Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

nimesoma mahali BR amemtoa Suso kama part ya deal plus euro 20 mil kwa sevilla kumsajili Moreno,inaniuma,Suso ni mchezaji mzuri,bora angemtoa alberto plus aspas plus hyo 20 mil.

hizo habari hazijawa confrimed bado, Ni just rumours tu, Deal ambayo imekuwa confrimed ni ya Emre Can tu, ambayo liverpool wameshatrigger Release clause, kilichobaki ni personal terms tu..

English outlet ilyoreport ishu ya Moreno ni Daily express (Paul Joyce), ambaye anasema tumeoffer £16 + Suso, wakat jana usiku reports za spain zilisema tumetable bid around £20mill tu bila mchezaji!!

So, ishu ya Moreno ni just rumours tu, Tony Barret na James Pearce bado hata hawajaziconfirm hizo habari..Labda tusubiri baadae!
 
HAHAHAHAHAHAHAHAHA

#GEtIN , Skysports are reporting ishu ya Alberto Moreno,

Sad thing ni kwamba Suso ni part ya deal, but its confrimed kwamba ni LOAN, siyo Permanent!
 
Suso anaondoka tena, this time ni Sevilla, but kitu kizuri ni kuwa anaenda kwa MKOPO tu, ili kulainisha deal ya Moreno..
 
Looks like Suso is off again then!!!

Kwanini wasingewaoffer kina Luis Alberto, Aspas, Assaid, Coates au dogo texeira??..

#SMH
 
Looks like Suso is off again then!!!

Kwanini wasingewaoffer kina Luis Alberto, Aspas, Assaid, Coates au dogo texeira??..

#SMH
Tukimpata Huyo beki ya kushoto sio mbaya Sema magazeti wanapenda kuandika uzushi wa pesa kujaribu kuuza gazeti watu wanasoma online siku hizi, Mie naona wangempeleka Texeira apate ujuzi muda wa Suso kutoka bench pia Suso peke yake kwa maoni yangu ni 6m to 8m kwa muda huu.
 
Paul Scholes anasema Three Lion England wacheze Kama Liverpoolfc! Na Handerson ndio Star wa Three Lion kwa Sasa hayo si maneno yangu hayo ni ya Paul Scholes sorry Sir Alex.
 
HAHAHAHAHAHAHAHAHA

#GEtIN , Skysports are reporting ishu ya Alberto Moreno,

Sad thing ni kwamba Suso ni part ya deal, but its confrimed kwamba ni LOAN, siyo Permanent!

really skysports wameripoti? Ni source peke yake ambayo naiamini kwenye transfers,labda na Liverpool echo.
 
Looks like Suso is off again then!!!

Kwanini wasingewaoffer kina Luis Alberto, Aspas, Assaid, Coates au dogo texeira??..

#SMH

nani anataka squad player?(Aspas and co.) kama dogo anaenda kwa loan ni poa tu,lakini amebakisha mkataba wa mwaka mmoja tu na sisi,hoping wamlambishe mkataba,aende kuchukua experience za euro football.
 
Tukimpata Huyo beki ya kushoto sio mbaya Sema magazeti wanapenda kuandika uzushi wa pesa kujaribu kuuza gazeti watu wanasoma online siku hizi, Mie naona wangempeleka Texeira apate ujuzi muda wa Suso kutoka bench pia Suso peke yake kwa maoni yangu ni 6m to 8m kwa muda huu.

Texeira anatakiwa awe agent wetu EPL,tumpeleke sunderland.
 
Tukimpata Huyo beki ya kushoto sio mbaya Sema magazeti wanapenda kuandika uzushi wa pesa kujaribu kuuza gazeti watu wanasoma online siku hizi, Mie naona wangempeleka Texeira apate ujuzi muda wa Suso kutoka bench pia Suso peke yake kwa maoni yangu ni 6m to 8m kwa muda huu.

Suso release clause yake ni £10mill, So sidhani kama Moreno ana thamani ya £16mill+£10mill za suso, So ni unlikely kwa suso kupelekwa Permanently kule sevilla, skysports wanasema ni LOAN tu,

lakini sidhani kama, ilikuwa vizuri kumtoa suso, wakat kuna kina Luis Alberto na Texeira!!
 
nani anataka squad player?(Aspas and co.) kama dogo anaenda kwa loan ni poa tu,lakini amebakisha mkataba wa mwaka mmoja tu na sisi,hoping wamlambishe mkataba,aende kuchukua experience za euro football.

mwenyewe alikuwa anataka kubaki liverpool time hii, so kama watampeleka Sevilla, watakuwa wanamforce tu!
 
mwenyewe alikuwa anataka kubaki liverpool time hii, so kama watampeleka Sevilla, watakuwa wanamforce tu!

kama ni kwa loan aende tu aache ubishi,pale yupo brazilian litle magician,sterling,Ibe,Allen,Hendo,can't see him getting enough playing time honestly! Na bado plan zenyewe ndo za kusajili akina Lalana,Shaqiri unadhani suso atapata game time mkuu? Hata kama kuna CL,sioni namna atapata chance,but he's superb.
 
kama ni kwa loan aende tu aache ubishi,pale yupo brazilian litle magician,sterling,Ibe,Allen,Hendo,can't see him getting enough playing time honestly! Na bado plan zenyewe ndo za kusajili akina Lalana,Shaqiri unadhani suso atapata game time mkuu? Hata kama kuna CL,sioni namna atapata chance,but he's superb.
Doh Shaqhiri na Tello ni watu wawili Naomba wasije LFC jamaa ni wachezaji wakawaida sana Shaqhiri Ana game moja atawika sana game 10 hamna kitu Tello ndio bado sijui dogo anachosifiwa kwenye mpira ni kitu gani labda sababu anachezea Barca? Tulete watu wamaana.
 
Doh Shaqhiri na Tello ni watu wawili Naomba wasije LFC jamaa ni wachezaji wakawaida sana Shaqhiri Ana game moja atawika sana game 10 hamna kitu Tello ndio bado sijui dogo anachosifiwa kwenye mpira ni kitu gani labda sababu anachezea Barca? Tulete watu wamaana.

sidhani kama unamfahamu vema,namzungumzia Xhedan Shaqiri mkuu!
 
Doh Shaqhiri na Tello ni watu wawili Naomba wasije LFC jamaa ni wachezaji wakawaida sana Shaqhiri Ana game moja atawika sana game 10 hamna kitu Tello ndio bado sijui dogo anachosifiwa kwenye mpira ni kitu gani labda sababu anachezea Barca? Tulete watu wamaana.

Aiseee, Shaqiri ni bonge la Mchezaji, Bayern Munich hapati muda mwingi wa kucheza kwasababu ya kina Robben na Gotze!!!
 
kama ni kwa loan aende tu aache ubishi,pale yupo brazilian litle magician,sterling,Ibe,Allen,Hendo,can't see him getting enough playing time honestly! Na bado plan zenyewe ndo za kusajili akina Lalana,Shaqiri unadhani suso atapata game time mkuu? Hata kama kuna CL,sioni namna atapata chance,but he's superb.

Suso ni Aina ya mchezaji ambaye ana uwezo wa kuingia akitokea Sub, Na kubadilisha matokeo, anahitajika sana kwenye team..

Stats zake za Almeria, Spain zinaprove hilo!
 
LFC hapa ndo huwa inanishangaza! Nimeona sky sources wanasema LFC imekaribia kumsajili Lambert,mzee wa miaka 32 kwa euro kati ya 8 na 10 mil,hiyo pesa mbona inatosha kumsajili Loic remy? Au kwa kuwa sio mwingereza? Poor BR na transfer comitee yako kama haya ni ya kweli.
 
LFC hapa ndo huwa inanishangaza! Nimeona sky sources wanasema LFC imekaribia kumsajili Lambert,mzee wa miaka 32 kwa euro kati ya 8 na 10 mil,hiyo pesa mbona inatosha kumsajili Loic remy? Au kwa kuwa sio mwingereza? Poor BR na transfer comitee yako kama haya ni ya kweli.
Mie ndio wamuitemesha juice yangu ya embe sky sports news sitizami tena hizi news zinatowa Hamu ya msosi bora nishibe ugali wangu wa Muhogo na nyama choma na majani.
 
LFC hapa ndo huwa inanishangaza! Nimeona sky sources wanasema LFC imekaribia kumsajili Lambert,mzee wa miaka 32 kwa euro kati ya 8 na 10 mil,hiyo pesa mbona inatosha kumsajili Loic remy? Au kwa kuwa sio mwingereza? Poor BR na transfer comitee yako kama haya ni ya kweli.

Deal ya Lallana inachukua muda mrefu kwasababu, Team yake ya awali Bournermouth, itapata 25% ya hela ya usajili, so kwa mtindo huo, Liverpool ilitakia itoe £25mill kwa ajili ya lallana, which ni kitu ambacho liverpool wasngekubali, so ili kuilainisha deal ni kwamba Lambert atoke kwa £9mill na lallana kwa £16mill, ili wachukue wachezaji wawili, kwa £25mill, rather than mchezaji mmoja kwa kiasi hicho, so kwa mpango huo, kama lallana atachukuliwa kwa £16mill, Bournermouth watapata kamisheni ndogo kulinganisha na kama wangemtoa kwa £25mill..
 
Back
Top Bottom