Liverpool FC (The Reds) | Special Thread


Mkuu huu msimu ni wetu dalili zote nishaziona toka mwanzo...ukae ukinua hao City wenyewe wapo under a very great pressure saivi.

Tare he 11 May LFC ndo watatawazwa mabingwa wapya wa Uingereza!
 
Mkuu huu msimu ni wetu dalili zote nishaziona toka mwanzo...ukae ukinua hao City wenyewe wapo under a very great pressure saivi.

Tare he 11 May LFC ndo watatawazwa mabingwa wapya wa Uingereza!
. Mkuu hizo ndoto naona unazo peke yako
Hata Mosdef mzee wa kujiamini hajiamini tena football is over kwa LFC msimu huu Kama iliyo over kwa man united ambao Yao yanaendelea sasa hivi ni Man City EPL na Arsenal na Hull FA Cup na Chelsea CL! Wengine kilichobaki tufurahi tu Europe haitokuwa kwenda Swansea peke yake safari hii LFC Kama ilikuwa kushinda Ligi ilikuwa ni kumfunga Chelsea LFC ni wakujilaumu hawajaitaka Game wakati Chelsea walitupa Game ya kushinda.
 
Game ijayo itakuwa ngumu sana kwenu

I know...but tutashinda mkuu! Ili uwe bingwa lazima upite kwenye tanuru la moto kama leo ili ukitoka unakuwa umeiva kabisa!

Tukutane terehe 11 May wakati tunakabidhiwa ndoo yetu. Lakini kabla ya hapo tunamchapa CP pale kwao.
 

Mkuu...come 11th of May nitakukumbusha kuwa I told you ndoo ni yetu.

Am extremely positive! Subiri mechi mbili zijazo za City ndo utaelewa namaanisha nini... YNWA!
 
Mkuu huu msimu ni wetu dalili zote nishaziona toka mwanzo...ukae ukinua hao City wenyewe wapo under a very great pressure saivi.

Tare he 11 May LFC ndo watatawazwa mabingwa wapya wa Uingereza!

24yrs and still counting.....khe khe khe keh khe khe khe khe
 
Sidhani kama ni zaidi yangu mkuu! Pengo la Hendo litaonekana daima...na hili ndo tatizo la kuwa na thin squad..!
LFC ndio ijifunze hatakiwi Kuwa na hizo fikra za Nani akiumia zitakuwa Kama sababu why timu mnanunua then lawama turukie flani waliumia ndomana hatukushinda ni mambo ya kitoto tusiwe mashabiki wa Hivyo tunachotakiwa lazima kuwe na timu kuumia au red anayeshika nafasi ya mwenzake ni Kifaa pia japo mtu akishakuwa mkali timu zozote hawataki Kuwa bench Hendo alichoonyesha kitu kimoja waliofikiria ni Flop si a flop ni mchezaji Mzuri ila LFC haitakiwi kuitafuta sababu Kama Hiyo LFC tulikuwa tunacheza kwa uoga wawapi tupenye tumebabaika zile jezi za blue Mbele yetu kuliko nyavu au goli lipo wapi Presha hatuziwezi bado Sema msimu Kama huu ndio utatupa mafunzo ya kufanya vizuri Mbele.
 

Yes...depth inatakiwa next season!
 
Eti chelsick naye bado anajihesabu kugombania ubingwa! Ndoto zingine bwana!
 
Mkuu...come 11th of May nitakukumbusha kuwa I told you ndoo ni yetu.

Am extremely positive! Subiri mechi mbili zijazo za City ndo utaelewa namaanisha nini... YNWA!

Mkuu,naona una confidence za hatari sana.....! kila la kheri mkuu...! mimi sasa hivi nitakuwa mtazamaji tu....!#RedOrDead!
 
Mkuu...come 11th of May nitakukumbusha kuwa I told you ndoo ni yetu.

Am extremely positive! Subiri mechi mbili zijazo za City ndo utaelewa namaanisha nini... YNWA!

Yaya Toure amerudi,Huenda mkadroo next game
 
hivi ushajiuliza what if tungeshinda leo,halafu next game na c.palace tukapigwa? Kila matokeo huja kwa sababu! I mean everything happens for a reason
 
Mbu Best wangu nakwambia kati ya siku nimeumia kifan ni kati ya leo Kamanda wangu.

Tuitakie kila la Everton ituzuilie hawa man cty.
 
Last edited by a moderator:
Reactions: Mbu
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…