Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

ukitaka ya Giggs njoo kwenye thread yetu hapa tutatoka off-topic.....najua inauma sana kukosa kombe kama sisi inavyotuuma kulikosa msimu huu...najua nyinyi inauma sana maana ni kama miaka 20 hivi ila bado mna nafasi ombeeni tena City afungwe maanake kwa uwezo wenu pekee hamuwezi kulipata....MNAHITAJI MSAADA WA TIMU NYINGINE.

Me mambo ya Giggs hayanihusu coz siyo mshabiki wa Manure!!!!
 
Last edited by a moderator:
hakuna alyekimbia hapa!!!

Hakuna mashabiki loyal duniani kama wa Liverpool!!!!

Siyo kama Glory hunters wa Manure, Most y"all are plastic fans..juzi tu hapa m-mempa Giggs shouts za kutosha, then nimepta kwenye mitandao karbia yote, Mna-mponda huyo huyo Giggs!!!

Plastic fans!!

...sio wewe huyu unaemzungumzia giggs hapa halafu unasema hayakuhusu.....wewe subiria wengine wakusaidie huwezi kushinda kombe kwa uwezo wako maanake utaanza kuteleza uwanjani wenzio wanakufunga!
 
...sio wewe huyu unaemzungumzia giggs hapa halafu unasema hayakuhusu.....wewe subiria wengine wakusaidie huwezi kushinda kombe kwa uwezo wako maanake utaanza kuteleza uwanjani wenzio wanakufunga!

carrick leo alitereza mara ngapi????
 
lol Belo ila kumbuka sio Kama watu wamekimbia LFC haijacheza Leo japo tulikuwa tunatizama game ila sio game yetu hata wasipokuwepo hapa si kwamba wamekimbia sie tulishaharibu na Chelsea, maybe ungejiuliza rumu yako wenzako wapo wapi? Sababu nyie mlikuwa micheza Leo. Tutakimbia J3 lol.

Everton walivyofunga goli kuna watu walikuja ghafla then lilivyorudi wakapotea kabisa
 
Kama ulivyopotea wewe Juzi na agosti 8 eh ? Hehehe. Tena siku ya game yako ilicheza wenzako game Yao j3 ingekuwa siku ya game tungekuelewa.

Huyo agosti 8,naona kajiba ban ya muda mrefu huenda tukamuona next season
 
Last edited by a moderator:
Liverpool huwa ina gundu sana na Tilte,

Tumefanya kila kitu ambacho ni kama utamaduni kwa EPL pale team inapoelekea kuchukua UBINGWA...kuwa top of the league at xmas, 11 wins mfululizo..Kuvuka magoli 90..lakin ishaonekana ubingwa kushindikana..

kinachouma zaidi, najua kwamba tutachukua tena seasons kufika this close kama msimu huu!!!

Ilikuwa ni chance kubwa sana!!!

though, I still Believe nafasi bado ipo...some of you najua mlikata tamaa kabisa kipindi kile when we went down kwa goal 0-3 against AC MILAN before HT katka UCL final kule instanbul, but we fought back and won the UCL..

So itabidi tuendelee kuisapoti our club no matter what..coz hata Man city nao kuna kipind walishakata tamaa na ubingwa..but wamerud baada ya sisi kuzingua..so you never know kitu gani kitatokea kwenye hizo game mbili zilizobaki..

Lakin pia, hili suala nimekuwa nikiliongelea kila siku, kuwa, haiwezekan team inakuwa na game 3 mwisho wa league, afu wenzako wamebakiza 2 tu..afu man city hawakuwa na game zozote za UCL..FA itabid walekebishe hii hali..

Kama tukifanikiwa kubeba Kombe, Itakuwa ni faraja sana, asa kwa watu kama kina Gerrard, Agger, Lucas,Skritel, They stayed so loyal to our great club..walikuwepo kutupigania wakat tupo vibaya na mpaka sasa wanatupigania..ningependa sana wapate hii zawadi..na Pia kwa mashabiki wote loyal wa Liverpool ambao walikuwepo na bado wapo na team mpaka sasa..wanadeserve hii zawadi...

INAUMA sana!!!..i feel so so sorry for our captain fantastic, najua atakua bado anaumia sana na ile bahati mbaya ya chelse, lakin hatuwez kumlaumu coz amekuwepo nasi mda wote..Mcmanaman left us, owen, Xabi Alonso, Mascherano, Torres, Riera, Meireles na wengineo, walitukimbia wakati tukiwahitaji the most..lakini our captain alibaki nasi wakat madrid, chelsea, Bayern walimtaka kwa nguvu, but he chose to stay loyal for the club and the funs..Inauma sana!!!

Nakubaliana nawe but game ya Man City ilihairishwa kwa sababu ya barafu kujaa uwanjani.Huu ndio ulikuwa msimu wenu kuchukua ubingwa next season itakuwa ngumu sana
 
carrick leo alitereza mara ngapi????

ukitoka kwa carrick utaenda kwa nani?? fletcher....hii ni Liverpool thread lazima tuwape za uso. hamjazoea kuchukua ubingwa ndio maana mnasubiria msaada wa timu nyingine endeleeni kusubiri si mmeweza kusubiri miakazaidi ya 20.
 
sasa watashangilia nini wakati wana miaka zaidi ya 20 hawajui EPL title ni nini??? kwanza hii thread yenyewe walianzishiwa na Mbu ambaye ni gooner damu....hii inaonyesha washabiki hawa ni wakuja tu na mvua za msimu kama za msimu huu
MosDef mr wise msinitoe macho ni maoni yangu tu kuchamsha jukwaa lenu limedorola sana.

lile lenu la giggs limechangamka?
 
Last edited by a moderator:
Nakubaliana nawe but game ya Man City ilihairishwa kwa sababu ya barafu kujaa uwanjani.Huu ndio ulikuwa msimu wenu kuchukua ubingwa next season itakuwa ngumu sana

kabla msimu huu haujaanza ulijua sisi tuna nafasi ya kuchukua ubingwa msimu huu? Mbona mnakuwa na propaganda kama maccm? We are still on rebuilding! Mimi binafsi hata hiyo top3 naiona imekuja kama zali tu! Watu wameinvest kuwin pl,acha washinde tu! Mtu umeunda kikosi kwa pound 500m unashindwa kuchukua ubingwa unakalia kupiga domo ri ujinga huo? #redordead #YNWA .
 
ukitoka kwa carrick utaenda kwa nani?? fletcher....hii ni Liverpool thread lazima tuwape za uso. hamjazoea kuchukua ubingwa ndio maana mnasubiria msaada wa timu nyingine endeleeni kusubiri si mmeweza kusubiri miakazaidi ya 20.

Kipindi kile Man city alvyochukua Kombe kwa tofauti ya magoal dhidi yako, we ulikuwa husubirii misaada ya team nyingne????
 
Kipindi kile Man city alvyochukua Kombe kwa tofauti ya magoal dhidi yako, we ulikuwa husubirii misaada ya team nyingne????

sikusubiria,nilishindwa mwenyewe kufunga magoli saba,City akachukua,last season nilitimiza wajibu 11pts clear. ukitimiza wajibu wako huna haja ya kusubiri timu nyingine. na nyinyi mlikuwa na uwezo wa kushinda bila kusubiri msaada wa wengine.
 
sikusubiria,nilishindwa mwenyewe kufunga magoli saba,City akachukua,last season nilitimiza wajibu 11pts clear. ukitimiza wajibu wako huna haja ya kusubiri timu nyingine. na nyinyi mlikuwa na uwezo wa kushinda bila kusubiri msaada wa wengine.

Katika mpira chochote kinaweza kikatokea kaka..ndo maana last season ulibeba EPL, leo Upo #7 ..

So Twists katka soccer ni kitu cha kawaida sana!
 
Katika mpira chochote kinaweza kikatokea kaka..ndo maana last season ulibeba EPL, leo Upo #7 ..

So Twists katka soccer ni kitu cha kawaida sana!

kila mtu analijua hilo....subirieni twists and turns.
 
kabla msimu huu haujaanza ulijua sisi tuna nafasi ya kuchukua ubingwa msimu huu? Mbona mnakuwa na propaganda kama maccm? We are still on rebuilding! Mimi binafsi hata hiyo top3 naiona imekuja kama zali tu! Watu wameinvest kuwin pl,acha washinde tu! Mtu umeunda kikosi kwa pound 500m unashindwa kuchukua ubingwa unakalia kupiga domo ri ujinga huo? #redordead #YNWA .

Hamkuwa na nafasi,timu zilizotegemewa zilichemka so mkawa kwenye nafasi nzuri sana.Wapinzani Chelsea,City,United walokuwa na makocha wapya na walikuwa na michuano ya ulaya ambayo nyie hamkuwa nayo msimu ujao City na Chelsea watakuwa hatari sana so itakuwa ngumu sana kupata nafasi kama mliyoipata msimu huu
 
Back
Top Bottom