Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Wakuu hakuna tetesi zozote kuhusu kupata signature ya Valdez ktk dakika hizi za mwisho-mwisho?

He's a free agent kwa sasa, hana mkataba na team yoyote..whats holding back ni suala lake la Majeruhi.

So ishu yake haina haraka sana, muda wowote ule tunaweza kumsajili, pale tu LFC watakapojirizisha na recovery ya Jamaa kutokana na yale majeruhi yake..

So relax..ni *free agent* jamaa!
 
kuna barua moja nimeikuta huko kwenye mitandao shabiki kamuandikia Baloteli imenichekesha balaa,natumia kamchina,ningeicopy na kuipaste hapa! Moja ya mstari jamaa anamwambia Balo....one thing you have got for sure,is ability to create emotions to men's hearts...
 
Wakuu mimi kitu nilichoumia sana kwenye dirisha hili ni Sebastian Coates kupelekwa kwa mkopo huko Sunderland Fc wakati alipaswa awepo LFC as a back up CD.
 

Tutajie tu hiyo address tuifuate huko huko tukaisome...!
 

Sielewi ni kitu gani kinaendelea. Kwa Illori labda ningeweza kusema BR anamuona kwamba he is still light weight for BPL but I don't think if the issue can be applied to Coates.

Kolo umri ni mkubwa na utakumbuka pia alikuwa nje kwa kipindi fulani on the last season. Skrtel ndiyo huyo tena, sakho was plain through pain while representing his country during world cup. Sina hakika kama ameweza kutengemaa
 
Tutajie tu hiyo address tuifuate huko huko tukaisome...!

Nenda google,andika Red and white kop,A later to Mario...ukiipata,ikopy,alafu njoo umquote pale kwenye majungu ya agosti 8,aliyoweka na picha hapa kwenye uzi...upaste! Nadhani atapata jibu tosha.
 
Kama Falcao ni homa kali iliyoko Manure basi Kops tuna Ebola, Super Mario !!!!
 
Moja ya kosa tunataka kufanya ni kumtoa Coates kwa mkopo, issue kama ni kupata games za kucheza kwa nini wasingembakisha Agger au Illori hadi Januari ndio wawa release?! Kolo ni liability Sakho katoka kwenye majeruhi, Skrtel ndio hivyo tena.
 

Naona uwezekano wa kuondoka Leiva ni mdogo, club iliyokuwa inamtaka ni Napoli, na hamna tetesi zozote kama bado wanampango nae. Ila possibility kubwa ya kuondoka kwake ni kwenye dirisha dogo.
 
Pazi bado kajificha?
Tehtehteh nimtokeza Leo natizama maajabu ya mwisho wa kufungwa Dirisha! Falcao to United nawapa Man U heshima ni deal Zuri japo zamani nishawahi kusema Falcao si mchezaji anayejuwa kukokota mpira ila jamaa mkali akipata timu inayomuangushia cross kutoka winger za pembeni kwahili timu pekee kubwa za England ni Man U tu ndio inamfaa hata Welbeck japo hamumtaki anaweza kufaa ila Wenger atakuja kufanya Usajili usiku Leo saa tano ambao wengi tutashangaa hawezi kwenda Italy bure bure Strootman au striker tutakuja kuona Rubaman
 
Wanaouliza Valdez bado sielewi BR simchukii ila chuki yake kwa Reina haikuwa nzuri alafu kumtaka Valdez sielewi Kama kweli mgonjwa mpaka December haina haja ku sign wakati January hapo ni karibu Mie nimerizika na Usajili, jengine mchezaji akiwa Free hata dirisha la kufungwa Usajili bado anauwezo wa kusign timu katika timu za kuendelea kusajili. Borini soon anaondoka 10-12m na Moreno japo mapema mno nimeamini kwanini LFc iliumiza kichwa kwa Huyo mtu kumtaka mwanzo nilikuwa naona wanapoteza muda.
 
Moja ya kosa tunataka kufanya ni kumtoa Coates kwa mkopo, issue kama ni kupata games za kucheza kwa nini wasingembakisha Agger au Illori hadi Januari ndio wawa release?! Kolo ni liability Sakho katoka kwenye majeruhi, Skrtel ndio hivyo tena.

Kishaondoka huyo!!
 

Attachments

  • 1409598352960.jpg
    83.6 KB · Views: 82
Kishaondoka huyo!!
Namtakia mafanikio mema jamaa na yoyote atayeoondoka Kama Loan! Mie naamini Usajili tumemaliza na nimerizika nao ila japo Juzi tumeshinda Mie Sakho bado siamini ni wakucheza na Lovren kwa maoni yangu ni Skertel na Lovren ndio wakucheza pamoja.
 
Kama Falcao ni homa kali iliyoko Manure basi Kops tuna Ebola, Super Mario !!!!
Nakubaliana wote si wachezaji wabaya ila tuwe wakweli Falcao ni mashine hasa kwa style wanavyocheza United! Ila zaidi ya hapo I'm happy na timu tuliokuwa nayo.
 
Namtakia mafanikio mema jamaa na yoyote atayeoondoka Kama Loan! Mie naamini Usajili tumemaliza na nimerizika nao ila japo Juzi tumeshinda Mie Sakho bado siamini ni wakucheza na Lovren kwa maoni yangu ni Skertel na Lovren ndio wakucheza pamoja.


Kwanini Sakho humkubali kihivyo?
 
Kwanini Sakho humkubali kihivyo?
Jamaa anajiamini sana anapenda kumrudishia kipa na jengine anapogeuka ndio huko huko anapopiga mpira alafu kengine anaweza kutuliza mara mguu Una vibrate basi hapo Kama Una remote utatamani kulima tv ila akikamuwa kutulia utsmpenda wengi Skertel ndio wanamuona mbabaishaji ila Mie Skertel ndio namuaminia na Agger ndio nimesikitika kuondoka sababu Agger Kama kweli kaondoka kwa 3m bora angebaki na kuondoka Free!
 
Hhahhahahahahahah!!!

Borini kagoma kwenda qpr..

Alikuwa anataka 90k per week!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…