Liverpool FC (The Reds) | Special Thread


Nafikiri ugonjwa wa Lovren (Trying too much) ndiyo umemkumba na Coutinho. Mwingine ambaye nina wasiwasi anaweza akaingia kwenye mkumbo huo ni Marko. Kuboronga kwa Lallana might be kutokuwa 100% fit lakini pia asipokuwa mwangalifu na mtulivu then, zimwi la price tag linaweza likamnyima usingizi.

Kufuatia usajili wa kuongeza squard depth, majeruhi yaliyotokana na Inter friends (Ukiondoa Skrtel, Johnson na Flano). BR amejikuta hana ujanja bali kucheza na kikosi chenye wengi wapya. Njia pekee ya kuwasaida wachezaji wapya kufanya vizuri ni kuwapa muda wa kuzoeana na kujiamini
 
Nlikuwa natafuta uzi huu kwa muda mrefu sasa nimeupata...mimi ni shabiki mzalendo wa Liverpool...kwa kweli naipenda team hii mpka basi japo naumia na mwanzo wa kusua sua hasa kipgo cha aston villa ambao naona leo wanachezea kichapo na arsenal! Naomba mnipokee tushirikiane kuipa support team yetu..#YNWA ....IN THE STORM...WIND...ANYWHERE...
 
My suggestions kwa gemu ya leo

---------------MIGNOLET------------
MANQUILLO---LOVREN----SAKHO---MORE
--------------GERRARD-----------------
----HENDERSON--------LALLANA--------
-------------STERLING---------------
------BALOTELLI----------BORINI-----


OR

----------------MIGNOLET--------------
MANQUILLO---LOVREN----SAKHO---MORENO
------------GERRARD-----------------
-----HENDERSON------COUTINHO--------
----------STERLING----MARKOVIC-----
------------BALOTELLI--------------


OR

----------------------MIGNOLET--------------------
----------LOVREN---SKRTEL-------SAKHO----------
MANQUILLO ---- HENDERSON ----GERRARD-----MORENO
--------------STERLING------------MARKOVIC---------
-----------------------BALOTELLI-------------------
 

Karibu mkuu, vuta kiti ukae, wanandugu wote waLiverpool ni wastaarabu na wanakupoKeA kwa mikono miwili. Mchango wako ni wa muhimu sana kwa maendeleo ya timu yetu.

your welcome...WE ARE LIVERPOOL...THE MIGHT REDS!!
 

Sakho na marko wapo sub so ulikuwemo mulemule
 

Starting eleven and sub
 

Attachments

  • Ln.jpg
    154.9 KB · Views: 66
  • Ln1.gif
    24 KB · Views: 133

Karibu mkuu Ynwa
 
Contihno......hayupo hata benchi.....ila kikosi ni kizuri kinachoanza......
 
Asante sana...game ya leo tunapaswa kushinda goli si chini ya tatu maana mfupa ulotushinda tena nyumbani naona umetafunwa na arsenal kwa hiyo tunapaswa kufuta aibu hii....go go go YNWA

mkuu hawa mbona wetu lazima tuwatafune.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…