Ed n Edd nEddy
JF-Expert Member
- May 3, 2011
- 5,345
- 6,076
Wakuu kama siamini kuondoka kwa Agger.nahisi km ni ndoto.najaribu kuwaza ni nani atavaa viatu vya agger?especially ktk uongozi (VICE CAPTAIN)? Mi binafsi namfikiria Hendo......sijui nyinyi wakuu......cc Mosdef, Magnificent, Janjaweed, Malafyale, Pazi, Blac kid, Osokonoi, Mzee wa rubisi, Gwamahala. .......maoni yenu hapa jamani.
Nilishawahi pitia article fulani somewhere nikaona watu wengi hata mazungumzo fulani ya BR ingawa hayakuwa direct it seems wanamuandaa Hendo kuwa future Gerrard (captain of the team)