Jamani, kwa emre can pale tumepata mtu..
Siyo team mbaya hasa ukichukulia ndiyo mechi yao ya kwanza hii kikosi cha kwanza!Team hii inahitaji sasa beki wa kushoto tu ku challenge ubingwa
Mkuu kumtuhumu SG kwa sasa hivi siyo haki, kaitumikia timu kwa uaminifu sana pamoja na kwamba watu mlitegemea awe amechukua ubingwa Wa EPL! Kwa kuwa mtiifu kwa timu inatosha sana na hatupaswi kumlaumu sana, inatosha sana kwa huo mchango alioutoa kwa timu!Huyu Steven Gerrad Kama Kobe Bryant bora Kobe Bryant wapo kuongezewa miakataba sababu ya walioyafanya nyuma ila yupo taabani muda wake naye umefika mpaka sasa Markovich,Raheem,sturidge na Can kidogo wanajitahidi na Hendo sababu anasaidia SG.
MARKOVIC vs OLYMPIACOS
Watch "LM50" on YouTube - https://www.youtube.com/watch?v=VApYwMQbpNk&feature=youtube_gdata_player
Skysports wameandika deal la Remy limeshindikana kutokana na Borini kugoma kwenda Sunderland.
Wao game nzuri..... Can bonge ya mchezaji.... Team imeanza kujiamini..... Tuhitaji mabeki wa pembeni... Ila tuondoe shaka team iko poa...
inatia wasiwasi sana na hii philosophy ya kujaza waingerezaPazi,mawazo yako kama yangu,huyu Rodgers muache aendelee kuwajaza waingereza wake hapo,kwa pesa aliyopewa,akishindwa ku qualify champions league msimu ujao lazima Henry amtimue,really! Ila naamini hata yeye anajua kitakachomkuta!
Borini kanikera sana,akibaki afunge sasa,asipofunga tutamzomea mpaka akome.
Can na Markovic wametulia sana, I am sure Lallana angetupa starehe sana jana na zile zake za kufinya mpira na kupinduka jana
Slowly we are making progress, ila sturridge was flat... he need to get his head down and push himself, asijisahau akijua tayari ndio namba wani striker... niliona ile interview yake na alivyoongoza kipindi for 2 minutes fenway part baada ya game, alikua kama vile tayari yeye ndio new suarez
I hoep we get reus or falcao (loan) aisee
Hii inaonyesha Players wa nje ukiwaacha timu wanatizama Manager maharufu Rogers fundi Mzuri ila Egos na kujikosha kutaka kuwatengenezea England Team atakuja kujutia yeye na Ayre hawajui kuvutia Players kutoka nje angekuwepo Commoli alienda huko Holland akarudi na Player sio Ayre safari za nje anaenda holiday tu kutumia free ticket za team!inatia wasiwasi sana na hii philosophy ya kujaza waingereza