Kwa mpira huu matumaini yafute Kabisa Mie Lucas siipendi hata kumuona mchezo wa Pasi nyuma matokeo ndio hayo mpira pasha Mbele tu unarudisha nyuma unampa mwenzako Presha game Kama hizi na mpira ndio si tizami tena bora nitizame game za mchangani.Bado ninatumaini na liverpool
na amenipata kwenye je raha la moyo.
Kosa tulilofanya ni hawa jamaa kututangulia nadhani second half maureen anasimika Dar express hapo golini!
na amenipata kwenye je raha la moyo.
Sasa inatakiwa vijana wa BR inabidi warejee na nguvu ya ziada maana ni wazi kuwa behewa linaenda kuunganishwa.
dar express tu? Wewe humjui morinyo, ataenda pale bandarini aje na makontena na masemitrela yote usisahau na yale mabehewa ya mwakyembe, morinyo siyo mtu akishakutangulia.
dar express tu? Wewe humjui morinyo, ataenda pale bandarini aje na makontena na masemitrela yote usisahau na yale mabehewa ya mwakyembe, morinyo siyo mtu akishakutangulia.
Tayari ndugu yangu Kalkiti imeingiliwa chawa! Sujui kama hayo masemi tutayapita!
Kwa mpira huu matumaini yafute Kabisa Mie Lucas siipendi hata kumuona mchezo wa Pasi nyuma matokeo ndio hayo mpira pasha Mbele tu unarudisha nyuma unampa mwenzako Presha game Kama hizi na mpira ndio si tizami tena bora nitizame game za mchangani.
Hiyo ndo tabu ya morinyo akishakutangulia halafu akawa anakuogopa lazima ukumbane na makontena mazito yenye ujazo wa cc 1000000
Tena ole wake aunt wao Josephine Maureen apange kikosi "dhaifu" leo.....yatawakuta yale yale ya 2012 walivyofanya kosa hilo!!
Check hapa... BBC Sport - Liverpool 4-1 Chelsea