Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

...sio wewe huyu unaemzungumzia giggs hapa halafu unasema hayakuhusu.....wewe subiria wengine wakusaidie huwezi kushinda kombe kwa uwezo wako maanake utaanza kuteleza uwanjani wenzio wanakufunga!

Uyo City kasaidiwa na Chelsea, yeye binafsi kazi ilimshinda Anfield, Ebu punguzeni majungu kidogo
 
Nakubaliana nawe but game ya Man City ilihairishwa kwa sababu ya barafu kujaa uwanjani.Huu ndio ulikuwa msimu wenu kuchukua ubingwa next season itakuwa ngumu sana

Mkuu umekosea kidogo, huu haukua msimu wetu wa ubingwa maana wakati ligi inaanza watu wengi si ajabu hata wewe ni mmoja wao walitabiri sisi kutoingia hata top4. Mbio zetu za ubingwa zisiwe sababu za watu ku change kauli zao za awali na kudai huu ulikua msimu wetu wa ubingwa.
 
Uyo City kasaidiwa na Chelsea, yeye binafsi kazi ilimshinda Anfield, Ebu punguzeni majungu kidogo

mtegemea cha ndugu hufa masikini....sawa na nyie subiri msaidiwe na nani sijui mwingine maanake Everton wengi walimtegemea kashindwa,ila kuna GD ya 8 au 9 hivi mkifunga magoli mengi mengi mnaweza kuchukua na msimu huu si mshapiga watu goli nyingi nying kwa hio mnaweza.
 

In football anything can happen, but ki uhalisia tuna nafasi finyu kwasasa!Jst to remind u, No one expected Sunderland to draw against City wakati City at Etihad akimkimbiza Liverpool.....Tungojee hadi May 11 wadau.
 

so what..? man utd wao next season watakuwa na kocha mzoefu au? unajua kuna mambo mtu unaweza kuongea bila kuushirikisha ubongo(kuweka hisia mbele)
BTW: Ligi ilikuwa na timu 20,Timu nne zilicheza champions league(man city ilitoka mapema tuu),kwanini hizo timu 15 nyingine zisingekuwa zinachallenge for the title? kama hoja ni UCL?
Kama jibu ni ubora wa timu LFC,kwa nini uwepo msimu huu na mwakani usiwepo tena? una uhakika gani kwamba LFC haitajiimarisha ili kukabiliana na season ijayo?
Miaka minne hatukuwepo kwenye CL,kwani season ijayo tusipokuwepo itadhuru nini? hii mambo ya kujudge next season wakati haijafika sio ishu! subiri ligi ijayo ianze ndo uongee hizo vapour....!
Kwenye mpira kuna mambo mengi sana,lolote linaweza kutokea...!
Ndo maana nikakwambia watu wamewekeza kuchukua ubingwa,acha wachukue! Angalia thamani ya kikosi cha Man city na chelsea! halafu angalia thamani ya kikosi cha LFC! LFC inajengwa hatua kwa hatua...huu ulikuwa msimu wa pili wa BR pale Anfield! timu ime improve sana kulinganisha na season iliyopita! we are hopin that next season tutaendelea kuwa na improvement....
waulize chelsea,kwa kikosi walichonacho wanastahili kuukosa ubingwa mwaka huu?

We ll be moving from Glory to Glory! Come on you haters..!

YNWA....! #redordead..!
 
mbona unakuwa kama mngese? Tuchangie uzi kivipi? Kwani tulikuwa tunacheza na nani jana?

Hahaaa huyu wa wapi mbona ana mitusi jukwaani? mxxxxxxiiiiii mwenyewe bhana....kama mistake mmefanya wenyewe, yaani nyie kunogesha uzi sharti muwe mnacheza? 1 day before a game bado tu mpo kimya hamna k=mikakati yoyote, na ndio maana Ubingwa umeeota mbawa....Kwann b4 game ya Chelsea masaa 24 mlikuwa active?
Be respect bro
 
Sizinga naona unataka tuwe tunatangaza au imekuwa lazima sign in una Alarm Sizinga nipoooo au Fulani nipo Liverpoolfc thred ndio unataka hivyo? Kuna mengi ya kujadili game yako mtu ikiwa haichezi mengi yapo ya kujadili jamiiforum Kumbi za dini,siasa na mengineo wewe unataka kila saa watu basi tuwe hapa? Ambao wanacheza Leo ukienda Kumbi Yao utamuona watu wawili tu, mambo ya kawaida kuhusu Mbu akiambiwa kufuta hii Thred haipunguzi kitu haiongezi kitu zipo sehemu za kujadili Liverpoolfc muda mwengine watu Wana kazi zao sio kila saa Kama watoto ila still na muwekea heshima Mbu sababu najua Ana hekima zipi kutokuwepo Humu mtu haimaanishi sio Loyal wapo wengi Thred zao wamepotea sio sababu haipendi timu yake. Kuwepo Mie Inatosha Kama Kuwepo Ntuzu peke yake Kule au Nzi na belo peke Yao Kule vitu vya kawaida subiri game na timu ya game ikifika subiri mpira ukiisha watu muda mwengine wanatizama mpira.
 

noted! Samahani kwa disappointment,emotions zipo tu kwa binadamu,anyway,tupange mkakati wa kushnda game ya kesho huko uingereza hapa kwenye keyboard tena bongoutasaidia nini?
 


Mkuu Hawa jamaa biashara Na Mimi ilipoisha ndio unaona wametulia kimya!

Hawana jipya Siku hizi wamebaki kuomba mabaya kwa Man City!

Woree kimya Siku hizi Ndoto ZA ndoo kwisha!

Cc: Mr. Wise MosDef Baba Kelvin nguvu Gwamahala ndio haonekani kabisa! Pazi ndio anajifanya mbishi!

Khe Khe Khe Khe
 
Last edited by a moderator:
adui mwombee njaa vijana wa chelshit...mnashindwa hata norwich...poor bridge boys...just wait til 11th when we r champions....ynwa
 

CHELSHIT.
Willian- Around £32mill
Andre Schurrie- Around £18mill
Nemanja Matic- Around £21
Mohamed Salah- Around £11
Van Ginkel- Around £8.5
Etoo- Around £4

Na mwisho wa siku msimu umeisha mkavu..

Asa specialist in failure ni nani hapo??











Van Ginkel- Around £8.5
 
Last edited by a moderator:


belo umeanza kuwa mganga wa kienyeji wewe umejuaje mwakani liver hatakuwa na uwezo kama mwaka huu. nani aliipa nafasi liver mwanzoni mwa msimu? mpira unabadilika badilika usije shangaa mwakani liver hao hao wakawatoa jasho
 
noted! Samahani kwa disappointment,emotions zipo tu kwa binadamu,anyway,tupange mkakati wa kushnda game ya kesho huko uingereza hapa kwenye keyboard tena bongoutasaidia nini?

Noted!! Pamoja mkuu...lakini hapa jukwaani kwa fans wana nafasi yao pia,sio lazima uwe kocha kupanga mikakati...anyway, na ndio maana mara sometimes tunasema leo tumecheza ovyo...au "leo sikutana sterling acheze"....ni misemo ya washabiki tu lakini haina uuhalisi akwamba si ndo tupo uwanjani tunacheza.
Ni kukumbushana tu.
 

Mkuu ukinyang'anywa tonge mdomoni lazima uwe mpole tu...ndo Liverfooool inavyoonekana, mmewafanyia ukatili sana, huyu ndugu yetu agosti 8 una mawasaliano nae? Tupe status yake basi
 
Last edited by a moderator:

Mkuu ukinyang'anywa tonge mdomoni lazima uwe mpole tu...ndo Liverfooool inavyoonekana, mmewafanyia ukatili sana, huyu ndugu yetu agosti 8 una mawasaliano nae? Tupe status yake basi
 
Last edited by a moderator:

Hahahaaaa Glory Hunter....they buy trophyless this season..LOL
 

Sawa, bhana ngoja tujue tu kwamba mpo busy na mna kazi zenu...lakini why kabla ya game ya Chelsea mlikuwa hapa 24/7 hapa Jukwaani?
 
game ya Leo ni lazima tushinde na tutapigana mpaka tone la mwisho aisee mpaka kieleweke hata kama man city anachukua achukue kombe mpaka dk 90 za game ya mwisho refa anapuliza kipyenga akitereza tuu hata kwa droo kwabwaga manyanga ndoo tunanyanyua ila haya yote yanawezekana tukipigana mpaka second ya mwisho all cops msikate tamaa.lolote laweza tokea mpira dk 90
 
Mkuu ukinyang'anywa tonge mdomoni lazima uwe mpole tu...ndo Liverfooool inavyoonekana, mmewafanyia ukatili sana, huyu ndugu yetu agosti 8 una mawasaliano nae? Tupe status yake basi



Mkuu agosti 8 yupo tu ametulia!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…