Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,877
Matusi ya nn sasa badala ya kueleza alicho kosea?
Chelsea mafanikio yameanza kuja baada ya kununuliwa na huyu Jewish=fact!!
Lini Chelsea imekuwa timu ya Abra?
Kweli mkuu matusi Sio kitu kizuri Lkn pia jaribu kuwashauri na wenzako maana mpira ni upendo ni urafiki! Na wala Si chuki mkuu!
Tupendane wakuu!