The Magnificent
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 2,694
- 1,249
The magnificent pole sana mkuu..tatizo ni over confidence ambayo LFC players walijijengea mpaka kwa fans wao kuwa wao ni the expected champion for 2013-2014 season. Swali...je mtaweza kurudi na hii form mliyokuwa nayo mwakani without Suarez? Because the guy is going this coming summer
unajua suarez katengenezwa kuwa mfungaji na mfumo wa BR,kwahiyo hata akiondoka,anaweza kuja striker mwingine,akafit kwenye mfumo,akafunga goli nyingi tu! Kukuhakikishia hilo,muangalie suarez wa enzi za KD.alikuwa mcheyaji wa kawaida sana,kama akiondoka,nitabariki kiroho safi,nani alijua tutapata replacement ya torres?
But trust me mkuu..kupata replacement ya mchezaji calibre ya Suarez it will take time...it might cost 7 rain seasons.
haya hongera kwa furaha yako.YNWA= You'll Never Wruined it Alone Steve Gerrard and Glen Johnson will be there to give you a hand. LOL
Asanteni kwa kuwakilisha captein wa ukweli alitaka kustaaf baada ya ndoo itakuje ss
FOOTBALL FACTS.
1. katika Matches zote alizoanza Sakho tangu asajiliwe January, Liverpool haijawahi toka na Clean Sheet!
2. in 2009, Benitez alianza kumtumia zaid Ngog kuliko Keane, mwisho wa siku, Hatukuambulia kitu, In 2014, BR alianza kumtumia Sakho zaidi kuliko Agger, Mwisho wa siku imekuwa HOLA!
3. Sakho siyo aina ya mchezaj wa LFC, hana Pace, Hatumii Akili, anapagawa mashambulizi yakizidi yaani hawez kudeal na pressure ya mashambulizi, Anatetemeka tetemeka hovyo!!!..nakumbuka hata Callagher alishawah kusema kwny uchambuzi wa Skysports kuwa Sakho anafanya mashabiki wa Liverpool wawe na wasiwasi mda wote akiwa na mpira!!
FOOTBALL FACTS.
1. katika Matches zote alizoanza Sakho tangu asajiliwe January, Liverpool haijawahi toka na Clean Sheet!
2. in 2009, Benitez alianza kumtumia zaid Ngog kuliko Keane, mwisho wa siku, Hatukuambulia kitu, In 2014, BR alianza kumtumia Sakho zaidi kuliko Agger, Mwisho wa siku imekuwa HOLA!
3. Sakho siyo aina ya mchezaj wa LFC, hana Pace, Hatumii Akili, anapagawa mashambulizi yakizidi yaani hawez kudeal na pressure ya mashambulizi, Anatetemeka tetemeka hovyo!!!..nakumbuka hata Callagher alishawah kusema kwny uchambuzi wa Skysports kuwa Sakho anafanya mashabiki wa Liverpool wawe na wasiwasi mda wote akiwa na mpira!!
Mashabiki wa Liverpool wengi sana wa hapa BONGO hawataki kukubalian na ukweli kwamba BR ndiye aliyeogharimu Liverpool Ubingwa kwa hizi game mbili, Ya chelsea na CP.
Ntaongelea zaidi game ya Jana..kwanza suala la kwamba BR syo mzoefu, nalikataa, kwani kocha unatakiwa ujifunze kulingana na Makosa ya Game zilizopita, Mfano game za Swansea, aston villa, stoke city na nyingnezo, Kwenye hizi game zote tuliponea chupu chupu kuzipoteza kwasababu ya Aina hii ya mpira aliocheza Na CP, Huwezi kuwalaumu wachezaji kwani BR aliwaelekeza kuattack tu game ya jana, yaan no matter what, team iendelee kuattack tu, Kwa makocha vijana kama Klopp, martnez na simeone, Kipind CP walivyorudisha goal 1, Na ikawa 3-1, lazima wangemto attacking minded player na kumwingiza Defensive minded player..BR hakufanya hicho kitu, Ilivyo kuwa 3-2, akamtoa Sturridge na kumwingza Moses!!!, What a shitty Sub that was??!!!, Hata Kibadeni wa Bongo huku asingefanya Sub ya kijinga kama ile, Wakat una Agger yupo fit na yupo bench..Kwenye Game ya Norwich game ilivyo 3-2 mbona alimwingza Agger, na akafanikiwa kuyatuliza mashambulizi ya norwich, Jana imekuwaje Unamwingza uwanjani mtu kama Moses!!!!..Umetoa Strikers waliokuwa wanaleta pressure kwa CP, Asa kama unataka kubalance kwann usimuingize defensive minded player aje kukaba???..unaingiza mzigo kama Moses!!!!Agger si alikuwepo Bench???..
BR amefanya kazi nzuri, kairudisha liverpool top4 and kwny UCL..lakini kwa blanda za jana sidhani kama Ataepuka lawama, he was naive..Na kwa shitty defense kama hii ya jana, Sidhan kama hata tutafika popote kwenye UCL next season, Board itabidi imrudishe steve clark au Wamuajiri sami Hyypia kama kocha wa defense, coz kocha wetu sisi anachowaza yeye ni Kushambulia Tu, Mwenzake wenger aliliona hilo tatizo ndo maana akamchukua steve bould,
Afu jana anatoka uwanjani amemaindi, Kana kwamba makosa ya wachezaji, wakati mipango yake na kujifanya Boss mbele ya akina Agger na sub za kijinga ndo zimeocost team yetu jana!!..
Hiyo €60mil wanayosema atapewa kwa ajili ya usajili, €40mill itumike kununua mabeki wa ukweli, Back four yooote ile..
And oooh, Sakho, GJ, Cissokho, Moses, Aspas, Wauzwe tu, Ni mizigo kwenye team!!!
Na mpaka sasa sijaona kabisa liverpool ikiwa linked na Centr-back yoyote..Anawaza washambuliaji Tu!!!
Suarez jana kalia, bcoz anajua kabisa kuwa we deserved kabisa kuchukua Title, Magoal yake 31, Yamekuwa ya bure tu, kwasababu ya beki mbovu ya liverpool..Agger kacheza chini ya Makocha waliowahi kuipa mafanikio Liverpool, Benitez, Na KD, na wote walimwamini..lakini nashangaa BR anamweka bench the best centre-back tuliyenaye kwenya team over Sakho!!!!..
Acha DAGGER aende Barca tu, wanaijua thamani yake!
kwa jana dogo hana kosa,magoli yote yalipitia kwa GJ,sakho ni beki mzuri tu,mpe muda. Kumbuka ndo beki tegemeo wa national team yake,mfuatilie kule brazil..sema akiwa national team anacheza na DMs wa ukweli.
Kuhusu Sakho nakubaliana na wewe mkuu ila ndio football tuache malalamiko lishatokea tumuachie Manager anajua niNi atafanya yashapita City bingwa basi ww furahi ulipomalizia hakuna aliyetegemea tutakuwepo hapa tulipokuwepo sasa sioni why malalamiko meeeengi hatukuwepo CL miaka miwili mkuu kabla ligi watu nafasi yetu walisema ni 6 walimpa Totenham na Everton kuonyesha sisi ni Weak sasa leo tupo Top 4 huoni kama anavyosema Henry kidogokidogo zile zilizokuwepo Top 4 ndio zinatakiwa kuendeleza moto ipo zipo zilizoanguka mwaka huu hasa Totenham kwa Investment sio kilichowaumiza watu nikufikia karibu sana na kutochukuwa ila tizama wapi LFC ilipotoka Mwakani ndipo ihukumu je ingekuwa wa 5 au 6 si watu wangesema ah ndio kawaida yake LFC kuwa hapo na ww kama Mshabiki ndio ungezidi kuwa na hasira ww unafikiri why Man United anahasira? Sababu katoka wa kwanza mwaka jana gafla wa 7 lazima mashabiki wanune wakati mwaka jana wao mabingwa hawakuwa na haja kununa ila kuwa wa 7 imefanya wanune wangekuwa Top 4 wasingelalamika ss ww umetoka kwenye 6th mpaka Top4 shukuru kama anavyosema Wenger.
mkuu MosDef una hasira! Loh! Punguza stress ndugu yangu timu zenyewe za wazungu hizi zitakuua bure! Sikia,me nishasema kwa game ya jana BR ndo alietucost full stop! I wish suarez asepe zake tu,that's where BR atajifunza how to keep world class players.
Pole mkuu Mosdef; that's football.
Steve Clarke 'chelsea legend' can help you' kwa sababu SC amewahi kufanya kazi na KD mwaka 2011 hapo LFC.
Poleni sana;
:A S cry:
Mkuu Pazi upo sahihi, Lakini kinachoumiza sana ni kwamba msimu huu umeisha vibaya sana kuliko misimu yote ambayo Liverpool imewahi kucheza..Thats y suarex cried!!
We had the PL title mikononi mwetu, kabla ya Game ya Chelsea, ingawa tulipotea kwa hyo misimu mi3, kwa sehemu tuliyofikia Msimu huu, tulitakiwa tufanye better zaid, hakuna excuse hapo mkuu Pazi..
99 goals, 11 wins mfululizo, top scorers wote wawili, huwezi kusema hiyo ni bahati mkuu Pazi..we deserved this!!!
Tumejiharibia tu wenyewe!!!
Na nakwambia hapa mkuu Pazi, Mchezaji wa kwanza atakayesajiliwa na Liverpool this summer atakuwa ni Lallana tu..
Asa sjui kama tunamuhitaji Lallana Liverpool!!!
hahahahahahahahah!!!
Umenchekesha sana!!!
Inaumiza bhana..tusubirie miaka mingapi tena!!!!??
Dah...