Liverpool FC (The Reds) | Special Thread


Wacha1 ni mfamaji
 
Last edited by a moderator:

Hachana nao hao sisi LFC tumebeba makombe 60 all competionz wao 39 tu? sio level yetu hao.sisi level yetu madrid, barca na na man utd.
 

Hii timu ni ya historia tu hawana lolote khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee msimu moja wameokota pipi basi wapo njiani wanafikiri zinamwagwa kama mvua ..... ..... .... mtakiona cha ntema kuni mwaka huu ....... ..... ... nicheke mie khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Reactions: Mbu
Hv hyu dogo luis muriel wadau mnamzungziaje cz nmeanglia clip zke naona yuko poa sanaaa

Muriel is a Good player, we scouted him 2012/2013 na tulikuwa impressed, but alivyokuja kupata majeruhi, 2013/2014 haukuwa msimu mzuri kwake, *he flopped* ndo maana hata Colombia walimdrop kwenye kikosi chao cha World Cup..but he's still very young (23-24) bado ana mda mwingi wa kumprove pale udinese..

BR cooled the interest kwasababu perfomance yake last season ilikuwa mbovu..lakin ni mchezaj mzuri, type of ST that BR likes *VERSATILE* with a lot of skills and pace..lakini he did not perfome well last season, so LFC couldnt take that risk..
 

Karibu.
 

Attachments

  • 1408039210060.jpg
    100.7 KB · Views: 76
Martin Kelly have signed for Crystal palace..

ALIJIUNGA NA LIVERPOOL AKIWA NA MIAKA SABA TU..now he's 24, injuries zimeharibu career yake LFC..but good luck to him at Palace..hope injuries wont hunt him anymore..
 

Attachments

  • 1408039438142.jpg
    23.4 KB · Views: 65
Kwa nini unasema ilikuwa planned?

Barca wasingem-nunua yule mshenzi kama angekuwa afungiwe miezi minne kujishughulisha na mambo ya mpira kabisa..ingekuwa ni big blow na angeflop vibaya..
 
Hahahah!!

BR & STERLING
 

Attachments

  • 1408041380523.jpg
    129.3 KB · Views: 70
Brotherman..
 

Attachments

  • 1408041786294.jpg
    73.2 KB · Views: 75
Two little magicians
 

Attachments

  • 1408042190517.jpg
    47.9 KB · Views: 86
Appeal ya Suarez CAS imesomwa leo, jamaa ameruhusiwa kufanya mazoezi na wenzake na kushiriki kwenye shughuli zote za club isipokuwa kushiriki kwenye official matches tu.

Ngoja tuone friend match yao ya tar18 na lyon kama watamchezesha.
 
Atsu huyo kaenda Everton, Anasema ana miaka 22 huyo..
 

Attachments

  • 1408042530151.jpg
    72.8 KB · Views: 77
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…