Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

FT
LIV 2 - 1 SOU
Southampton wamecheza vizuri sana ila bahati haikuwa yao..
Japo Hakuna timu mtoto kwenye BPL ila hii scoreline bado haioneshi makucha mliyonayo japo mmepata hizo 3pts

Mkuu hata nyie manure jana mlicheza vizuri ila haikuwa bahati yenu hahahahaha!
 
Soton walikuja anfield lea kuwaonesha liverpool kua we are still stable despite the fact that u have taken our key players na ndio maana mechi ilikua ngumu kwetu.

Msimu ulio pita walitufunga hawa 1-0 mechi ya pili ya EPL
 
Defence ZERO ya Liver au Man utd?

Defence ya Liverpool bado ni mbovu last season pamoja na United kuchemsha lakini Liverpool alifungwa magoli mengi kuliko United.Tatizo kubwa la Man United ni kwenye kiungo
 
TOP OBSERVATIONS FROM LIV vs SOTON:
1.) Huyu mtoto Manquillo ameonyesha uwezo. Kwa ujumla ameimudu nafasi japo mapungufu machache yalikuwepo
2.) Lovren ameanza kuonyesha umuhimu wake, kwa kiasi fulani Central defence pametite
3.) Sterling anazidi kuimprove na finishing, hardworking na passing yake itatusaidia sana. Anatakiwa tu kusustain
4.) Nimeona shida kubwa sana kwenye defensive midfield. Hakuna mtu wa kuinterrupt moves zinazoanzia meter chache mbele ya defence line. Lucas alizidiwa sana wakati SG alirudi nyuma kama anatoa back up kwa back line zaidi.
5.) Kwa haraka haraka, Lambert atastruggle sana kwa position anayochezeshwa. Anacheza pembeni akiingia ndani, yule ni mzuri zaidi akiwa more central.
Otherwise, ni point tatu kibindoni, mengine tutarekebisha mbele ya safari.
 
Ni hv jaman wna liverpool wangu km kwel tna mpango n alex song bora tmchkue fasta n falcao piaa hyo dili iwe fasta nahic tutakuwa moto sanaa
 
kusema kweli Leo tumecheza ovyo no excuse za ndio kwanza game ya kwanza lazima tukosoe Leo Middle hazijachezesha Striker wala kuwapa pumzi mabeki Leo Skrtel,Lovren na Manquillo wamecheza vizuri kwa Presha zote zile ila Johnson hakuna kitu Leo Coutinho na Raheem na. Sturidge nao walikuwa kimya ila Middle zilikuwa Zero Kasoro Handerson tu Leo Rogers atizame makosa aweke sawa zaidi ya hapo 3 point kwenye begi 2-1 We Go Again LFC YNWA!

.....uchambuzi makini ila pia mkumbuke #TheKops hamna record nzuri mnaoopambana na #TheSaints ...

Hongereni, hamadi kibindoni.


#MosKwito !
 
Dah, aisee BR alitaka kutupozesha mechi leo..nilivyomuona tu Lucas nikajua hii mechi itakuwa ndefu.
 
Back
Top Bottom