Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

More updates nazingoia,naogopa kukabwa usiku huu kwenda kwenye vibanda umiza.
Taarifa zije kwa umakini jamani maana presha ni kubwa kwa upande wangu.

Liverpool,Liverpool,Liverpool,Liverpool......

"Nlikuwepo":bolt:
 
Aliyetoa pendekezo kuwa SG awe anakaa nje hapo ulipo nahisi unailaumu sana kauli yako!
SG ndiyo pillar yetu bado na ana miaka mingine 2 zaidi ya kutuongoza
 
More updates nazingoia,naogopa kukabwa usiku huu kwenda kwenye vibanda umiza.
Taarifa zije kwa umakini jamani maana presha ni kubwa kwa upande wangu.

Liverpool,Liverpool,Liverpool,Liverpool......

"Nlikuwepo":bolt:

usitie shaka mkuu bado tupo vizur, 0-0 dk34
 
kuna majamaa nawaona wanachungulia wanakimbia, jamani jitokezeni tu mbona timu zenu zikicheza sisi huwa tunatokea?
 
HT
MCI 1-0 LIV

'Pls Manchester City wafanyeni hawa raia humu wanuke midomo maana kelele zao zishazidi'
 
Bado tuna nafasi jamani,goli moja si kitu,shusheni yanayojiri na wala si kukata tamaa.
Moreno tusimlaumu kwani bado ana mengi ya kujifunza kutoka katika timu.Ikizingatiwa tulikuwa tunamtaka kwa hali na mali.
Huyo ni chaguo letu.

"Nlikuwepo":bolt:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…