Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Sahau kwa ENGLAND.

Binafsi acha ibaki hivyo ilivyo tutavaana mbele kwa mbele.

Darren England, the VAR official who made the mistake last weekend, will not officiate Liverpool for the rest of the season.

(Source: @SamWallaceTel

PGMOL wamejitahidi kweli, kurelease hiyo audio kudos ila mahali ninstofsutiana nao ni kwenye adhsbu. Mfungie mtu mechi 10 mlime fine ya 250k

Atleast itawaongezea umakini.
Maisha yake yote yule mwehu asivhezeshe mechi yetu yoyote


Ingekiwa tz Busokelo huku Mwakaleli
Tungemlamba na mawe🤣
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Unamkacha dokta haha utulie ujue Matip anakusoma hapa atatnune auze mechi tena jpili [emoji1][emoji1]

YNWA
Matip sina hamu naye
Mahaba machache yalikokuwa yamesalia nayo yameisha.


Alikuwa anakimbilia wapi jamani,, kuharakisha kupiga mpira ona tukajifunga kizembe aisee.

Kwanza auzwe tu.
 
We are almost there dia... Ni suala la kusajili beki wa kati mmoja na kiungo mkabaji mmoja na there we are chasing glory again... Bado tuna ruhusu lots of space kua exploited kwa kua hatuna proper DM lakini kama tutakua kwenye mix mpaka January Manchester City wasiwe wamesepa mbali sana then we have a chance...

We are 2 players away kumkimbiza Kipara...

YNWA
Muda wa kupanda juu ndio huu sasa
 
Screenshot_20231006_184740.jpg


Huyu jamaa made the wrong move kuja EPL aisee, this is too much.

YNWA
 
Kiukweli binafasi yangu Nunez simkubali
Chance anazopata , angepata mtu kama Jota au Salah ni mabao ya wazi kabisa.

Nunez, Diaz na Gakpo wana kiuchoyo Fulani.. kama alivyosema mdau pale juu,
Wanataka wafunge kistar.



Mechi isiporudia refarii anyongwe tu hatuna namna.
Nunez mnyama haha na bado yumooo sanaaaaa....

Captain Chaos jpili anakwenda kukiwasha Falmer Stadium... Cha muhimu pointi 3

YNWA
 
Matip sina hamu naye
Mahaba machache yalikokuwa yamesalia nayo yameisha.


Alikuwa anakimbilia wapi jamani,, kuharakisha kupiga mpira ona tukajifunga kizembe aisee.

Kwanza auzwe tu.
Huyo huyo Matip aliye jifunga bila yeye tungepigwa goli nyingi sana et saiv unamsema hata yale marudio uliyo yaangalia hayakukusaidia chochote Miss.
 
Huyo huyo Matip aliye jifunga bila yeye tungepigwa goli nyingi sana et saiv unamsema hata yale marudio uliyo yaangalia hayakukusaidia chochote Miss.
Siyo lazima tulingane mtazamo.

Pengine angecheza mwingine nafasi yake angekaba hivyohivyo
 
Back
Top Bottom