View attachment 2794224
[emoji1787] [emoji1787] Just getting started...
View attachment 2794230
YNWA
View attachment 2794237
View attachment 2794240
Getting Anfield goosebumps lol they handed that really well.
Haya mambo Klopp tangu kitambo akitakiwa anafanya well its never tooo late.
YNWA
Huyu kaka nikimkosa mbinguni nitaandamana.
Ana roho nzuri sana ya pekeyake.
Kwa kweli mimi binafsi kwenye penalt nilikuwa namwamini Fabinho na Milner .
Angalau kidogo na Trent sijui.
Wengine waliobaki wote Wana mikosi na penalt.
Ila kwa mdororo wa ligue ya Saudia sijui Kama Salah anafikiria bado kwenda, itategemea na summer watakujaje na ligi yao itakuwaje. Kule ni pesa tu hakuna kingine.
We shall see, and i wont be suprise akiongeza mkataba mpya with LFC
Salah pengine ni mzuri ila bahati huwa haipo upande wake[emoji3060]
Fabinho hakuwa mzuuuuri bahati hakukosa hasa last season ile January no Mane no Salah alikuwa penalty taker wetu na hakutuangusha.
Salah ukiondoa ya Nottigham na Bournemouth last season alizokosa hajawahi acha kuaminika. Season hii anaziweka tu.
Akijifunza kutuliza akili golini atakuwa mchezaji mzuri sana.Ukweli mie nikimuona Nunez uwanja nataka afunge tu basi. Hii inamrejeshea kujiamini zaidi na uzoefu wa kuliona goli.
Goli lake la jana, poor touch but finishing [emoji91][emoji91][emoji91]. Price tag, Red card and Hallaand comparison ndio ilimmaliza last season. I like how Kops support him they way they chant his name even if he is on the bench.
He will come good for sure. Kila kitu anafanya kwa usahihi imebaki kupasia nyavu tu na the rest will be history.
Get hattrick vs Luton with braces goals.
HakikaAkijifunza kutuliza akili golini atakuwa mchezaji mzuri sana.
The same to money! Money kivipi?Salah pengine ni mzuri ila bahati huwa haipo upande wake
The same to money.
Kwa kweli mimi nilikuwa nikiona Fabinho anaenda kupiga basi roho yangu inapata amani.
ππππThe same to money! Money kivipi?
Kibodi inajua tunachokiwaza! Hahahaaaππππ
Nadhani ulielewa lakini Mkuu.
Ni Maneπ€£π€£π€£
Keyboard ilinipeleka kwenye hela lol π
πππKibodi inajua tunachokiwaza! Hahahaaa
Liverpool Reloaded ipo kwenye move tayari ni muda tu mambo yatakaa sawa.Anajipunguzia pressure. Atleast kuna quality kwenye squad kasoro DM hiyo
Sisi akifunga tunafurahi
Furaha yetu ni ushindi
Ila sasa hatuachi kukasema kanspokuwa na mapepe na kukosa magoli ya wazi [emoji1787]
Ilikua intense game kwa kua hali ya hewa haikua powa kabisaaa. Kikosi kilikua well balanced huku tukitoka salama bila majeruhi wapya wala kadi.. Changamoto ni ile kucheza kutokea nyuma bado ni tatizo kubwa sana aisee especially kwa Kipa Kelleher. Mengine ni ya kawaida tu.Hata sijaicheck hii mechi
Tanesco
Haya tu ngoja nisiwatukane..ila wanakera kinoma hadi tunamiss enzi za Magu.
π π π π π π π Mpaka pale utakaposema salute Nunez ndio tutakwenda sawaa....[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kweli kazi tunayo
Kwahiyo unashangilia magoli ya Nunez tu?
Niwekee na picha ya mdogo wangu handsome[emoji7]Gakpo
π π π π Huyo ndio Captain Chaos.Tunayo kazi leo[emoji1787]
Mtu na mdogo ake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji91][emoji2772]