[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nakuona mpenda ma HBs hahaha
YNWA
Niache bwana [emoji1787][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Aisee bado upo na mwamba wa La Celeste haha wewe kweli huna jambo dogo.
YNWA
Atengue miguu kisa Taifa stars[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Hilo la Samata kweli ama ndio uwezo wake unaishia pale
YNWA
Mkuu.. Sisi tunakwenda kimya kimya..Wakuu KOPITES wale gunners mnawaongeleaje kwenye matarajio yenu ya kuelekea ubingwa msimu huu maana akili yenu iko kwa kipara tu ambaye binafsi naona kama brain yake (kdb) inasuasua na majeraha kwa sasa?
Je,kwa maoni yenu kiwango cha city iliyocheza na arsenal bila uwepo wa KDB,Rodri na Bernado asiye fit inatosha kuwa credit kuwa wameiva kunyanyua kwapa mwezi May?
Hao washika manati wa london haujasema wana nafasi gani hadi kufikia May?Mkuu.. Sisi tunakwenda kimya kimya..
We tulia angalia game.. Na sasa hivi VAR wako makini sana na Liverpool..
Maana hatutaki tena uonevu..
Ushindani utakuwa mkali sana.. Na tunamwangalia sana kipara twende nae sambamba mpaka January..
Baada ya hapo ndipo tunaweza kujua mwelekeo wa ubingwa
Hao washika manati waache tuu..Hao washika manati wa london haujasema wana nafasi gani hadi kufikia May?
Wakuu KOPITES wale gunners mnawaongeleaje kwenye matarajio yenu ya kuelekea ubingwa msimu huu maana akili yenu iko kwa kipara tu ambaye binafsi naona kama brain yake (kdb) inasuasua na majeraha kwa sasa?
Je,kwa maoni yenu kiwango cha city iliyocheza na arsenal bila uwepo wa KDB,Rodri na Bernado asiye fit inatosha kuwa credit kuwa wameiva kunyanyua kwapa mwezi May?
Amen. Tunashukuru sana aisee umeona Robertson aliumia akiwa na Scotland na amesharejea Anfield kwa uchunguzi zaidi tetesi ni kwamba anaweza kua nje kwa zaidi ya wiki 8 hio sio powa kabisa kwetu.
YNWA
Ni kweli some disappointment in life turns to be a blessing...Huenda Tukampata Tsimikas new dimension kwenye back four yetu. Uue bila long injury ya Clyne huenda leo tusingekuwa na TAA huyu.
Mambo mengine hutokea kwa faida japo sio mara zote.
Karius Blunder vs Madrid and in the league brought Alisson.
Kuna mengine huja kwa faida.
Ni kweli some disappointment in life turns to be a blessing...
Let's hope Tsimikas can raise to the occasion na atu surprise...
His left shot can be dangerous my main worry hana speed kabisa vs one on one ndio panatatizo...
Na bila Lovren kua toasted mara kwa mara pengine asingetua VVD pale.
YNWA
na ndio majeruhi alye nae tuu huku sisi team nyingine ni hovyo namunea huruma olachuga majeruhi 14 haahaa pale ni mbao fcWakuu KOPITES wale gunners mnawaongeleaje kwenye matarajio yenu ya kuelekea ubingwa msimu huu maana akili yenu iko kwa kipara tu ambaye binafsi naona kama brain yake (kdb) inasuasua na majeraha kwa sasa?
Je,kwa maoni yenu kiwango cha city iliyocheza na arsenal bila uwepo wa KDB,Rodri na Bernado asiye fit inatosha kuwa credit kuwa wameiva kunyanyua kwapa mwezi May?
Boy can cross like no one when afforded the chance... Actually mnufaika mkuu ni Jota maana huyu dogo na urefu wake vs his headed goals is way above his pay grade...Sure.
Hizi injuries na red cards huwa ni alert kuna mahali bwana Jurgen unapotea ikitokea ya long term utaathirika sana.
Ishu ya 1v1 huwa inamsumbua sana. Ila tukubaliane kwenye udhaifu kuna uimara, kama alivyo TAA kwenye kuzuia mbovu ila offensively ni hatari hilo sasa sio suala la TAA ni la Klopp ajue anamtumiaje kwa manufaa ya offensively zaidi ya defensively.
Ama kumpeleke MF (RCM) or CAM au amatumia inverted kama afanyavyo sasa lkn system unai twist kiasi ikiwemo kupunguza Highline na kumtafuta DM katili mmoja kuziba nafasi yake pale tunapopokonywa mpira kwenye process ya kushambulia.
Tuna weakness kwenye kuzuia as a team and individual hasa tukicheza bila attention (red card). Tunaacha spaces nyingi mno ambapo ukikutana na wajanja wanakujanjarusha.
Tafuta LCB ili ucheze na full CB’s kwenye build up,
Mnufaika wa kwanza kwa uwepo wa Tsimikas ni Darwin. Tsimikas has quality crosses.
If Gini stayed he could have been up there......
😂 😂 😂 😂 😂 😂 Bellingham taking them all single-handedly i must admit huyu dogo amenitoa noka out maana i used to see him as UK media puppet ila kumbe sio he is worth every piece of article that was written n now he is proving to be the next gene pound for pound tena akiwa MF... Muda sana haya mambo hatujaona hivi...Huyo Haaland mtoe hapo,,Jini Bila KDB ni baleke aliyechangamka😂
Utadhani maforward wa Ihefu FC.
Mbappe ni jeshi la mtu mmoja🔥
Mechi za kimataifa katupia goli mbili ujue na Uraguay kujiamlisha kwenye msimamo... Wewe ishi kwa ku kopi na pasti huyu mwamba is coming good chini ya Klopp na Marcelo kocha wake timu ya Taifa lazima atateke msimamo na kutuletea ma good times...Hata Szobo anazo tattoo lakini😂
Na Bobby alikuwa nazo.