MKuuu hakika sio siri siku na game yetu nikikufunga tuu nakununulia jezi original ya LIVER POOL. nitakutafuta kila kona hata kama upo mkoani itakufikia tuuu
Me Chelshit kunifunga Anfield ni sawasawa na Somalia kuiangusha serikali ya Marekani!!
We subiri Uone!
Mwanangu Mimi nipo bongo kimara
Km vp tutafutane basi!
Kinachonifurahisha ni kuona tu kuwa tunawacha na ku cement chances za ubingwa wetu!
Welcome to Anfield kijana...
kuna Wachezaji wao kama watatu hivi, najua watazomewa saaaana siku hiyo.. Torres, Willian na Salah..
Huyu Torres ye kshazoea kuzomewa pale, hawa wengne sasa willian na salah, watajuta kupangwa kwenye game hiyo!!!
Watazomewa saaana!!!!
Lucas na Henderson ni wachezaj wawil tofaut, Hendo ana pumzi sana, zaid ya Lucas, kwa mpira wa taratibu wa lucas, hatakiwi kucheza kwenye role kama alyocheza leo, nadhan kama tungekuwa na squad depth, sidhan kama angepangwa hii game..
Afu kama umemfatilia Lucas, tangu enzi za Benitez mpk sasa, Mchezo wake wa faulo ndo uleule, na hii ni kwasababu, yupo slow sana uwanjan!!!..
Mkuu jacjaz nakubaliana na wewe kuhusu pumzi 2nd half, nadhan huwa tunacheza kwa nguvu sana kipind cha kwanza aisee!!!
LEGE MosDef na Gwamahala Naona mnasimuliana hadithi za kitoto za aulela ulela! Huyu anasimulia na Huyu anaitikia km Yuko usingizini!
Khe Khe Khe
Tulicheza Fainal game ya CL na Munich bila wachezaji muhimu Lkn KILICHO wapata Munich mnakifahamu! Nyie jidanganyeni tu!
LEGE mi niko Temboni tutafutane kabla ya mechi na Mimi nikupe Jezi ya Chelsea!
I will be brutally honest....
Kwangu mimi tangu amesajiliwa Liverpool, Lucas hajawahi kuwa mchezaji wangu (he doesn't do it for me at all).
Kwangu mimi, he should be more of a fringe player kuliko kuwa kwenye starting lineup of a championship contender. Yuko more suited ku-star zaidi kwenye mid-table outfits (kama Man U ya sasa - lol!)
Wewe ndugu yangu naona huwa una-argue illogically all the time na bila kuzingatia context.
Hivi unajua ni mchezaji gani alikuwa ndiye spine & catalyst ushindi wa Chelsea wakati ule? Bado yupo Chelsea sasa??
Semifinal hii mnakutana na wababe wa counter attacking football in Europe na kwa ujinga wenu, kwenye marudiano Stamford Bridge mtataka kushambulia - mtakiona cha mtema kuni!!!
Hahaha hahaha ujue nini liverpool inatupa big result now! Watapigwa tu na nasema tume choka lazima wapigwe kama tuna waaambia tuta wapiga na wanakataaa kuwa hatuta wapiga naagiza vijana wangu wa liverpool wa wapige tu wasilete ukaid wawapige tu!
Sikiliza kijana Sisi ni timu Sio ya kulia kulia juu ya wachezaji!
Lineup ya nyuma Bado imesima imara kuanzia golini mpk mbele! Mwambie na na mwenzako MosDef hiyo uliyoitaja sio sababu!
Tunakuja Vzr sn
LEGE MosDef na Gwamahala Naona mnasimuliana hadithi za kitoto za aulela ulela! Huyu anasimulia na Huyu anaitikia km Yuko usingizini!
Khe Khe Khe
Tulicheza Fainal game ya CL na Munich bila wachezaji muhimu Lkn KILICHO wapata Munich mnakifahamu! Nyie jidanganyeni tu!
LEGE mi niko Temboni tutafutane kabla ya mechi na Mimi nikupe Jezi ya Chelsea!
From BBC Swahili;
"Mourhino anataka kupanga kikosi dhaifu game ya liverpool ili kwa kujiandaa zaidi na Atletico".
Huyu jamaa ni mpiga domo, anahofu na kichapo kikubwa. So anatafuta sababu na ujanja tujiachie ila jumapili ni kipigo tu.
J2 ni kumfumua tu...!