepuka kushuka darajaO🙂
Norwich 0 - 4 Liverpool
Not yet sure,no hando...dah.!!
Hujuma gani?
Mourinho akifungwa ndo anakuwa hivyo, watu washamzoea..kwanzia Italian press na ma refa zao hadi la liga..yeye mtindo wake wa (sisi chelsea/r.madrid/inter milan vs everybody else) unaanza kuchosha..alipoteza ramani la liga hivyo hivyo na sasa unaona, asipokuwa mwangalifu atapoteza ramani premier league ambapo ndo sehemu iliyobaki anapata kiheshima kidogo.
Mourinho inabidi abadilike..he is a sour man, he looks lost, he looks depressed..mtindo wake inabidi ubadilike. Kwanza nashangaa kwanini hujamtukana sana sana..mmepoteza mechi za kijinga tangia mwezi uliopita, Villa, Palace na sasa Sunderland. Nashangaa huoni pattern hapo. Na mechi kama hii ndo mlikuwa mnahitaji mtu kama Mata.
Mourinho huyu si wa 2004-07..hata wewe inabidi ujue hilo...nyie wenyewe mnajua kwanini mlimuondoaga kocha kifaa kama Ancelloti.
Hata kama Mourinho akishinda Champs league, trust me na kila football pundit anasema hivyo, hafai kuwa Chelsea zaidi ya hata miaka 2.
ingia pita mpaka barazan kuna uji raini utaukuta kwenye bakuri enderea kuunywa taratibu ukinyoosha utumbo maana walichokufanya Sunderland Jana sio kidogo.
teh teh teh..ntuzu vp kaamisha kambi.
Kwikwikwi kwi kwiiiiiiSiku zote hampendi kuambiwa ukweli!
Jose atabaki Kua bora siku zote! Sisi tukifungwa lazima kuwe na sababu yeyote ile! Na Ndio maana imekua sherehe kote kwasababu Sisi ni timu bora!
Siku zote hampendi kuambiwa ukweli!
Jose atabaki Kua bora siku zote! Sisi tukifungwa lazima kuwe na sababu yeyote ile! Na Ndio maana imekua sherehe kote kwasababu Sisi ni timu bora!
Yani vita Bado iko palepale na sihami humu!
Yani ata km utachukua ubingwa Lkn Anfield lazima nije nikugonge!
Kwikwikwi kwi kwiiiiii
Jipe moyo ila mmepewa kitu paaa
Ramirez alistahili red card lakini hilo hamsemi
Namba nne inawahusu