MosDef
JF-Expert Member
- Mar 13, 2014
- 8,420
- 17,183
duh,hii game ya leo yanaweza kutukuta yaliyowakuta chelsick jana,hv vitimu vinavyopigana kutoshuka daraja vinakaza sana sana wadau.ikizingatiwa wachezaji wetu muhmu wa kikosi cha kwanza leo tunawakosa.YNWA.
Ni game nyepesi sana hiyo Mkuu..
Ondoa SHAKA kabisa!!!!