Hopeful kesho itafanyika rotation ya nguvu,Jones,Manquilo,Skirtel,Toure,Enrique,Lucas,Suso,Lallana,Markovic,,Lambert,Borini.
Bwe..ge mwenyewe ungekuwa unajua ustaarabu usingeanza kunitusi,jiheshimu si kila mtu wa kumtusi acha taarabu
crapppp...:deadhorse::deadhorse:YWNWA-you will never walk alone.
AWNY-always wait next year
Haya bhana samahani mkuu
Mkuu Malafyale nimefatilia maongezi hapo nyuma Huyu Chelsea mwenzetu Viol hajaanza yeye kutoa lugha mbaya kwenu! Yeye alichofanya ni kuwatania tu ktk lugha ya kawaida na kubadili kauli mbiu yenu ya YNWA Lkn The Magnificent na Amanijua wao Ndio wameanza kumjibu Kwa lugha ambazo sio nzuri!
Matani ktk mpira ni kitu cha kawaida ila lugha mbaya sio kitu kizuri ata Mimi napinga kabisa Hilo Lkn kila mmoja awe mvumilivu Kwa mwenzie! Bila Matani Hizi threads za michezo haziwezi kuchangamka!
Bado kidogo nije niweke kambi humu maana huu msimu naanzia kwako! Na pia BR hawezi kumfunga boss wake wa zamani ata iweje! Hahahaaaaaaa!
Viol mkuu tusamehe bana hata kama ulitudhihaki tulistahili ku hold back our hasira lkn kusema ukweli perfomances ya team yetu imetuchanganya wote humu!Haya bhana samahani mkuu
Viol mkuu tusamehe bana hata kama ulitudhihaki tulistahili ku hold back our hasira lkn kusema ukweli perfomances ya team yetu imetuchanganya wote humu!
Usitutupe bado tunakukaribisha kwenye page yetu uendelee kutupa changamoto!Tunaanza ligi Jumamosi na points 7 za Chelsea tunazikamata hivi karibuni sababu imethibitika Costa ni striker wa kuzifunga avarage teams tu
cc Ntuzu agosti 8
Mkuu tuko pamoja,timu yenu tatizo inakosa spirit,halafu yule jamaa pale mbele ni mchoyo wa pasi,ila timu ikishakuwa na spirit yote yanawezekana,si uliona mechi ya man u juzi,wale watoto walifungwa kipindi cha kwanza hawakufa moyo.
Liverpool timu kubwa hao watani zenu jumamosi si kitu ila huwa wanacheza sana rafu
Mkuu aliigeuza YNWA yetu akaingiza mambo yake ndipo vurugu zilipo anza na historically huyu jamaa mara kibao katuletea lugha za ajabu kwenye page yetu!
Kwa sasa liverpool ni underdogs kwa Chelsea hilo hatuwezi kataa!Hatupo sawa lkn hopeful tutaanza kuwa OK baada ya game ya 8 hadi 10
Lkn derby yetu hii Jimamosi nashinda!Derby haina ufundi
Viol mkuu tusamehe bana hata kama ulitudhihaki tulistahili ku hold back our hasira lkn kusema ukweli perfomances ya team yetu imetuchanganya wote humu!
Usitutupe bado tunakukaribisha kwenye page yetu uendelee kutupa changamoto!Tunaanza ligi Jumamosi na points 7 za Chelsea tunazikamata hivi karibuni sababu imethibitika Costa ni striker wa kuzifunga avarage teams tu
cc Ntuzu agosti 8
Mkuu Malafyale nimefatilia maongezi hapo nyuma Huyu Chelsea mwenzetu Viol hajaanza yeye kutoa lugha mbaya kwenu! Yeye alichofanya ni kuwatania tu ktk lugha ya kawaida na kubadili kauli mbiu yenu ya YNWA Lkn The Magnificent na Amanijua wao Ndio wameanza kumjibu Kwa lugha ambazo sio nzuri!
Matani ktk mpira ni kitu cha kawaida ila lugha mbaya sio kitu kizuri ata Mimi napinga kabisa Hilo Lkn kila mmoja awe mvumilivu Kwa mwenzie! Bila Matani Hizi threads za michezo haziwezi kuchangamka!
Bado kidogo nije niweke kambi humu maana huu msimu naanzia kwako! Na pia BR hawezi kumfunga boss wake wa zamani ata iweje! Hahahaaaaaaa!
CAPITAL CUP: Round 3
When: Tuesday 23 Sep 9:45pm : EAST AFRICAN / TZ TIME
Where: Anfield : Liverpool FC vs. Middlesbrough FC
Najaribu kutafuta channel gani itaonesha live.......Nitarudi baadae.... YNWA
Viol mkuu tusamehe bana hata kama ulitudhihaki tulistahili ku hold back our hasira lkn kusema ukweli perfomances ya team yetu imetuchanganya wote humu!
Usitutupe bado tunakukaribisha kwenye page yetu uendelee kutupa changamoto!Tunaanza ligi Jumamosi na points 7 za Chelsea tunazikamata hivi karibuni sababu imethibitika Costa ni striker wa kuzifunga avarage teams tu
cc Ntuzu agosti 8
anatutania yeye kama nani? Angalia hata record zake za nyuma hapa kwenye uzi wetu ndo utaelewa vizuri,akataniane na wenzenu wa spurs au ar5ena1,