asakuta same
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 14,829
- 5,035
kweli mpira magoli....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wakuu,binafsi nime give up ubingwa wa mancity! Tumecheza vizuri sana lakini bahati haikuwa yetu! #redordead ,ynwa!
Game over sioni City kuharibu tena.
Liverpool wana ngebe sana...leo wanepakatwa wakae kimya..raha sana kuwa shabiki wa chelsea maana kila siku sukari guru tupu
Aione invisible
nakupa like mkuu hongera zao ila mchezo huu morihno atletico pale darajani wanaondoka na ushindiSijaona mpira tuliocheza mkuu zaidi ya kuwaonyesha wapi tunaenda Raheem wamehakikisha haingii winger zote Chelsea waliziuwa hatuna Middle wakupasua kati Lucas kacheza vibaya ila kuonyesha Morinho anaakili baada kutolewa Lucas alisema Asante tumeuwa kati yenye Lampard na Matic a kaweka willian azuie na kuchezesha game kwa Chelsea aliyecheza mpira LFC Leo ni Steven Gerrad na Coutinho Yule Sakho ni mbabaishaji si footballer game Hama hizi, tuwape tu hongera Chelsea tusiwe Kama mashabiki wengine.
Sijaona mpira tuliocheza mkuu zaidi ya kuwaonyesha wapi tunaenda Raheem wamehakikisha haingii winger zote Chelsea waliziuwa hatuna Middle wakupasua kati Lucas kacheza vibaya ila kuonyesha Morinho anaakili baada kutolewa Lucas alisema Asante tumeuwa kati yenye Lampard na Matic a kaweka willian azuie na kuchezesha game kwa Chelsea aliyecheza mpira LFC Leo ni Steven Gerrad na Coutinho Yule Sakho ni mbabaishaji si footballer game Hama hizi, tuwape tu hongera Chelsea tusiwe Kama mashabiki wengine.
nakupa like mkuu hongera zao ila mchezo huu morihno atletico pale darajani wanaondoka na ushindi
That was Jose masterclass....you got to love the man in big games.
Bora amani irudi mtaani...maana loserfools walikuwa wanapiga kelele sana.
Ila bado ngoma mbichi...sasa inabidi mwombee adui njaa...Shitty ana game ngumu sana na Everton...so, msikate tamaa..
Inanikumbusha Ile meals Gerald alipowapa Chelsea goli ili Man Utd wasichukue kombe ah Leo naona kajisahau kazania Jana Man ndo wanaongoza
Nimekua naongea sn hapa kwa Zaidi ya mwezi sasa na yametokea! Pamoja na majeruhu wengi tulio nao tumeibuka washindi!
Poleni sn LIVERPOOL na pongezi sn kwa Mike Dean!
wakuu,binafsi nime give up ubingwa wa mancity! Tumecheza vizuri sana lakini bahati haikuwa yetu! #redordead ,ynwa!
hamna mpira wowote uliocheza leo.
Bado naamini Liverpool watabeba kombe, no chance mta bottle it kwa mechi 2 zilizobaki. City hawatashinda mechi zao zote, everton watakuwa decider.