Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

HAHAHAHA!!!!

Angalia LUCAS alivyomjibu Indy kwenye TWITTER leo!!!!
 

Attachments

  • 1409524133180.jpg
    1409524133180.jpg
    59.4 KB · Views: 102
Kuna siku gani ushaona nimeiponda Diamond au xmas tree formation hapa?? Wakati hizo ndo formations ambazo zilileta mafanikio last season!!!, na unajua ni kwa nini BR alianza na 4-3-3 katika game mbili za kwanza????

Unajua kwamba Katika 4-3-3, Hendo huwa anaPerfome vibaya??? The same to coutinho??

And ooooh!!!, unasema nilisema MORENO ni m-bovu last week, Really??..nioneshe sehem niliyosema MORENO ni M-bovu??..ulikuwa unafatilia posts zetu za usajili??..who was so.excited about us signing Moreno?? Apart from akina Pazi, Magnificent, Janjaweed na kina Tores????

Nimeanza kumjua Moreno tangu yupo Seville ya kina Rakitic mwaka Juzi, Tangu kipindi kile RMA walipokuwa so close kumsajili BUT walihairisha kutokana na Coentrao form ya msimu uliopita na Carvaraj..na hayo tushaongea sana na kina Pazi humu..

Nilichosema Week iliyopita Man City was a BIG GAME for Moreno's DEBUT, it was a tough TEST for him, and we both saw that siku ile na kilichonipelekea kusema hivyo ni kutokana na kwamba hatukuwa naye kwenye pre-season yote, mbona sikusema kuwa Lovren na Manquillo ilikuwa ni tough debut kwao against Southampton??? Coz southampton ni Average team..

MAN CITY, was a BIG TEST kwa Moreno, na kama unajua football utakuwa unajua nini maana ya DEBUT katika big games tena AWAY na unacheza na mtetezi wa LEAGUE..

Na huwez kamwe kufananisha approach ya game kama ManCity vs Stoke na ManCity Vs LFC, (hii ilikuwa game kati ya TWO TOP TEAMS katika EPL last season), so usingetegemea Pelegrin aje na mbinu kama za stoke city, Na itabidi ujue inamaanisha nini kwa kocha kushinda katika BIG MATCHES, jana kafungwa na Stoke city kwake Etihad, Lakini in TWO WEEKS, anaenda kucheza na Arsenal pale Emirate...utashuhudia mwenyewe..

Afu kitu kingine kama huwa unasoma Posts zetu kimya kimya, uwe unajitahid kuzisoma kwa umakini sana, kwani tukifungwa na tukiweka mijadala na ideas zetu humu huwa mnakaa kimya TU, na TUKISHINDA, mnajaa humu na kuanza kutoa comments za UONGO kama hizo (eti nishawahi kusema Moreno ni M-bovu!!!!!!)

Me ni shabiki wa LIVERPOOL na LFC hainilipi mshahara wowote kama kina BR, Poscoe, Marsh, Morgan na Players, Na ikiboronga wenyewe watajipoza na mishahara yao MIKUBWA, na mwisho wa msimu wanaenda na wake zao fukwe za IBZA au COPA CABANA kula raha, me nitabaki na Maumivu yangu tu na mwisho wa mwezi nitakatwa kama kawaida HELA katika my A/C kwa ajili ya LFCTV na Ile ya Membership ya Club, for whic hainisaidii chochote kile, Lakini kutokana na mapenzi yangu kwa LFC, nimeamua mimi mwenyewe kufanya hivyo, so ikiboronga kwa makosa ya kipuuzi lazima nilalamike sana humu, coz ni mimi ndiye ninayeumia zaidi kama Mshabiki na siyo kocha wala Players, coz wenyewe wanafanya kazi wapate mshahara, ndo maana leo hii AGGER AMEONDOKA LFC.

Na humu ndani muwe mnajitokeza kila siku kama LFC ipo mioyoni mwenu, IKIBORONGA AU IKISHINDA, muwe mnajaa kama leo humu, kina Pazi, The Magnificent, Tores, Malafyale, osokonoi, Ed, The Boss, Janjaweed Blac kid Gwamahala, +255, Mzee Wa Rubisi Amanijua @Punein wenyewe pia wana shughuli zao kibao za kufanya lakini kila siku wanapitia humu na KUCOMMENT katika mijadala mbalimbali katika kuifanya thread hii kuwa ACTIVE kila siku, lakini nyie wengine mnasoma kimya kimya humu, team ikushinda (which is NOT bad kwa shabikj yoyote yule), lakin kinachoboa mnaquote comments za watu wrong, kwa dhihaka na dharau.

Me nishawahi kusema MORENO ni M-BOVU???

Kwa mfano Arsenal wametoa draw leo na LECESTER CITY, kwahiyo itakuwa dhambi kwa kina Mbu na kina BAK, Kumlaumu WENGER kusuasua kuleta DM na ST mzuri???..kwa kuwa kisa tu ni Wenger??? Ndo asilalamikiwe???

BR akikosea nitaendelea kumkosoa kama kawaida..akishinda nitampongeza yeye na players wote..thats what a REAL FAN who loves his CLUB anafanya! PERIOD.

Jamani watu wengine vipi? Sisi umu sio mashabiki kusifia tu km vile mashabiki wa vyama vya siasa.kawaida yetu mtu akifanya vibaya lazima tumkosoe na akifanya vizuri lazima tumsifie.well said by Mosdef. Ushabiki sio lazima usifie tu hata km kitu kinaenda kombo. Mosdef jamaa atakua alikua hajakuelewa vizuri.

Da wakuu game ya jana niliangalia dk 27 tu za kwanza kwa bahati mbaya muda wa kucheck in ukawadia tukaanza safari na bahati mbaya tukaambiwa tuzime na sim so nikashindwa hata kufuatilia online. Da sasa naona tunafanya vizuri wakuu 3 bilaaaaa sio mchezo.YNWA
 
Last edited by a moderator:
Wakuu kama siamini kuondoka kwa Agger.nahisi km ni ndoto.najaribu kuwaza ni nani atavaa viatu vya agger?especially ktk uongozi (VICE CAPTAIN)? Mi binafsi namfikiria Hendo......sijui nyinyi wakuu......cc Mosdef, Magnificent, Janjaweed, Malafyale, Pazi, Blac kid, Osokonoi, Mzee wa rubisi, Gwamahala. .......maoni yenu hapa jamani.
 
MosDef article yako iko touched sana toka moyoni mwako (I think that)
Kuna ule msemo unasema "If you don't support us at a time of draw or lose, don't support us at a time of winning"
So let us to keep it up mkuu timu lazima ikosolewe ili ijijenge

Nukuu ya Bill Shankly hiyo,'if you don't chear us when we are losing,don't ever chear us when we are winning' kwa kifupi jamaa huyu hakutaka plastic fans kbs.
 
Last edited by a moderator:
Wakuu kama siamini kuondoka kwa Agger.nahisi km ni ndoto.najaribu kuwaza ni nani atavaa viatu vya agger?especially ktk uongozi (VICE CAPTAIN)? Mi binafsi namfikiria Hendo......sijui nyinyi wakuu......cc Mosdef, Magnificent, Janjaweed, Malafyale, Pazi, Blac kid, Osokonoi, Mzee wa rubisi, Gwamahala. .......maoni yenu hapa jamani.

Skirtel fits the bill
 
Wakuu kama siamini kuondoka kwa Agger.nahisi km ni ndoto.najaribu kuwaza ni nani atavaa viatu vya agger?especially ktk uongozi (VICE CAPTAIN)? Mi binafsi namfikiria Hendo......sijui nyinyi wakuu......cc Mosdef, Magnificent, Janjaweed, Malafyale, Pazi, Blac kid, Osokonoi, Mzee wa rubisi, Gwamahala. .......maoni yenu hapa jamani.

Hata mi I go for Hendo...!
 
Game sikuicheki jana ila nimeangalia highlights, inabidi sasa BR afanye maamuzi magumu ya kum sacrifice mmoja kati ya Raheem au Coutinho, mmojawapo ndio awe anacheza nyuma ya strikers, kuliko kuchezesha wote kwa namba wasizoziweza.
 
Leo imekuwa perfomance lakini na man city ilikuwa ugeni wa premier!Sasa kama unasifia kiwango cha moreno cha leo ndo tuseme ameshakuwa mzoefu na premier baada ya mechi moja?Kuna siku tu huwa inatokea mchezaji aka underperfome lakini haimaanishi ni mbovu au hana uzoefu.Leo umeisifia diamond kwa kuwa tumeshinda lakini tungepigwa uogeiponda pia!4-3-3 tungeitumia leo na kushinda ungekuja tena na stori nyingine! Pointi yangu ni kuwa tusiwe wepesi sana kulaumu kocha au wachezaji.Tuwe fair

Kiwu ya funs wa Liverpool tunataka new players waanze wote,lakini kuanza kutoa makosa siyomuda wake.
Pili kwa sasa unakuwa na kikosi ndani ya uwanja na bench limesheenezi supersub.
Nimapema lakini mwaka huu Liverpool wataisikia
 
Wakuu kama siamini kuondoka kwa Agger.nahisi km ni ndoto.najaribu kuwaza ni nani atavaa viatu vya agger?especially ktk uongozi (VICE CAPTAIN)? Mi binafsi namfikiria Hendo......sijui nyinyi wakuu......cc Mosdef, Magnificent, Janjaweed, Malafyale, Pazi, Blac kid, Osokonoi, Mzee wa rubisi, Gwamahala. .......maoni yenu hapa jamani.

Hendo nadhani ndo anafaa..
 
Nimesoma BBC BR anasema kuna wachezaji kama kina Lucas amewaambia watafute timu, naona iko powa lakini nafsi inaniuma sana GJ na Kolo Toure kuendelea kuakaa pale benchi (hawa watu wangepotea kabisaaaaaaa).
 
Game sikuicheki jana ila nimeangalia highlights, inabidi sasa BR afanye maamuzi magumu ya kum sacrifice mmoja kati ya Raheem au Coutinho, mmojawapo ndio awe anacheza nyuma ya strikers, kuliko kuchezesha wote kwa namba wasizoziweza.

Coutinho ndo atatoswa hapa,hivi Suso atapata namba kweli?
 
Nimesoma BBC BR anasema kuna wachezaji kama kina Lucas amewaambia watafute timu, naona iko powa lakini nafsi inaniuma sana GJ na Kolo Toure kuendelea kuakaa pale benchi (hawa watu wangepotea kabisaaaaaaa).

BR hajataja jina la mchezaji,ila nadhani hii inawahusu akina Borini,Asaidi,and co.
 
Wakuu kama siamini kuondoka kwa Agger.nahisi km ni ndoto.najaribu kuwaza ni nani atavaa viatu vya agger?especially ktk uongozi (VICE CAPTAIN)? Mi binafsi namfikiria Hendo......sijui nyinyi wakuu......cc Mosdef, Magnificent, Janjaweed, Malafyale, Pazi, Blac kid, Osokonoi, Mzee wa rubisi, Gwamahala. .......maoni yenu hapa jamani.

Hata mie sioni mwingine zaidi ya hendo, tofauti na hendo mwingine nampendekeza moreno.
 
BR hajataja jina la mchezaji,ila nadhani hii inawahusu akina Borini,Asaidi,and co.

Copy paste ya BBC news mkuu:

Rodgers says he is "not sure" whether the 27-year-old will leave, while Fabio Borini and Oussama Assaidi are among the others linked with transfers away from the Premier League runners-up.

"Lucas is a very important member of our squad and he is unfortunate not to be in," said Rodgers after Sunday's 3-0 win at Tottenham. "I've not had anything through about him leaving but we will see how the next few days go."
 
Nukuu ya Bill Shankly hiyo,'if you don't chear us when we are losing,don't ever chear us when we are winning' kwa kifupi jamaa huyu hakutaka plastic fans kbs.

Kweli mkuu, maana hata ukilisikia You'll never walk alone song huwezi ku-shake hata kidogo
 
Game sikuicheki jana ila nimeangalia highlights, inabidi sasa BR afanye maamuzi magumu ya kum sacrifice mmoja kati ya Raheem au Coutinho, mmojawapo ndio awe anacheza nyuma ya strikers, kuliko kuchezesha wote kwa namba wasizoziweza.

Raheem yule dogo ni fundi jana alinichambulia mabeki watatu na kipa sema akachelewa kushuti kipa akawa amerudi kwenye nafasi nzuri, wakati fundi raheem anafanya yake kule BR alikuwa anasumbuka na midadi ya kushangalia hahahahahaha lazima am-drop coutinho for sterling.
 
Back
Top Bottom