Hapa tatizo Middle Leo zimechemsha haziwachezeshi Mbele na zitasababisha nyuma beki zichoke
Sub ya akili sana hii. Imezaa goli
Kwenu kutakuwa na #WakaangaSumu wengi kila mechi, Mlizidi kuchonga enzi za SAF. Muda wenu kuwa mnatazama juu. Liverpool wasipoangalia wanaweza kupigwa ubaya leo