Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

duh,hii game ya leo yanaweza kutukuta yaliyowakuta chelsick jana,hv vitimu vinavyopigana kutoshuka daraja vinakaza sana sana wadau.ikizingatiwa wachezaji wetu muhmu wa kikosi cha kwanza leo tunawakosa.YNWA.

Ni game nyepesi sana hiyo Mkuu..

Ondoa SHAKA kabisa!!!!
 
Ntuzu...bado saa moja na nusu ifike saa 8 tukuonyeshe jinsi ya kudili na vitimu kama Norwich City!
 
Last edited by a moderator:
Wakuu tutaonana badae kidogo usiku! Nawashukuru sn kwa hoja zenu!

Sitoweza kutizama mpira ila ntakua nafatilia updates hapa JF!

Usiku tutakua wote ktk mijadala!
 
Teh Teh teh

Mmenikimbia ktk thread yetu kule?

Nimewafata humu kwenu tuendeleee na mnankasha wetu! Teh Teh Teh Teh Teh

Ukiwa fans Wa Chelsea raha sn!

Wewe Mkuu Jana si ndo ulijificha baada ya kuangukiwa Tembe? Yaani ninyi sasa hivi hamna raha hata kidogo , hasa mkiwaza jinsi mtakavyoingia pale machinjioni!!
 
wewe mkuu jana si ndo ulijificha baada ya kuangukiwa tembe? Yaani ninyi sasa hivi hamna raha hata kidogo , hasa mkiwaza jinsi mtakavyoingia pale machinjioni!!

d d d d d d
 
#LFC Team To Play #NORWICH : Mignolet, GJ, Skrtel, Sakho, Flanagan, Gerrard, Lucas, Allen, Sterling, Countinho, Suarez..
 
Yaani leo ndio kimepanga kile kikosi changu nilichokuwa naktamani siku zote 1. Mignolet 2. Glen Johnson 3. Flanagan 4. Sacko 5. Skirtel 6. lucas 7. Allen 8. Gerrad 9. suarez 10. Cortinho 11. Sterling. WELCOME TO CARROR ROAD.
 
Hapo Mkuu umenitukana au nini hiki? Ganyan'ebhe!!!



Teh Teh Teh Teh

Bagheshi mhala ahene?

Siwezi kukutukana ndugu yng Msukuma mwenzangu!

Job K umenifurahisha sn!

Nyanabhe!?!??!
 
Last edited by a moderator:
Leo kazi tunayo Presha zimeona Kipa wa Norwich akiwa kwenye fomu tumekumia Mie kipa wetu na sakho siwaamini hata kidogo hata muda wa ku chat baadae tutizame inakuwaje.
 
mazingira kama haya ni ngumu sana kumkuta agost8 humu,
 
nasikia liver tayari keshatupia kimoja wakuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…