Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

hiii game ilibidi tushinde kama goli sita hivi maana point hazina nafasi tena.
ubingwa waweza nyakuliwa kwa point
 
HT ubao unasoma 0-1 (CRY-LIV). Kipindi chetu cha majanga kinakuja, sijui kwa nini vijana wetu huwa wanatepeta hivyo kipindi cha pili? Pulis hakawii kusomesha ubao 1-1!!
 
SH imeanza. tunapata kona hapa! imekataliwa
 
Mtambo wetu wa gongo unalilia penalty hapa! Tumewakosakosa!
 
Dan anagongesha post hapa, she.nzy kabisa hawa vijana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…