ni wenge tu...maana positioning yake ni nzur shida ni kwamba hatulii kwenye kufanya maamuz ya mwishoTatzo anataka afunge kistaa, sasa ndio shida [emoji23][emoji23] huyu Nunez anazidiwa na Jota kabisa, Jota hakosi goli za hvyo.
Kila siku yeye tu hatulii.ni wenge tu...maana positioning yake ni nzur shida ni kwamba hatulii kwenye kufanya maamuz ya mwisho
Sisi Liverpool halisi tunaamini Nunez ni mzuri kama wachezaji wengine, kuna wakati pia Salah alikuwa anapata chance mpaka akaitwa mchoyo 😄,Kila siku yeye tu hatulii.
Anabaki Nunez na kipa ila mguu wake ghafla unapata kengeza🚮
Nimerudi kwa Trent anatosha
Wageni Japana..huyo sobo kajichora mno [emoji19]
Best way to start the weekend.... Miss Liverpool trip to Brighton a bit scary haha wale sio watu wazuri....Safari hii ni goli 10.
Salah 2
Gakpo 2
Szobo 2
Nunez 1
YNWA
Nunez 2
Sisi Liverpool halisi tunaamini Nunez ni mzuri kama wachezaji wengine, kuna wakati pia Salah alikuwa anapata chance mpaka akaitwa mchoyo [emoji1],
Mwenyekiti Malafyale njoo huku.
Halafu muda umepita hatujamsikia mkuu MosDef akishusha nondo, hasa lile sakata na Tottenham, uwezekano wakurudia mechi upo kweli?
Uwezekano ni 99% hapana na 1% yes ila kuanzia sasa kwenda kutakua kuna new code of conduct wa on field na off field officials pia terms zitakua well communicated.. Sio check complete aafu refa hajaambiwa check complete kitu gani goli au off side lakin pia upo uwezekano ikawa kama rugby kwamba hata mashabiki wawe wanapata hayo mazungumzo in real time.Sisi Liverpool halisi tunaamini Nunez ni mzuri kama wachezaji wengine, kuna wakati pia Salah alikuwa anapata chance mpaka akaitwa mchoyo 😄,
Mwenyekiti Malafyale njoo huku.
Halafu muda umepita hatujamsikia mkuu MosDef akishusha nondo, hasa lile sakata na Tottenham, uwezekano wakurudia mechi upo kweli?
We are almost there dia... Ni suala la kusajili beki wa kati mmoja na kiungo mkabaji mmoja na there we are chasing glory again... Bado tuna ruhusu lots of space kua exploited kwa kua hatuna proper DM lakini kama tutakua kwenye mix mpaka January Manchester City wasiwe wamesepa mbali sana then we have a chance...Tukipanda pale juu kuna watu wajiandae kunyanyasika😂
Ntanyanyasa watu mimi akiyanani.
😂 😂 😂 😂 Unamkacha dokta haha utulie ujue Matip anakusoma hapa atatnune auze mechi tena jpili 😄😄Trent amekuwa msupu😂
Kanichanganya.
Best way to start the weekend.... Miss Liverpool trip to Brighton a bit scary haha wale sio watu wazuri....
YNWA
Hatutaki excuses...tunataka kikosi kama cha city ili tufukuzane vizuri...
Sio akiumia mmoja tunaanza kusingizia...
Klopp alete beki ya maana
Alete forward ya maana
We are almost there dia... Ni suala la kusajili beki wa kati mmoja na kiungo mkabaji mmoja na there we are chasing glory again... Bado tuna ruhusu lots of space kua exploited kwa kua hatuna proper DM lakini kama tutakua kwenye mix mpaka January Manchester City wasiwe wamesepa mbali sana then we have a chance...
We are 2 players away kumkimbiza Kipara...
YNWA
Without Gapko na Jota here comes Captain Chaos starting line up chance kazi kwake.. With his pace atawabana kimtindo jamaa wasipande sana ndio uzuri wa Nunez muda wote defenders play with lots of caution hivyo gradually reducing kushambuliwa kwetu... This is a good thing maana siwaamini kabisa wale mabeki under presha wataachia tu aisee...They are on loosing streak, ila ndio hivyo ukikaa vibaya wanapiga tu nao ukiwabana unapiga ksma ngoma.
Hopefully Nunez will be our target with his pace and positioning apart of missing chances. Hawa brighton wako very offensive msimu huu, its to Klopp.
No Jones No Jota No Gakpo
Diaz, Nunez and Salah our front three, on the middle of the park Macca Szobozslai will start for sure hapo ni Endo/Gravenbernch mmoja ataanza. Japo napata sense huenda tukamuona TAA kwenye hiyo trio iwe Szobozslai, Macca and TAA kisha Gomez akapiga RB but is not more likely to happen. Matip VVD our CB’s then Robbo our LB,
Bring them on..!!!
Mechi ya kishinda goli 5 tunapata 2 za papatu papatu...magoli ya jana ni papatu papatu..Scoring is not an issue to us, but to defend is a bit of challange. Na hapa ni kukosa proper DM mwenye quality na muendelezo. Playing Macca as DM is a wastage of talent ya Macca.
Kuna yule 22yrs Brazilian kid Klopp supposed kumfuata January sikumbuki jina.. Sija m profile whether he will serve us defensive wise but true we need a solid DM more then the CBs... Endo was brought in for that job lakini naona Klopp anaachia mambo yajiedee tu kama kawaida...Naam. Nafikiri quality DM gonna save our life than getting CB. If it must one i will go with DM.
Even the great boys do get dry spell... Klopp hatulii mara ampange mara bench, Nunez is boy that needs more game time sio hizi dakika 10 20 za EPL..Nunez sio wenge...hatoshi, klopp atafute striker mwingine...nunez anabahatisha bahatisha tu
Hapewi game time sababu hajui...si anamuona mazoezini, kumbuka huyu tulimleta na rival akamleta haaland...Even the great boys do get dry spell... Klopp hatulii mara ampange mara bench, Nunez is boy that needs more game time sio hizi dakika 10 20 za EPL..
Well the jury will say more come end of season...
YNWA
Kiukweli binafasi yangu Nunez simkubaliSisi Liverpool halisi tunaamini Nunez ni mzuri kama wachezaji wengine, kuna wakati pia Salah alikuwa anapata chance mpaka akaitwa mchoyo 😄,
Mwenyekiti Malafyale njoo huku.
Halafu muda umepita hatujamsikia mkuu MosDef akishusha nondo, hasa lile sakata na Tottenham, uwezekano wakurudia mechi upo kweli?