Mr. Wise
JF-Expert Member
- Jul 23, 2012
- 7,733
- 6,469
Tusahau mkuu usitegemee LFC kushinda tena Mie nimeshakata tamaa zamani sie wenyewe tumeshindwa kujisaidia itakuwa wengine watu Sadie? Kwanza Palace kutakuwa kugumu kweli! Naona watu wanasema sana kuhusu LFC kuweka walinzi Ready kwa Parade ya ubingwa ila watu wanashindwa kuelewa Game ni chache zimebaki na siku ni chache zimebaki Parade sheria timu zote zinaweka maandalizi ikifika muda Kama ule mapema sababu ni zipi tukumbuke Final Barca Na United pia United waliweka Maandalizi ila Council almashauri ya Jiji la Manchester City bado siku moja Barca na United kucheza walivunja isifanyike Sherehe za ubingwa sababu baaazi ya ma police walikuwa ngono, bahati mbaya au nzuri United haikushinda kipindi kile na sio timu inayoandaa timu inakuwa inataka kufanya Hilo ikiiishinda ila Almashauri ya Jiji inatowa Kibali na kupelekana Zile sehemu za vituo za kutafuta wafanya kazi mapema ili majina ayo ya wafanyakazi yawe kwenye orodha ikija kutokea Fujo au Vifo wanajuwa nini wafanye sio tu Kama kwetu jambo la jioni unatafuta wafanyakazi asubuhi mwisho mgonjwa unampa atibiwe na mtengeneza magari, timu zote 3 zimejiandaa ndomana hata FA wanasubiri game ya mwisho wajue Kama timu zote 3 ubingwa utajulikana ni game ya mwisho nasikia Kombe moja litaazimwa Blackburn la Fake, Original litakuwa Manchester.
Pazi anything can happen!!!Mbona City alishindwa kujisadia mwenyewe akasaidiwa na Chelsea ambae hata kwenya mbio za ubingwa walimtoa ama umesahau?so tungojeeni hizo game mbili mbili zichezwe, kimahesabu hata Chelsea anaweza kubeba ndoo