Inauma kuona mtu anayejiita
#RedScouser anaingia twitter kwenda kumuAbuse mchezaji ambaye alijotelea kila kitu kwa mda wote aliovaa jezi nyekundu for the past 6 years..tumekuwa nae kwenye shida na kipindi chote tulichovurunda BUT bado alijitolea kwa 100% kuipigania LFC along side SG and AGGER wakat everybody was leaving the club.
Form ya Lucas imedrop ndiyo..lakin kama shabiki, unatakiwa umuelekeze tu, katika kuongeza na bidii na kujituma uwanjani..we should encourage our player wakiwa wanapitia wakat mgum wa viwango vyao..hicho kitu kinamtokea kila mchezaji duniani..
Kumtukana haisaidiii kabisa..