Matusi ya nn sasa badala ya kueleza alicho kosea?
Chelsea mafanikio yameanza kuja baada ya kununuliwa na huyu Jewish=fact!!
Lini Chelsea imekuwa timu ya Abra?
Baada ya ukame wa makombe wa miaka mingapi?
na hakuna mtu anayepoteza muda wake kuiongelea team kama chelsea humu ndani!!..ni mashabiki wa chelsea tu kujipitisha pitisha humu...
piteni pembeni bhana..LFC na Chelsea hazijawah kuwa na ushindani wowote na ujirani wowote ule..Ni kinda two different clubs, kuanzia traditions mpaka rangi ya jezi..
Kweli mkuu matusi Sio kitu kizuri Lkn pia jaribu kuwashauri na wenzako maana mpira ni upendo ni urafiki! Na wala Si chuki mkuu!
Tupendane wakuu!
Mm nakupiga safari hii Darajani kwako na Anfield!Tatizo la kufunga litaisha akirudi Dan na MB akianza kutupia
Amen. God bless LFC
YNWA
hujabeba kombe lolote since 2012/2013, unatofauti gan na team ambayo haijabeba kombe tangu 2011/2012???
And tangu hyo chelsea ianze kutoa competition EPL na Europe, Je kwenye All time UEFA club rankngs..imewahi kuipita Liverpool??? (hatujashiriki UCL since 2010)..but bado upo chini ya LFC by miles!!![/QUOT
Mashabiki wa chelsea bado hawajajua mapartiners kwenye mpira ni akina nani,mashabiki wa chelsea wanachotakiwa kufanya ni kutafuta uzi wa spurs au everton wakapigizane nao kelele uko,nahisi hapo kidogo watawezana,lfc ni nzito sana kwao.
Ñashinda huku siku hizi Asprin
Kule MMU kuna baadhi ya madada ni wapuuzi sana ukiongea nae privately masuala ya kawaida kabisa anakuja kuandika kwa rafiki zake kama anatongozwa sana huko chemba!
Sifa za kipuuzi kabisa!Karibu YNWA
Unafahamu maana ya existence wewe..? Au unapanua pamua tu domo kama chura..kunya ukalale huijui Chelsea na hujui mpira ..labda timunya kijijini kwenu ndanda fc ndio imeanza 2004.. Tena ukome kusema mambo usiyoyajua
Kweli mkuu matusi Sio kitu kizuri Lkn pia jaribu kuwashauri na wenzako maana mpira ni upendo ni urafiki! Na wala Si chuki mkuu!
Tupendane wakuu!
na hakuna mtu anayepoteza muda wake kuiongelea team kama chelsea humu ndani!!..ni mashabiki wa chelsea tu kujipitisha pitisha humu...
piteni pembeni bhana..LFC na Chelsea hazijawah kuwa na ushindani wowote na ujirani wowote ule..Ni kinda two different clubs, kuanzia traditions mpaka rangi ya jezi..
Mimi nawamind kwa sababu na nyie mnajiona eti ni timu kubwa,!! Tehtehteh mmeanza kujilinganisha na timu kama Man Utd,LFC,Bayen,R.Madrid,AC Milan...shame on you!
Mimi nawamind kwa sababu na nyie mnajiona eti ni timu kubwa,!! Tehtehteh mmeanza kujilinganisha na timu kama Man Utd,LFC,Bayen,R.Madrid,AC Milan...shame on you!
Nasema hivi km mtaacha kuisema Chelsea ktk mijadala yenu basi na sisi tutapita kimya tu labda na tutatoa salamu Kwa mabest km Malafyale Gwamahala Baba Kelvin na washikaji wengine kibao!
Alafu Naomba nikushauri mkuu kumshambulia mtu binafsi Sio pouwa hasa Kwa hoja zako ambazo hazina Mashiko! Mtu unaemjibu humfahamu! Tunapokuja ktk Uzi wenu Huu tunajadili mpira na Si mtu!
hujabeba kombe lolote since 2012/2013, unatofauti gan na team ambayo haijabeba kombe tangu 2011/2012???
And tangu hyo chelsea ianze kutoa competition EPL na Europe, Je kwenye All time UEFA club rankngs..imewahi kuipita Liverpool??? (hatujashiriki UCL since 2010)..but bado upo chini ya LFC by miles!!!
Mimi nawamind kwa sababu na nyie mnajiona eti ni timu kubwa,!! Tehtehteh mmeanza kujilinganisha na timu kama Man Utd,LFC,Bayen,R.Madrid,AC Milan...shame on you!
Sisi ni timu kubwa pia ndo maana Tuko nafasi ya 4 ktk uefa ranking za 2014 na nyie mko 32. Sasa hamuoni tofauti Hapo?
Hiyo ranking uloipanga wewe au? Umeambiwa 'greatest clubs of all time' wewe umekimbilia hiyo ya 2014,kwanini? Anyway...unaweza kuamua tu kudhani Chelsi ni timu kubwa,siwezi kukuzuia kuamini hivyo!