The Magnificent
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 2,694
- 1,249
.........mwingine hapa anajidai ni shabiki wa soka halafu kisa timu yake haijabeba UEFA Champions League, kila mwaka wakienda ni patupu, ameishia kuikandioa CL na kuliita ni kombe la tombola na halina maana! Seriously?????????????
Kama ni tombola kinachokufanya kila mwaka ugombee nafasi ya 4 kwenye EPL ni kitu gani?
No wonder Maurihno akasema Wenger ni specialist in failure
Wacha1 ni mfamaji
Last edited by a moderator: