Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Source kaka? Mimi nimeona kwenye skysport lakini sina uhakika.

nataman sana watu waliokua na roho mbaya kama masherano,sisokho na alonso..sio awa vishet wanaoletwa kukaba kwa jihad cdhan kama wataweza..
 
nataman sana watu waliokua na roho mbaya kama masherano,sisokho na alonso..sio awa vishet wanaoletwa kukaba kwa jihad cdhan kama wataweza..

Wote hao poa lakini sio huyo macherano sitaki hata kumsikia.jinsi alivyoondokaga kwa nyodo liverpool.sitaki hata kukumbuka.
 
Source kaka? Mimi nimeona kwenye skysport lakini sina uhakika.

nakupa source za uhakika kbs,skysports,Liverpoo Echo,na oficial LFC website,oficial LFC twiter akaunt! Ukiona hbr yeyote huko,ina uhakika 100 percent.
 
nataman sana watu waliokua na roho mbaya kama masherano,sisokho na alonso..sio awa vishet wanaoletwa kukaba kwa jihad cdhan kama wataweza..

Can ni jembe,sema he is still very young,nadhani kaletwa kuwa replacement ya Gerald! Unamjua lakini? Anafanana fanana na Bastian shwanstiger wa bayen,ana mwili mkubwa,huwez kudhani kama ndo ana miaka 20 tu
 

Nilichokiandika ni hiki…(Dodosa zinasema manure wanamwaga £200m)…hakuna sehemu yeyote niliyoandika kwamba it was official that manure set aside that kind of money. And that also doesn’t mean they can’t!!

Ishu kamili ilikuwa ni BR kujitahidi kusajili mapema ili kuepuka kupigana vikumbo na timu zenye uwezo mkubwa’ kifedha pindi world cup itakapokwisha. Fabre nimemtolea mfano wa kitu ambacho BR anakikwepa. He is a very good footballer no doubt about that (Even Robbie was excited by the news that Liverpool might move for him) lakini inconveniences (Including money) zinatulazimisha kugeuza shingo zetu…

Danadana za Moreno na Lallana ndiyo kama hivyo tuvyoendelea kuzisikia from different sources...Ila it seems BR would like to end Lallana’s issue kabla soton hawajapata kocha mpya sababu kocha kama Ronald sidhani kama atakubali kumwachia Lallana akaondoka. Aina ya mchezo wa Ronald unafanana sana na jinsi soton wanavyocheza and he would like to keep that kind of play with the key players.

Ooh, afadhali dalili njema zinaoneka kwenye usajili wa can…but, what does this mean to Lucas, hendo & Allen?
 
nimegundua kitu,kuna watu mnapenda kusajili majina makubwa! BR kashaweka wazi,anataka versetile,talented and hungry to succeed players! Sera ya FSG ipo wazi,hawanunui wazee! Hivi nani alimfahamu Coutinho b4 hajaja LFC? Let us leave BR,he really knws what he is doing!
 
ndugu yangu osokonoi,Hendo,Allen,hawaathiriki moja kwa moja na ujio wa Emre,Gerald ndo atakuwa anacheza na dogo pale,sidhani kama in the coming years Gerald atakuwa mtu wa kucheza 90 mins,hapa kila m2 alikuwa anamlilia DM apatikane,ndo huyo hapo Can,na ujio wa Can unamuathiri lucas sana sana.
 
Last edited by a moderator:

Kolo Toure na Rickie Lambert ni vijana?
 
bado cjajua kumpromote huyu mtu kutakua na impact gani. najiuliza kama nafasi yake ya mwanzo anatafutwa mwingne au jamaa kapewa majukumu makubwa zaidi.

Yeah...si unajua Liverpool haikuwa na CEO tokea 2009, wakati Ule ambao Ricky Parry ndo alikuwa anashikilia Cheo hicho..kimerudishwa this year, na ndo Ian Ayre kawa promoted, inasemekana FSG wanapenda ufanisi wake wa kazi off the pitch, hasa katika mambo ya biashara!!..Na kwenda kasi kwa mpango wa Anfield stadium expansion ndo kutakuwa kumempa Credits..jamaa ni mzuri kwenye mambo ya Biashara!!

Nadhan, soon tutasikia kuhusu Managing director mpya!!..

Ian Ayre ndo kishakuwa CEO tayari!
 
kama saivi hatahusika na usajili itakuwa vema na haki,ila kama kapelekwa jikoni kabisa kwenye usajili,Tumekwisha!

Bado, kwenye suala la usajili, ana sauti..ila inasemekana BR kapewa nafasi kubwa sahiv ya kushugulika na usajili..
 

Nadhani, Kati ya LL, Hendo na JA, ambaye yupo katika hali mbaya zaid ni LL, ila sidhan kama ataondoka, Na BR wont sell him kama hatotaka kuondoka..Hendo namba yake ipo palepale, kwa JA nadhan itamuongezea kupigana zaidi!!..

Emre can, syo aina ya mchezaji ambaye atakuja na kuingia kwenye first 11 moja kwa moja, he's just a squad player..just a backUp and maybe a future replecement for SG..
 

mkuu osokonoi, sidhani kama Ronald au kocha yoyote yule mpya atakayesign pale So'ton, atapenda kufanya kazi na mchezaji ambaye hana furaha tena na maish ya klabun, ukizingatia ameshawaambia viongoz wake kuwa, he wants to leave the club..

Na kusign Liverpool shirt ya shabik wa liverpool, ni ishara tosha kabisa, hana mpango wa kubakia southampton..
 
Kolo Toure na Rickie Lambert ni vijana?
Hehehe Jibu Zuri hehe ila Wazee nao muhimu kusaidia ila wengi wao anaonunua ni vijana wadogo kuliko wingi wa Wazee. Turudi watu wa Humu Mie bado sijarizika na Usajili zaidi ya Lambert nimekaa nimetafakari jamaa kutoka bench haitomuuzi anafanya kazi ya timu anayoipenda moyoni jengine tofauti yake na Carrol yeye ni Rahisi sana na jamaa Freekick anaziweza tumeona EPL Assist anaziweza kwa ujumla mpira chini nakumchezesha wenzake anaweza ushahidi upo kufunga anajua mwenye macho ya kuona ameona aliowazidi kwenye timu kubwa kwa magoli sina haja kuwataja....... Na ni rahisi hakuna kilichopotea Sema sasa Huyu Moreno bora angekuja Ashley Cole Mie sijali umri na Emre bei sio mbaya na kutia mguu bundesliga ukitegemea kacheza Kama kiraka Defence Midfield,LB,LW na Attacking Middle sio kitu rahisi ila Lallana na Shaqhiri nao sio wakuja LFC wakuja ni hawa naowataja haswa ni Lovren wafanye juu chini 1.Lovren2. Mascherano na Alex. Song 3.Lazar Markovich wa. Benfica basi wengine atajiwa mwenyewe Rogers sio kuumiza kichwa Lallana pesa kibao na tunavyocheza Lallana atakuwa Flop au Raheem mpira utashuka sababu atampeleka kushoto.
 
Usajili mtamu sana huu,yani na hiki kinga'amuzi kipya ndio kinazidi kunitia kichaa kuona kama msimu hauji mapema.Natamani dili la Fabregas litiki huku Moreno tukiwa nae kwenye hatua za mwisho.
Liverpool hii ya vijana nadhani itazidi kuwa tishio zaidi.

"Nlikuwepo":bolt:
 
nataman sana watu waliokua na roho mbaya kama masherano,sisokho na alonso..sio awa vishet wanaoletwa kukaba kwa jihad cdhan kama wataweza..
Wewe ndio unajuwa umuhimu wa kati Kuwepo Mnyama! Ndomana aje mapema Beki ya Kinyama Lovren utaona Brazil watavyotoka Jasho kwa Lovren kati pale Mascherano na Alex Song ni Wanyama ambao wanaouwezo wakutia mguu kwenye zile Middle Vyuma kina Yaya.
 
Kolo Toure na Rickie Lambert ni vijana?

Hayakuhusu mkuu....
haya ni ya LFC...sio Manure
BTW sera ya LFC ni kusajili vijana wadogo wenye vipaji vya hali ya juu,lakini kama wewe kweli ni mtu wa mpira nadhani unajua kwanini akina Kolo & Co. wamesajiliwa pale LFC,sina haja ya kukwambia!
Karibu tena!
 
Umesema sera ya FSG sio kusajili wazee hao niliokutajia ni vijana?

Siwezi kukaa kimya kama unaongea uongo,hakuna timu ambayo ina sera ya kusajili wachezaji wasio na vipaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…