Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,339
- 30,439
It's more scary kushinda mpaka tukaongoza ligi kwa masaa aafu really scary tukiwa tunacheza kama hatupo hatupo ujue... Imagine tupo this rough patches lakini bado tumepigwa mechi 1 tu tena kwa makosa takatifu ya VAR ujue nwa tupo tupo hivi hivi mpaka January tuingie sokoni kupata DM kwa kua mipango ya Klopp haikua na kununua DM sema saparizi ya Fabinho kushawishwa na mkwaja huko Uarabuni hapakua na namna.Mkuu mmeshinda ila sijaona tofauti yenu na United yetu kwa msimu huu.
You are no longer scary like before.
Tukutane mara ngapi sasa au hujui tulishacheza na nyie cheltakoMuna timu mbovu sana, mukikutana na hii chelsea mutalamba lolo
Tukanyimwa penaltyTukutane mara ngapi sasa au hujui tulishacheza na nyie cheltako
Mulibebwa sana ile game, next round mutakuwa na hali mbaya sana mana mutalowa bao za kutoshaTukutane mara ngapi sasa au hujui tulishacheza na nyie cheltako
Kwanza mungezilinda zile goli 2 mulizomfunga ArsenalMulibebwa sana ile game, next round mutakuwa na hali mbaya sana mana mutalowa bao za kutosha
Asante sana. Tupo pamoja. Hongera pia kwa ushindiShukrani Captain. Hongera kwa ushindi
Boy can cross like no one when afforded the chance... Actually mnufaika mkuu ni Jota maana huyu dogo na urefu wake vs his headed goals is way above his pay grade...
Umemention TAA defending imenifikilisha sasa tutakua na Tsimikas na TAA ambao wote defense wise wana weakness.. Hapo Jurgen ana mtihani sana kwa kua hata Macalister defence job amekua exposed mara kadhaa.. Sina uhakika with progress ya Bajectic kua kwenye mix ya 1st 11 soon otherwise Klopp has to put Endo to shield the backline... Klopp mpaka sasa hajaelewa namna bora ya kutumia MF waliopo maana naona kila game lazima Domy na Maca waanze n so far inaonyesha 1st half we are being caught off guard... High time Klopp aanze na Endo Grave Domy n we see how that comes in terms kutuletea calmness when under presha....
YNWA
Mkuu mmeshinda ila sijaona tofauti yenu na United yetu kwa msimu huu.
You are no longer scary like before.
Hii derby now days haina ushindani kabisa.
Miaka mi4 nyuma hii derby imetutesa sana.
It's more scary kushinda mpaka tukaongoza ligi kwa masaa aafu really scary tukiwa tunacheza kama hatupo hatupo ujue... Imagine tupo this rough patches lakini bado tumepigwa mechi 1 tu tena kwa makosa takatifu ya VAR ujue nwa tupo tupo hivi hivi mpaka January tuingie sokoni kupata DM kwa kua mipango ya Klopp haikua na kununua DM sema saparizi ya Fabinho kushawishwa na mkwaja huko Uarabuni hapakua na namna.
United kwa sasa saizi yake Burnley hukooo
YNWA