Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool wana ngebe sana...leo wanepakatwa wakae kimya..raha sana kuwa shabiki wa chelsea maana kila siku sukari guru tupu

Aione invisible

Aione kwa minajili ipi mkuu hebu niweke sawa hapo
 
Sijaona mpira tuliocheza mkuu zaidi ya kuwaonyesha wapi tunaenda Raheem wamehakikisha haingii winger zote Chelsea waliziuwa hatuna Middle wakupasua kati Lucas kacheza vibaya ila kuonyesha Morinho anaakili baada kutolewa Lucas alisema Asante tumeuwa kati yenye Lampard na Matic a kaweka willian azuie na kuchezesha game kwa Chelsea aliyecheza mpira LFC Leo ni Steven Gerrad na Coutinho Yule Sakho ni mbabaishaji si footballer game Hama hizi, tuwape tu hongera Chelsea tusiwe Kama mashabiki wengine.
nakupa like mkuu hongera zao ila mchezo huu morihno atletico pale darajani wanaondoka na ushindi
 
Sijaona mpira tuliocheza mkuu zaidi ya kuwaonyesha wapi tunaenda Raheem wamehakikisha haingii winger zote Chelsea waliziuwa hatuna Middle wakupasua kati Lucas kacheza vibaya ila kuonyesha Morinho anaakili baada kutolewa Lucas alisema Asante tumeuwa kati yenye Lampard na Matic a kaweka willian azuie na kuchezesha game kwa Chelsea aliyecheza mpira LFC Leo ni Steven Gerrad na Coutinho Yule Sakho ni mbabaishaji si footballer game Hama hizi, tuwape tu hongera Chelsea tusiwe Kama mashabiki wengine.

well said mkuu! Rodgers wiki nzima hii alikuwa anamsifia morinyo! Nadhani sasa atamsifia vizuri leo!
 
Inanikumbusha Ile meals Gerald alipowapa Chelsea goli ili Man Utd wasichukue kombe ah Leo naona kajisahau kazania Jana Man ndo wanaongoza
 
nakupa like mkuu hongera zao ila mchezo huu morihno atletico pale darajani wanaondoka na ushindi

mmm! Mkuu kwa game ya Chelsea na Atletico sina maoni maana lolote laweza tokea
 
That was Jose masterclass....you got to love the man in big games.

Bora amani irudi mtaani...maana loserfools walikuwa wanapiga kelele sana.

Ila bado ngoma mbichi...sasa inabidi mwombee adui njaa...Shitty ana game ngumu sana na Everton...so, msikate tamaa..

Mkuu Nzi Na wao watamaliza na Newcastle..Nao siyo wakubeza..
 
Last edited by a moderator:
Nimekua naongea sn hapa kwa Zaidi ya mwezi sasa na yametokea! Pamoja na majeruhu wengi tulio nao tumeibuka washindi!

Poleni sn LIVERPOOL na pongezi sn kwa Mike Dean!

Mkuu nikupongeze kwa kuwa na ukuta mzuri make coutinho kajaribu kupenyeza mipira mingi lakini beki walikuwa wanaona na kuanua!!
 
Na sisi tungepaki basi tu aaaaghr!! Sasa itabidi tumuombee njaa city!
 
Bado naamini Liverpool watabeba kombe, no chance mta bottle it kwa mechi 2 zilizobaki. City hawatashinda mechi zao zote, everton watakuwa decider.
 
Back
Top Bottom